Walioandaa mapokezi yenye ngoma na matarumbeta kwa viongozi wa SADC na EAC wakati wamekuja kujadili msiba wa DRC wanapaswa kuwajibishwa.

Walioandaa mapokezi yenye ngoma na matarumbeta kwa viongozi wa SADC na EAC wakati wamekuja kujadili msiba wa DRC wanapaswa kuwajibishwa.

Nadhani ni Vijana wa zama hizi kuliko Vijana wa Tanzania

September 14 1976 US secretary of state Henry Kissinger alifika Dar es Salaam katika kutafuta amani kusini mwa Afrika. Alipofika uwanja wa ndege alipokelewa na mabango makali sana ya vijana wa kilichokuwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ( UDSM). Moja ya mabango yalisomeka '' Kissinger go Home'' n.k.

Zama hizi ni kujigalagaza kwenye udongo!
😂 😂 😂 Kwamba watu badala ya kuelimika na kuchangamka zaidi wanakuwa wanakuwa wapumbavu
 
..Naamini kitendo hicho kinajenga picha kwamba hatuko serious.

..Huenda Watanzania tumeambukizwa usanii-sanii na Wacongomani.

..Congo kuna msiba halafu sisi tumeandaa ngoma katikati ya msiba.

..Tanzania tumepoteza vijana wetu, na hata miili yao hatujaipewa, halafu tunacheza ngoma na matarumbeta.

..Paul Kagame ambaye majeshi yake yamehusika kuuwa vijana wetu naye kapokelewa kwa vigelegele vya ngoma na matarumbeta.

..Walioandaa mapokezi yale wanapaswa kuwajibishwa.
Unapoteza muda wako bure kabisa.

Haya ni matunda ya ujinga na Siasa chafu za Ushabiki bila Hoja
 
..Naamini kitendo hicho kinajenga picha kwamba hatuko serious.

..Huenda Watanzania tumeambukizwa usanii-sanii na Wacongomani.

..Congo kuna msiba halafu sisi tumeandaa ngoma katikati ya msiba.

..Tanzania tumepoteza vijana wetu, na hata miili yao hatujaipewa, halafu tunacheza ngoma na matarumbeta.

..Paul Kagame ambaye majeshi yake yamehusika kuuwa vijana wetu naye kapokelewa kwa vigelegele vya ngoma na matarumbeta.

..Walioandaa mapokezi yale wanapaswa kuwajibishwa.
kama itifaki ya serikali ndio iliandaa ni nani wa kuishitaki serikali? Hizi ngoma zisitumike sana kutumika kama hali si nzuri. Haikupaswa viongozi hao wa SADC na EAC kupigiwa ngoma na matarumbeta kwa kuwa walikuja kujadili msiba wa DRC. Huyo kiongozi mwenye jukumu la kuandaa shughuli za kuwapokea vingozi kwa itifaki ya kuwapigia ngoma na matarumbeta ni zuzu, hafikiri vema kutokana muktadha wa matukio na hali zake. Labda kama ngoma na matarumbeta hayo ingekuwa ni maombolezo tu
 
Rwanda and Uganda Play the Long Game
Kagame and Museveni’s attendance was strategic. Rwanda’s backing of M23 is no secret, and Uganda has troops on the ground. By showing up, they controlled the narrative, knowing that without Tshisekedi and Ndayishimiye, the meeting was already skewed in their favor.
The Verdict: Peace Was Never on the Table
Peace talks without key combatants are just political theater. Tshisekedi and Ndayishimiye’s absence isn’t an oversight—it’s a sign that the real decisions won’t be made in conference rooms. They’ll be made on the battlefield.
Kinshasa is done talking. The next chapter won’t be written in Dar es Salaam—it will be written in the warzones of eastern Congo.
====================

VERY SAD!!!!!!!!!!
Kagame na Mseveni ni ndugu na washirika wa karibu sana. Amani itapatikana wakiondoka!
 
