Tetesi: Walioajiliwa na Idara ya afya wamerudishwa nyumbani kwa vile hakuna fedha ya kuwalipa

Tetesi: Walioajiliwa na Idara ya afya wamerudishwa nyumbani kwa vile hakuna fedha ya kuwalipa

Madaktari Wakuu wangeiga ya Maafisa Elimu wa Hamlshauri walioshawishi Walimu Wakuu Kulea Walimu wapya Kwa kuhakikisha wanagonga Msosi Nyumbani Kwa Mkuu wa Shule Kama Mtoto wa Familia mpaka hapo watapopata Mshahara

Duhhh wapi hiyo
 
Madaktari Wakuu wangeiga ya Maafisa Elimu wa Hamlshauri walioshawishi Walimu Wakuu Kulea Walimu wapya Kwa kuhakikisha wanagonga Msosi Nyumbani Kwa Mkuu wa Shule Kama Mtoto wa Familia mpaka hapo watapopata Mshahara
Kwani hawafahamu kama kuna idadi kadhaa ya walimu inabidi wapewe pesa zao za kujikimu?, tatizo tunapenda sana ujamaa wa kijinga na sio kwamba sifahamu nafahamu sana kuna walimu waliajiriwa na wamekaa miezi mitatu ndio wakapewa pesa za kujikimu na mshahara
 
Nimeonana na mwanadada mmoja aliyeajiliwa hospitli ya serikali, idara ya afya akasema wamerudishwa nyumbani kwa vile serikali haina fedha ya kuwalipa kwa sasa.
Je taarifa hii ni kweli?
Kwa Hiyo Hili nalo Ni La Kuandikia Threads hapa Jf kweli?
 
Inaweza kuwa kweli kwa yeye na baadhi ila si kweli kwamba hawajalipwa chochote tangu waajiriwe,mostly wamelipwa mishahara lakini fedha ya kujikimu ndio hawapata
 
Nimeonana na mwanadada mmoja aliyeajiliwa hospitli ya serikali, idara ya afya akasema wamerudishwa nyumbani kwa vile serikali haina fedha ya kuwalipa kwa sasa.
Je taarifa hii ni kweli?
Huo ni uchochezi mkuu.
Nani kasema pesa hakuna?
Fedha zipo ndio maana nchi inauwezo wa kununua ndege kwa cash wala sio mkopo.
 
Kumbe unauluzaaaaa.?
Nimeonana na mwanadada mmoja aliyeajiliwa hospitli ya serikali, idara ya afya akasema wamerudishwa nyumbani kwa vile serikali haina fedha ya kuwalipa kwa sasa.
Je taarifa hii ni kweli?
 
Huo ni uchochezi mkuu.
Nani kasema pesa hakuna?
Fedha zipo ndio maana nchi inauwezo wa kununua ndege kwa cash wala sio mkopo.
Nasema nilichoambiwa na binti, ndio maana nikawekatetesi. Yupo hapa amesimamishwa kuwa hela hamna
 
Madaktari Wakuu wangeiga ya Maafisa Elimu wa Hamlshauri walioshawishi Walimu Wakuu Kulea Walimu wapya Kwa kuhakikisha wanagonga Msosi Nyumbani Kwa Mkuu wa Shule Kama Mtoto wa Familia mpaka hapo watapopata Mshahara
Mkuu hilo sawa. lakini halihusiani na mkataba wa ajira. kazi halali kwa malipo halali
 
Huyo uhakiki umedunda. Ulitaka akuambie nini? Wengine wanachagua pa kwenda.
Ndiyo maana nimesema tetesi.Inawezekana vile vile uhakiki, lakini ndio karipoti juzi tu. Sikatai inawezekana
 
Back
Top Bottom