SOCIETY'S FOCUS
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 498
- 685
watoe post wa2 tujue tunaelekea wap
hv uliomba kupitia nacte (online application) au wizara kutumia barua???????
uliomba ile yakupewa ruzuku au mkopo kwa wanao omba kwa ngazi ya stashahada????
Shukuru "kawa "mbwa"
kweli waziri mzigo tu!Shukuru "kawa "mbwa"
Shukuru "kawa "mbwa"
plz km kuna mtu aliapply stashahada ya ualimu ajitokeze hapa