Walioandaa mapokezi yenye ngoma na matarumbeta kwa viongozi wa SADC na EAC wakati wamekuja kujadili msiba wa DRC wanapaswa kuwajibishwa.

Walioandaa mapokezi yenye ngoma na matarumbeta kwa viongozi wa SADC na EAC wakati wamekuja kujadili msiba wa DRC wanapaswa kuwajibishwa.

JokaKuu

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2006
Posts
34,188
Reaction score
62,952
..Naamini kitendo hicho kinajenga picha kwamba hatuko serious.

..Huenda Watanzania tumeambukizwa usanii-sanii na Wacongomani.

..Congo kuna msiba halafu sisi tumeandaa ngoma katikati ya msiba.

..Tanzania tumepoteza vijana wetu, na hata miili yao hatujaipewa, halafu tunacheza ngoma na matarumbeta.

..Paul Kagame ambaye majeshi yake yamehusika kuuwa vijana wetu naye kapokelewa kwa vigelegele vya ngoma na matarumbeta.

..Walioandaa mapokezi yale wanapaswa kuwajibishwa.
 
..Naamini kitendo hicho kinajenga picha kwamba hatuko serious.

..Huenda Watanzania tumeambukizwa usanii-sanii na Wacongomani.

..Congo kuna msiba halafu sisi tumeandaa ngoma katikati ya msiba.

..Tanzania tumepoteza vijana wetu, na hata miili yao hatujaipewa, halafu tunacheza ngoma na matarumbeta.

..Paul Kagame ambaye majeshi yake yamehusika kuuwa vijana wetu naye kapokelewa kwa vigelegele vya ngoma na matarumbeta.

..Walioandaa mapokezi yale wanapaswa kuwajibishwa.
Rwanda and Uganda Play the Long Game
Kagame and Museveni’s attendance was strategic. Rwanda’s backing of M23 is no secret, and Uganda has troops on the ground. By showing up, they controlled the narrative, knowing that without Tshisekedi and Ndayishimiye, the meeting was already skewed in their favor.
The Verdict: Peace Was Never on the Table
Peace talks without key combatants are just political theater. Tshisekedi and Ndayishimiye’s absence isn’t an oversight—it’s a sign that the real decisions won’t be made in conference rooms. They’ll be made on the battlefield.
Kinshasa is done talking. The next chapter won’t be written in Dar es Salaam—it will be written in the warzones of eastern Congo.
====================

VERY SAD!!!!!!!!!!
 
..Naamini kitendo hicho kinajenga picha kwamba hatuko serious.

..Huenda Watanzania tumeambukizwa usanii-sanii na Wacongomani.

..Congo kuna msiba halafu sisi tumeandaa ngoma katikati ya msiba.

..Tanzania tumepoteza vijana wetu, na hata miili yao hatujaipewa, halafu tunacheza ngoma na matarumbeta.

..Paul Kagame ambaye majeshi yake yamehusika kuuwa vijana wetu naye kapokelewa kwa vigelegele vya ngoma na matarumbeta.

..Walioandaa mapokezi yale wanapaswa kuwajibishwa.
Taifa hili kila siku nasema limekuwa la wakata maunooo

Ova
 
..Naamini kitendo hicho kinajenga picha kwamba hatuko serious.

..Huenda Watanzania tumeambukizwa usanii-sanii na Wacongomani.

..Congo kuna msiba halafu sisi tumeandaa ngoma katikati ya msiba.

..Tanzania tumepoteza vijana wetu, na hata miili yao hatujaipewa, halafu tunacheza ngoma na matarumbeta.

..Paul Kagame ambaye majeshi yake yamehusika kuuwa vijana wetu naye kapokelewa kwa vigelegele vya ngoma na matarumbeta.

..Walioandaa mapokezi yale wanapaswa kuwajibishwa.
Nadhani aliyeandaa mapokezi ni Mkuu wa Mkoa wa DSM

Inasikitisha ! kuna jema gani la kuwapigia ngoma watu wanaokuja kujadili ''misiba' na mateso ya Wanadamu.
 
..Naamini kitendo hicho kinajenga picha kwamba hatuko serious.

..Huenda Watanzania tumeambukizwa usanii-sanii na Wacongomani.

..Congo kuna msiba halafu sisi tumeandaa ngoma katikati ya msiba.

..Tanzania tumepoteza vijana wetu, na hata miili yao hatujaipewa, halafu tunacheza ngoma na matarumbeta.

..Paul Kagame ambaye majeshi yake yamehusika kuuwa vijana wetu naye kapokelewa kwa vigelegele vya ngoma na matarumbeta.

..Walioandaa mapokezi yale wanapaswa kuwajibishwa.
Serikali ya CCM haijawahi kuwa makini
 
..vijana wa Kitanzania wangekuwa wanajitambua wangempokea Rais Kagame na mabango ya kumlaani.
Nadhani ni Vijana wa zama hizi kuliko Vijana wa Tanzania

September 14 1976 US secretary of state Henry Kissinger alifika Dar es Salaam katika kutafuta amani kusini mwa Afrika. Alipofika uwanja wa ndege alipokelewa na mabango makali sana ya vijana wa kilichokuwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ( UDSM). Moja ya mabango yalisomeka '' Kissinger go Home'' n.k.

Zama hizi ni kujigalagaza kwenye udongo!
 
..Naamini kitendo hicho kinajenga picha kwamba hatuko serious.

..Huenda Watanzania tumeambukizwa usanii-sanii na Wacongomani.

..Congo kuna msiba halafu sisi tumeandaa ngoma katikati ya msiba.

..Tanzania tumepoteza vijana wetu, na hata miili yao hatujaipewa, halafu tunacheza ngoma na matarumbeta.

..Paul Kagame ambaye majeshi yake yamehusika kuuwa vijana wetu naye kapokelewa kwa vigelegele vya ngoma na matarumbeta.

..Walioandaa mapokezi yale wanapaswa kuwajibishwa.
Huu utamaduni wa kuwachezea ngoma hao mnaowaita viongozi ni jambo la kijinga sana, very primitive. Kwani lazima wachezewe ngoma? Kwani wakipokelewa tu bila ngoma kuna shida gani? Huu utamaduni wa kijinga uachwe.
 
Back
Top Bottom