kama itifaki ya serikali ndio iliandaa ni nani wa kuishitaki serikali? Hizi ngoma zisitumike sana kutumika kama hali si nzuri. Haikupaswa viongozi hao wa SADC na EAC kupigiwa ngoma na matarumbeta kwa kuwa walikuja kujadili msiba wa DRC. Huyo kiongozi mwenye jukumu la kuandaa shughuli za kuwapokea vingozi kwa itifaki ya kuwapigia ngoma na matarumbeta ni zuzu, hafikiri vema kutokana muktadha wa matukio na hali zake. Labda kama ngoma na matarumbeta hayo ingekuwa ni maombolezo tu
Mimi nadhani muhimu ni maazimio. Haya masuala ya Ngoma sijui vigele gele yawekeni kando!
 
Kuanza, niseme Poleni kwa misiba. Pole ziwafikie familia za wanajeshi wote waliokufa, kwenye vita. Vita sio mchezo wazuri tu ndio wanabakia huko.

======
Kuh: Utamaduni wa Waswahili

Batanzanie wanaukataa utamaduni wao?😁🤣🤣🤣🤣 Gushyira umuco wabakoloni?

Kwa maoni yangu

Cultural imperialisme is real. Viashiria vyake vinaeza kupatika kwenye maandiko mengi sana JF, imekuwa the norm. nauliza wenye dockets za utamaduni
banafanya nini?

Licha ya hayo

maandiko mengi ni ya kudhoofisha na kudhalilisha utamaduni wa Batanzani why?
 
..Naamini kitendo hicho kinajenga picha kwamba hatuko serious.

..Huenda Watanzania tumeambukizwa usanii-sanii na Wacongomani.

..Congo kuna msiba halafu sisi tumeandaa ngoma katikati ya msiba.

..Tanzania tumepoteza vijana wetu, na hata miili yao hatujaipewa, halafu tunacheza ngoma na matarumbeta.

..Paul Kagame ambaye majeshi yake yamehusika kuuwa vijana wetu naye kapokelewa kwa vigelegele vya ngoma na matarumbeta.

..Walioandaa mapokezi yale wanapaswa kuwajibishwa.
Nchi ya vituko
 
..Naamini kitendo hicho kinajenga picha kwamba hatuko serious.

..Huenda Watanzania tumeambukizwa usanii-sanii na Wacongomani.

..Congo kuna msiba halafu sisi tumeandaa ngoma katikati ya msiba.

..Tanzania tumepoteza vijana wetu, na hata miili yao hatujaipewa, halafu tunacheza ngoma na matarumbeta.

..Paul Kagame ambaye majeshi yake yamehusika kuuwa vijana wetu naye kapokelewa kwa vigelegele vya ngoma na matarumbeta.

..Walioandaa mapokezi yale wanapaswa kuwajibishwa.
Africa mijitu mingi ni mijinga kupindukia. Ilitakiwa hao viongozi wapokelewe na vilio vya wanacongo. Hata mabango ya kupinga mauaji unaweza kukuta yalizuiwa. Yaani sisi tunapambana na kifo kwa kukikumbatia. Ni huzuni
 
Huu utamaduni wa kuwachezea ngoma hao mnaowaita viongozi ni jambo la kijinga sana, very primitive. Kwani lazima wachezewe ngoma? Kwani wakipokelewa tu bila ngoma kuna shida gani? Huu utamaduni wa kijinga uachwe.
Sawa, uachwe na ni wakijinga, and very primitive, unadhani kipi kingetokea na kwa Utamaduni gani wageni wapokelewe?
 
..Naamini kitendo hicho kinajenga picha kwamba hatuko serious.

..Huenda Watanzania tumeambukizwa usanii-sanii na Wacongomani.

..Congo kuna msiba halafu sisi tumeandaa ngoma katikati ya msiba.

..Tanzania tumepoteza vijana wetu, na hata miili yao hatujaipewa, halafu tunacheza ngoma na matarumbeta.

..Paul Kagame ambaye majeshi yake yamehusika kuuwa vijana wetu naye kapokelewa kwa vigelegele vya ngoma na matarumbeta.

..Walioandaa mapokezi yale wanapaswa kuwajibishwa.
Duh! ...
 
Back
Top Bottom