Walio apply udzm 2012 soma hapa

oya ze duduz,ile list yako iko wap,au unadhani tumesahau?
 
kuna time ilikuwepo,nikaidownload ila ikakataa kufunguka. Vipi mkuu huwezi iweka katika pdf format?
 
mi nshazoea napita zangu mana hamna jipya!!
 
Mlimani nini? Mana skuizi kuna mlimani nyingi? Mpaka vi college za uchochoroni
 
Mambo yote kesho out, just few hours to go ...... The end !!!
 
Oya hyo link mbna hakuna au unataka ku2enjy 2.
 
mwantubravo

Today 16:59
#1


Junior Member Array


Join Date : 9th August 2012
Posts : 1

Rep Power : 0

Likes Received:0

Likes Given:0




I SEE
 
wakubwa email na pacwrd ya mshkaji ninayo !! Sasa nimuamini nani? Ili afanye mchakato wa kuya post humu ndani??
 
Nyie madogo natafuta mtu wa kunibeba ila awe anakaa Mabibo hostel.. Acheni kubishana ukpata udsm nPM bei maelewano.
 
Nyie madogo natafuta mtu wa kunibeba ila awe anakaa Mabibo hostel.. Acheni kubishana ukpata udsm nPM bei maelewano.

nahisi wewe ni gay !! Xo usicheze na akili hapo tuko serious so naomba ujiheshmu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…