Pre GE2025 Waliochaguliwa kwenye kuandikisha daftari la kudumu la wapiga kura ni Walimu tupu

Pre GE2025 Waliochaguliwa kwenye kuandikisha daftari la kudumu la wapiga kura ni Walimu tupu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nani aliyekuambia wote waliopata hizo nafasi ni waalimu mbona wapo wengi tu waliotokea kitaa, by the way serikali inafanya hivyo kwa sababu hata ikitokea vile vifaa vimeibiwa waalimu ni rahisi kuwakamata kuliko majobless, ndio maana hata kwenye sensa wengi walikuwa waalimu na zoezi lilipoisha vishikwambi wakapewa waalimu tu
 
Oyaa!! Vipi Mimi nilijua upo Nepal kwenye issue ya udereva kumbe unapambana na walimu!!! Duuu pole sana mgogo wa mpunguzi !! Yani unawinda mpaka daftari la kura!? Kubali umechoka!!
😂😂😂
 
Nani aliyekuambia wote waliopata hizo nafasi ni waalimu mbona wapo wengi tu waliotokea kitaa, by the way serikali inafanya hivyo kwa sababu hata ikitokea vile vifaa vimeibiwa waalimu ni rahisi kuwakamata kuliko majobless, ndio maana hata kwenye sensa wengi walikuwa waalimu na zoezi lilipoisha vishikwambi wakapewa waalimu tu
Mbona Hakuna madaktari au nao ni majobless.
 
Mbona Hakuna madaktari au nao ni majobless.
Duuh kwahiyo wewe unaona ratiba ya kazi ya daktari ni sawa na ya mwalimu, daktari aliyeko kazini ni ngumu kufanya hizi kazi labda kama unaongelea jobless aliyesomea udaktari (ambao wapo wengi tu), kwanza asilimia kubwa ya hivyo vituo vya kuandikishia ni mashule ndio maana waalimu wanahusika kwa sana
 
Back
Top Bottom