Waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya ualimu ngazi ya CHETI (Grade A) na STASHAHADA 2013/2014

Status
Not open for further replies.
Vigezo vifuatavyo vitatumika
kuchagua wanachuo wa kujiunga na
mafunzo ya ualimu mwaka 2014/15.
1: MAFUNZO YA UALIMU TARAJALI
NGAZI YA CHETI DARAJA ‘A’: MUDA
MIAKA 2
(i) Cheti Ualimu wa kawaida katika
vyuo vya Ilonga, Kabanga, , Kitangali,
Mandaka , Murutunguru , Ndala , na
Tarime
(ii) Cheti Ualimu Elimu ya Awali katika
vyuo vya Kabanga, Kinampanda,
Mhonda, Mtwara (U), Singachini,
Tandala, Tarime
(iii) Cheti Ualimu Elimu kwa michezo
katika vyuo vya Ilonga, Tarime, Ndala
na Mtwara (U)
Mwombaji awe:
Mhitimu wa Kidato cha IV kati ya
mwaka 2004 na 2013 mwenye ufaulu
wa kiwango kisichopungua Daraja la
III katika Mtihani uliofanyika katika
kikao kimoja. 2: MAFUNZO KABILISHI
NGAZI YA CHETI (BRIDGING
COURSE) KWA AJILI YA KUJIUNGA
NA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA
CHETI:- MUDA MWAKA 1
Mafunzo katika vyuo vya ualimu
Bustani, Kinampanda, Mhonda,
Mpuguso, Mtwara (U), Nachingwea,
Singachini, Tandala, Katoke na
Sumbawanga
2
Mwombaji awe:
(i) Amehitimu wa Kidato cha IV kati ya
mwaka 2004 hadi 2012 na awe
amefaulu kwa kiwango kisichopungua
Daraja la IV kwa alama 26 au 27 (kwa
mtihani wa mwaka 2004 hadi 2012)
na alama 33 au 34 (mtihani wa
mwaka 2013) kwa mitihani iliyofanyika
katika kikao kimoja; na
(ii) Mwenye ufaulu wa angalau
kiwango cha D katika masomo ya
Sayansi, Hisabati, English na
Kiswahili katika Mtihani wa Kidato cha
IV.
Tanbihi: Watakaofaulu mtihani wa
mafunzo rekebishi wataendelea na
mwaka wa pili wa mafunzo ya ualimu
ngazi ya cheti Daraja A 3: ELIMU
MAALUM: MIAKA 2 katika chuo cha
Patandi:-
Mwombaji awe:
(i) Mwalimu wa Daraja ‘A’ mwenye
uzoefu wa kazi ya Ualimu kwa muda
usiopungua miaka miwili.
(ii) Mwenye ufaulu angalau somo
moja la Sayansi katika Mtihani wa
Kidato cha IV.
Tanbihi:Walimu wanaofundisha Elimu
Maalum hata kama hawana mafunzo
maalumu ni sifa ya nyongeza
(uthibitisho uambatishwe
 
Naombeni msaada wenu je majina ya waliochaguliwa mafunzo ya ualimu ngazi ya cheti na stashahada yameshatoka na kama bado yanaweza toka ln? Msaada wenu tafadhali...

Wadau naulizia majina ya mafunzo ya ualimu ngazi ya cheti na mafunzo kabilishi yameshatoka?. naon wesite ya wizara haifunguki
 
Wadau vp majina kujiunga na ualimu ngazi ya cheti hawajatoa maana cku ndo zinaenda?
 
hv uliomba kupitia nacte (online application) au wizara kutumia barua???????

Majina ya waliochaguliwa yatatoka muda c mrefu na tujiandae kuanza masomo majina yakitoka. Subira yavuta heri. Mie nasubiri na hasa kozi mpya ya dip ya miaka mitatu ya masomo ya sayansi, hisabati na English.
 
Tovuti ya wizara ina matatizo ya kiufundi na yanafanyiwa kazi. Majina ya watakaochaguliwa yatatangazwa kwa umma muda si mrefu kupitia vyombo mbalimbali vya habari.Tujiandae tulio na sifa hasa tuliofaulu masomo ya sayansi, number na English
 
hv uliomba kupitia nacte (online application) au wizara kutumia barua???????

Majina ya waliochaguliwa yatatoka muda c mrefu na tujiandae kuanza masomo majina yakitoka. Subira yavuta heri. Mie nasubiri na hasa kozi mpya ya dip ya miaka mitatu ya masomo ya sayansi, hisabati na English.
 
Naombeni msaada wenu je majina ya waliochaguliwa mafunzo ya ualimu ngazi ya cheti na stashahada yameshatoka na kama bado yanaweza toka ln? Msaada wenu tafadhali...
Majina yatatoka hivi karibuni na watakaochaguliwa wengi ni waliofaulu masomo ya sayansi, hisabati na english. Tulioomba kusoma dip ya miaka mitatu tujiandae na serikali itatupatia mkopo wale tutakasoma masomo ya sayanai, math na english.
 
hivi wakuu kama ulijaza selform je kunauwezekano wa kuchaguliwa kujiunga na mafunzo ya ualimu ikiwa umepata div 3
 
sikia niwapeni taarifa wadogo mnaosubiri post za ualimu kifupi ni kwamba waliopo chuoni sasa hivi wamefanya mtihani wa mchujo mwez huu mwanzon sasa matokeo mpaka mwezi wa tisa au kumi inamaana watakao rudia mwaka ndo mtaanza nao ho ndo wameanzishiwa kabilishi BIG RISAT NAU BRN
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…