Tetesi: Walioajiliwa na Idara ya afya wamerudishwa nyumbani kwa vile hakuna fedha ya kuwalipa

Tetesi: Walioajiliwa na Idara ya afya wamerudishwa nyumbani kwa vile hakuna fedha ya kuwalipa

Bandari ya Mtwara watu wamevikimbia vyeti walivyoajiriwa navyo mwanzoni uhakiki wa hivi juzi. Unganisha dots hapo
 
Hii ishu ni kweli hata mimi nina rafiki yangu toka wameajiriwa hawajapata mshahara, ameniambia kitu kinachowewezesha kusurvive ni visemina vya hapa na pale, ila kuhusu mshahara imekua ni kitendawili wanapigwa tu danadana
Walikua wamepanga warudi nyumbani ila uongozi wa hospitali ukasema utawakopesha hela kiasi so wavute subira.
Sasa sijui wana mpango gani nao
 
Hii ishu ni kweli hata mimi nina rafiki yangu toka wameajiriwa hawajapata mshahara, ameniambia kitu kinachowewezesha kusurvive ni visemina vya hapa na pale, ila kuhusu mshahara imekua ni kitendawili wanapigwa tu danadana
Walikua wamepanga warudi nyumbani ila uongozi wa hospitali ukasema utawakopesha hela kiasi so wavute subira.
Sasa sijui wana mpango gani nao
Exactly, mwingine nimemuona leo tena akasema waliambiwa kama wanataka awendelee na kazi kwa gharama zao au waende nyumbani wataiwa vote ikiingia, she opted to come home!
 
Exactly, mwingine nimemuona leo tena akasema waliambiwa kama wanataka awendelee na kazi kwa gharama zao au waende nyumbani wataiwa vote ikiingia, she opted to come home!
Daa very sad sijui serikali ina mpango gani
 
Back
Top Bottom