Walio wai kusoma nje ya tz


nimesoma BBA
 

ok sir
 

your right bro nimeenda leo wamesema niwe na 40000 plus 2000 ya extra copy. Kama unataka fasta bila kufanya test inacost 82000. Thanx bro
 

its true bro nimeenda 2day wanataka 82000. Kupata fasta kama unataka kufanya test ni 42000
 
Udsm pia huwa wanatoa but.. Cheti chao huwa hakikubaliki ktk vyuo vyote.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

Kwani proficiency level yako ikoje? Beginner, intermediate, au advanced?

Kwa sababu kutokana na kiwango chako kuna vyuo huwa wana-waive hiyo requirement.
 
Kijana kuna umuhimu ufanye hyo test mana hicho kidhungu Duh, hata maji huombi utapewa uji bure
 
Sigma acha kumcheka pls. mjibu tu anaweza kusaidiwa wapi,
maana mwenyewe hajabisha kua hahitaji msaada, ila hajui pakuupata.
 
Last edited by a moderator:
Sigma acha kumcheka pls. mjibu tu anaweza kusaidiwa wapi,
maana mwenyewe hajabisha kua hahitaji msaada, ila hajui pakuupata.
aya Mwali ila jamaa akiandika kingleza inakupa tabu kupita bila kukomenti bana. Naona sasa amekuwa smart, ni lugha ya taifa kwa kwenda fowad
 
Last edited by a moderator:
aya Mwali ila jamaa akiandika kingleza inakupa tabu kupita bila kukomenti bana. Naona sasa amekuwa smart, ni lugha ya taifa kwa kwenda fowad
mluhusu ajieleze kwa rugha anayoiweza zaidi bwana.
 
mluhusu ajieleze kwa rugha anayoiweza zaidi bwana.

Mhn! Hivi IELTS na TOEFL za Kiswahili zinapatikana wapi?

Ingekua University of Dar es Salaam unadhani angesubiri umuulize?

Better kujua kuliko kuassume hakusoma UDSM.

Unafikiri Mzumbe hakitambuliwi kimataifa?
 
Mhn! Hivi IELTS na TOEFL za Kiswahili zinapatikana wapi?

you know i did that on purpose, right? Sigma ndie alianza! (Kingleza)
Inanikumbusha tulivokua wadogo-zaidi- tulikua tunabisha makosa
hata waanakukuta unafanya makosa unaanza kwa kusema fulani ndie alianza. lol



Better kujua kuliko kuassume hakusoma UDSM.

Unafikiri Mzumbe hakitambuliwi kimataifa?
Mi nimesema tu. kama na wewe ulisoma college za vichochoro pole sana.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…