kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
Tatizo ccm bado wana wajinga wengi sanaHuu utamaduni wa kuwachezea ngoma hao mnaowaita viongozi ni jambo la kijinga sana, very primitive. Kwani lazima wachezewe ngoma? Kwani wakipokelewa tu bila ngoma kuna shida gani? Huu utamaduni wa kijinga uachwe.
Siku hizi wanasema wamewasha kijani.Hapo utasikia chama wakisema nchi imefunguka.
😂 😂 😂 Kwamba watu badala ya kuelimika na kuchangamka zaidi wanakuwa wanakuwa wapumbavuNadhani ni Vijana wa zama hizi kuliko Vijana wa Tanzania
September 14 1976 US secretary of state Henry Kissinger alifika Dar es Salaam katika kutafuta amani kusini mwa Afrika. Alipofika uwanja wa ndege alipokelewa na mabango makali sana ya vijana wa kilichokuwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ( UDSM). Moja ya mabango yalisomeka '' Kissinger go Home'' n.k.
Zama hizi ni kujigalagaza kwenye udongo!
Unapoteza muda wako bure kabisa...Naamini kitendo hicho kinajenga picha kwamba hatuko serious.
..Huenda Watanzania tumeambukizwa usanii-sanii na Wacongomani.
..Congo kuna msiba halafu sisi tumeandaa ngoma katikati ya msiba.
..Tanzania tumepoteza vijana wetu, na hata miili yao hatujaipewa, halafu tunacheza ngoma na matarumbeta.
..Paul Kagame ambaye majeshi yake yamehusika kuuwa vijana wetu naye kapokelewa kwa vigelegele vya ngoma na matarumbeta.
..Walioandaa mapokezi yale wanapaswa kuwajibishwa.
kama itifaki ya serikali ndio iliandaa ni nani wa kuishitaki serikali? Hizi ngoma zisitumike sana kutumika kama hali si nzuri. Haikupaswa viongozi hao wa SADC na EAC kupigiwa ngoma na matarumbeta kwa kuwa walikuja kujadili msiba wa DRC. Huyo kiongozi mwenye jukumu la kuandaa shughuli za kuwapokea vingozi kwa itifaki ya kuwapigia ngoma na matarumbeta ni zuzu, hafikiri vema kutokana muktadha wa matukio na hali zake. Labda kama ngoma na matarumbeta hayo ingekuwa ni maombolezo tu..Naamini kitendo hicho kinajenga picha kwamba hatuko serious.
..Huenda Watanzania tumeambukizwa usanii-sanii na Wacongomani.
..Congo kuna msiba halafu sisi tumeandaa ngoma katikati ya msiba.
..Tanzania tumepoteza vijana wetu, na hata miili yao hatujaipewa, halafu tunacheza ngoma na matarumbeta.
..Paul Kagame ambaye majeshi yake yamehusika kuuwa vijana wetu naye kapokelewa kwa vigelegele vya ngoma na matarumbeta.
..Walioandaa mapokezi yale wanapaswa kuwajibishwa.
Kagame na Mseveni ni ndugu na washirika wa karibu sana. Amani itapatikana wakiondoka!Rwanda and Uganda Play the Long Game
Kagame and Museveni’s attendance was strategic. Rwanda’s backing of M23 is no secret, and Uganda has troops on the ground. By showing up, they controlled the narrative, knowing that without Tshisekedi and Ndayishimiye, the meeting was already skewed in their favor.
The Verdict: Peace Was Never on the Table
Peace talks without key combatants are just political theater. Tshisekedi and Ndayishimiye’s absence isn’t an oversight—it’s a sign that the real decisions won’t be made in conference rooms. They’ll be made on the battlefield.
Kinshasa is done talking. The next chapter won’t be written in Dar es Salaam—it will be written in the warzones of eastern Congo.
====================
VERY SAD!!!!!!!!!!
