Walioandaa mapokezi yenye ngoma na matarumbeta kwa viongozi wa SADC na EAC wakati wamekuja kujadili msiba wa DRC wanapaswa kuwajibishwa.

Walioandaa mapokezi yenye ngoma na matarumbeta kwa viongozi wa SADC na EAC wakati wamekuja kujadili msiba wa DRC wanapaswa kuwajibishwa.

..Kagame hakutakiwa awepo kabisa.

..yule ni M23 na ni kama amekuja kutusanif.
Sasa wangeongea na nani kama sio yeye?...

Tshekedi alipaswa awepo yeye binafsi, amekosea sana kukwepa Kikao.
 
..Naamini kitendo hicho kinajenga picha kwamba hatuko serious.

..Huenda Watanzania tumeambukizwa usanii-sanii na Wacongomani.

..Congo kuna msiba halafu sisi tumeandaa ngoma katikati ya msiba.

..Tanzania tumepoteza vijana wetu, na hata miili yao hatujaipewa, halafu tunacheza ngoma na matarumbeta.

..Paul Kagame ambaye majeshi yake yamehusika kuuwa vijana wetu naye kapokelewa kwa vigelegele vya ngoma na matarumbeta.

..Walioandaa mapokezi yale wanapaswa kuwajibishwa.
ilitakiwa iwe kimya kmya mwendo wa ling'ang'a
 
Ngoma kwa mgeni iendane na dhima kuu la mkutano, hao marais hawakupaswa kupigiwa ngoma wala magwaride ya kijeshi kwa kuwa walikuja kujadili msiba wa DRC
 
Back
Top Bottom