haha
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 1,400
- 1,638
Ndio kwakua ni habari tena ya kushangaza mno!!!wakati mnajitapa MNA pesa hospitali hazina wauguzi halafu walioajiriwa wanarudi nyumbani!?? Kisa hakuna fedha halafu unasema sio habari!??Kwa Hiyo Hili nalo Ni La Kuandikia Threads hapa Jf kweli?