Mimi nadhani muhimu ni maazimio. Haya masuala ya Ngoma sijui vigele gele yawekeni kando!kama itifaki ya serikali ndio iliandaa ni nani wa kuishitaki serikali? Hizi ngoma zisitumike sana kutumika kama hali si nzuri. Haikupaswa viongozi hao wa SADC na EAC kupigiwa ngoma na matarumbeta kwa kuwa walikuja kujadili msiba wa DRC. Huyo kiongozi mwenye jukumu la kuandaa shughuli za kuwapokea vingozi kwa itifaki ya kuwapigia ngoma na matarumbeta ni zuzu, hafikiri vema kutokana muktadha wa matukio na hali zake. Labda kama ngoma na matarumbeta hayo ingekuwa ni maombolezo tu
copy and paste utamaduni wa wapi huo?Mambo ya ku copy na ku paste hayo. Vilaza wa Ikulu wanachojua na kupokea mgeni na ngoma na shangwe. Upuuzi kabisa.
Nchi ya vituko..Naamini kitendo hicho kinajenga picha kwamba hatuko serious.
..Huenda Watanzania tumeambukizwa usanii-sanii na Wacongomani.
..Congo kuna msiba halafu sisi tumeandaa ngoma katikati ya msiba.
..Tanzania tumepoteza vijana wetu, na hata miili yao hatujaipewa, halafu tunacheza ngoma na matarumbeta.
..Paul Kagame ambaye majeshi yake yamehusika kuuwa vijana wetu naye kapokelewa kwa vigelegele vya ngoma na matarumbeta.
..Walioandaa mapokezi yale wanapaswa kuwajibishwa.
Africa mijitu mingi ni mijinga kupindukia. Ilitakiwa hao viongozi wapokelewe na vilio vya wanacongo. Hata mabango ya kupinga mauaji unaweza kukuta yalizuiwa. Yaani sisi tunapambana na kifo kwa kukikumbatia. Ni huzuni..Naamini kitendo hicho kinajenga picha kwamba hatuko serious.
..Huenda Watanzania tumeambukizwa usanii-sanii na Wacongomani.
..Congo kuna msiba halafu sisi tumeandaa ngoma katikati ya msiba.
..Tanzania tumepoteza vijana wetu, na hata miili yao hatujaipewa, halafu tunacheza ngoma na matarumbeta.
..Paul Kagame ambaye majeshi yake yamehusika kuuwa vijana wetu naye kapokelewa kwa vigelegele vya ngoma na matarumbeta.
..Walioandaa mapokezi yale wanapaswa kuwajibishwa.
Sawa, uachwe na ni wakijinga, and very primitive, unadhani kipi kingetokea na kwa Utamaduni gani wageni wapokelewe?Huu utamaduni wa kuwachezea ngoma hao mnaowaita viongozi ni jambo la kijinga sana, very primitive. Kwani lazima wachezewe ngoma? Kwani wakipokelewa tu bila ngoma kuna shida gani? Huu utamaduni wa kijinga uachwe.
Kwani lini mlikuwa serious mkuu?. Kifupi huu utamaduni wa Marais wa kigeni kuchezewa ngoma wakishuka pale uwanja wa ndege Dar ufutwe kabisa, ni utaratibu wa kijinga na usio na maana yoyote Ile.Naamini kitendo hicho kinajenga picha kwamba hatuko serious.
Ki vp?Nchi ya vituko
Ulishaona wapi Marais wa kigeni hawachezewi ngoma?😂Kwani lini mlikuwa serious mkuu?. Kifupi huu utamaduni wa Marais wa kigeni kuchezewa ngoma wakishuka pale uwanja wa ndege Dar ufutwe kabisa, ni utaratibu wa kijinga na usio na maana yoyote Ile.
Duh! .....Naamini kitendo hicho kinajenga picha kwamba hatuko serious.
..Huenda Watanzania tumeambukizwa usanii-sanii na Wacongomani.
..Congo kuna msiba halafu sisi tumeandaa ngoma katikati ya msiba.
..Tanzania tumepoteza vijana wetu, na hata miili yao hatujaipewa, halafu tunacheza ngoma na matarumbeta.
..Paul Kagame ambaye majeshi yake yamehusika kuuwa vijana wetu naye kapokelewa kwa vigelegele vya ngoma na matarumbeta.
..Walioandaa mapokezi yale wanapaswa kuwajibishwa.