Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Sasa wangeongea na nani kama sio yeye?.....Kagame hakutakiwa awepo kabisa.
..yule ni M23 na ni kama amekuja kutusanif.
Tshekedi alipaswa awepo yeye binafsi, amekosea sana kukwepa Kikao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wangeongea na nani kama sio yeye?.....Kagame hakutakiwa awepo kabisa.
..yule ni M23 na ni kama amekuja kutusanif.
Taifa la wakata maunoNdo taifa mlilonalo,watu hawatumii akili bali matumbo yao
ilitakiwa iwe kimya kmya mwendo wa ling'ang'a..Naamini kitendo hicho kinajenga picha kwamba hatuko serious.
..Huenda Watanzania tumeambukizwa usanii-sanii na Wacongomani.
..Congo kuna msiba halafu sisi tumeandaa ngoma katikati ya msiba.
..Tanzania tumepoteza vijana wetu, na hata miili yao hatujaipewa, halafu tunacheza ngoma na matarumbeta.
..Paul Kagame ambaye majeshi yake yamehusika kuuwa vijana wetu naye kapokelewa kwa vigelegele vya ngoma na matarumbeta.
..Walioandaa mapokezi yale wanapaswa kuwajibishwa.
Kila sehemu Tanzania. Kuanzia vyuoni huko. Hata sheria zetu tuna copy sehemu mbalimbali hususani India.copy and paste utamaduni wa wapi huo?
huo utamaduni ni wa kupuuzwaTenda za makada hizo. Viuno vina bajeti hivyo.