Waliochaguliwa SUA hapa!

Waliochaguliwa SUA hapa!

Duuh!! does that count, coz i dnt keep track of time. Ila naumwa na malaria, hivyo nilipata tabu sana kulala jana.
 
jaman mnatzama kwa web za chuo au vp m mbona nkfungua my profle nambia not prossed inakuaje?
 
jaman mnatzama kwa web za chuo au vp m mbona nkfungua my profle nambia not prossed inakuaje?

ingia kwenye your tcu akaunt click my profile then view my selectn status utaona umechaguliwa wapi? Pale kwa juu
 
Ndugu zangu wa SUA na BVM wenzangu mwaka wa masomo unaanza rasmi tarehe 15 october,sasa cjui hapo tutaenda lini?!
 
afu masela wa sua...kuna jamaa humu JF anaitwa BARO...yuko pande za huko pia...kama mtu ukimpata anaweza tupa ma-info ya kutosha tu kuhusu pande zile!!!
 
afu masela wa sua...kuna jamaa humu JF anaitwa BARO...yuko pande za huko pia...kama mtu ukimpata anaweza tupa ma-info ya kutosha tu kuhusu pande zile!!!

jamaa nampata vilivyo tena embu ngoja nimtafute !!
 
Back
Top Bottom