sikia niwapeni taarifa wadogo mnaosubiri post za ualimu kifupi ni kwamba waliopo chuoni sasa hivi wamefanya mtihani wa mchujo mwez huu mwanzon sasa matokeo mpaka mwezi wa tisa au kumi inamaana watakao rudia mwaka ndo mtaanza nao ho ndo wameanzishiwa kabilishi BIG RISAT NAU BRN
Eeeh mungu wetu muweza wa yote tunaomba sisi wanao tunao subilia post za ualimu majina yetu nasi yaweze kutoka amgalau tuweze kuona nuru cz tupo kitaaa maisha magumu tukilala tukiamka ina kuwa ni afadhali ya jana niwatakie uvumilivu mwema serikali yetu nayo inajua tunavyo lalamika umu ndani nakushukulu ww unae soma ujumbe wangu
Eeeh mungu wetu muweza wa yote tunaomba sisi wanao tunao subilia post za ualimu majina yetu nasi yaweze kutoka amgalau tuweze kuona nuru cz tupo kitaaa maisha magumu tukilala tukiamka ina kuwa ni afadhali ya jana niwatakie uvumilivu mwema serikali yetu nayo inajua tunavyo lalamika umu ndani nakushukulu ww unae soma ujumbe wangu
Hii ndo TanzaniaKaribuni BRN Ndugu Zangu, Mipango Kaz Na Supp,,zinawasubr Huku.
Naomba kuuliza kama wizara imeshatangaza majina ya waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya cheti ualimu daraja IIIA ,kwani niliomba.mwenye taarifa naomba anijuze tafadhari
dah! serikal ituone huruma jaman tumechoka kukaa nyumban kama ni adhabu inatosha