Pre GE2025 Waliochaguliwa kwenye kuandikisha daftari la kudumu la wapiga kura ni Walimu tupu

Pre GE2025 Waliochaguliwa kwenye kuandikisha daftari la kudumu la wapiga kura ni Walimu tupu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Walimu acheni tamaa. Hizi fursa za muda mfupi achieni majobless, mbaya zaidi kwakua assessment inafanywa na watu kutoka halmashauri basi mwajiri wao anawadaka ili walimu tu maana watumish wengine hawajaomba kwasababu wanajitambua nasio mapunguani

Walimu mbona mnapenda kujidhalilisha ahseeeee!!. Kazi zingine zinadhalilisha utu wenu achieni vijana wamitaani njaa zenu isiwe tabu na kero kwa jamii. Hamjiulizi mbona madaktari, wanasheria, watu wa bank, watu wa TRA, watu wa DAWASCO, TPDC, TANAPA, TABASCO, TCRA, TRC, POSTA, WANAJESHI, hao wote hawajaomba why nyinyi tuu??
 
Walimu acheni tamaa. Hizi fursa za mda mfupi achieni majobless, mbaya zaidi kwakua assessment inafanywa na watu kutoka halmashauri basi mwajiri wao anawadaka ili walimu tu maana watumish wengine hawajaomba kwasababu wanajitambua nasio mapunguani

Walimu mbona mnapenda kujidhalilisha ahseeeee!!. Kazi zingine zinadhalilisha utu wenu achieni vijana wamitaani njaa zenu isiwe tabu na kero kwa jamii. Hamjiulizi mbona madaktari, wanasheria, watu wa bank, watu wa TRA, watu wa DAWASCO, TPDC, TANAPA, TABASCO, TCRA, TRC, POSTA, WANAJESHI, hao wote hawajaomba why nyinyi tuu??
Walimu wana tamaa sana hawapendi majobless wapate fursa hata ziwe ndogo ndogo
 
Walimu ndo backup ya serikali, hata posho iwe ndogo kiasi gani walimu hawaachi kuichangamkia ndo maana serikali ikiwa na jamno linalohitaji watu wengi iwe kwa bure au kwa malipo kidogo basi wana uhakika na hili chimbo lao hahahahahah!
 
Back
Top Bottom