Pre GE2025 Waliochaguliwa kwenye kuandikisha daftari la kudumu la wapiga kura ni Walimu tupu

Pre GE2025 Waliochaguliwa kwenye kuandikisha daftari la kudumu la wapiga kura ni Walimu tupu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Walimu acheni tamaa. Hizi fursa za muda mfupi achieni majobless, mbaya zaidi kwakua assessment inafanywa na watu kutoka halmashauri basi mwajiri wao anawadaka ili walimu tu maana watumish wengine hawajaomba kwasababu wanajitambua nasio mapunguani

Walimu mbona mnapenda kujidhalilisha ahseeeee!!. Kazi zingine zinadhalilisha utu wenu achieni vijana wamitaani njaa zenu isiwe tabu na kero kwa jamii. Hamjiulizi mbona madaktari, wanasheria, watu wa bank, watu wa TRA, watu wa DAWASCO, TPDC, TANAPA, TABASCO, TCRA, TRC, POSTA, WANAJESHI, hao wote hawajaomba why nyinyi tuu??
Sawa, lakini hapo mwisho, binafsi naona umechanganya TAALUMA na MASHIRIKA..!! Madaktari au wansheria ni wana taaluma, lakini DAWASCO, POSTA etc. Kuna mwalimu yupo jeshini anafundisha shule ya jeshi, na wengine ni wanajeshi pia.
 
Walimu acheni tamaa. Hizi fursa za muda mfupi achieni majobless, mbaya zaidi kwakua assessment inafanywa na watu kutoka halmashauri basi mwajiri wao anawadaka ili walimu tu maana watumish wengine hawajaomba kwasababu wanajitambua nasio mapunguani

Walimu mbona mnapenda kujidhalilisha ahseeeee!!. Kazi zingine zinadhalilisha utu wenu achieni vijana wamitaani njaa zenu isiwe tabu na
 
Hizo kada hawajasambaa vijijini kama walimu.Jobless mlipewa sensa mkalewa na kuuza vishkwambi
 
Wasamehe wapate Hela ya kununulia mafuta yakupaka mana sikupauka kwao huko
 
Walimu acheni tamaa. Hizi fursa za muda mfupi achieni majobless, mbaya zaidi kwakua assessment inafanywa na watu kutoka halmashauri basi mwajiri wao anawadaka ili walimu tu maana watumish wengine hawajaomba kwasababu wanajitambua nasio mapunguani

Walimu mbona mnapenda kujidhalilisha ahseeeee!!. Kazi zingine zinadhalilisha utu wenu achieni vijana wamitaani njaa zenu isiwe tabu na kero kwa jamii. Hamjiulizi mbona madaktari, wanasheria, watu wa bank, watu wa TRA, watu wa DAWASCO, TPDC, TANAPA, TABASCO, TCRA, TRC, POSTA, WANAJESHI, hao wote hawajaomba why nyinyi tuu??
Ni suala la kuamua tu walimu waliamua kuomba kosa lao ni lipi kupata au?
 
Walimu acheni tamaa. Hizi fursa za muda mfupi achieni majobless, mbaya zaidi kwakua assessment inafanywa na watu kutoka halmashauri basi mwajiri wao anawadaka ili walimu tu maana watumish wengine hawajaomba kwasababu wanajitambua nasio mapunguani

Walimu mbona mnapenda kujidhalilisha ahseeeee!!. Kazi zingine zinadhalilisha utu wenu achieni vijana wamitaani njaa zenu isiwe tabu na kero kwa jamii. Hamjiulizi mbona madaktari, wanasheria, watu wa bank, watu wa TRA, watu wa DAWASCO, TPDC, TANAPA, TABASCO, TCRA, TRC, POSTA, WANAJESHI, hao wote hawajaomba why nyinyi tuu??
Kwani walimu ndio walizuia vijana wa mtaani wasipate nafasi ya waandikishaji? Lakini pia zipo nafasi za BVR operators, nazo pia vijana wa mtaani wamezuiwa na walimu?
 
Back
Top Bottom