Waliochanga hela kwa Feisal Salum zitarudì?

Waliochanga hela kwa Feisal Salum zitarudì?

Mangi shangali

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
533
Reaction score
820
Hahahahaa kweli kuna watu wajanja:fei kala ela za wajinga alafu waliochanga pesa ni simba.

Alafu kaenda azam duh hii inaitwa turn over a k.a u turn.

Hivi simba mnashida gani?

Mbona akili ndogo sana.

Viongozi wenu waajabu sana.

Ela imeliwa na muhuni fei toto.

Mmeshupaza shingo kiko wapìii?

Nauliza hivi kiko wapiiii..
 
Hahahahaa kweli kuna watu wajanja:fei kala ela za wajinga alafu waliochanga pesa ni simba..
Alafu kaenda azam duh hii inaitwa turn over a k.a u turn.

Hivi simba mnashida gani??
Mbona akili ndogo sana.
Viongozi wenu waajabu sana.

Ela imeliwa na muhuni fei toto.
Mmeshupaza shingo kiko wapìii??
Nauliza hivi kiko wapiiii..
Kiendacho kwa mganga hakirudi mjomba
 
Hahahahaa kweli kuna watu wajanja:fei kala ela za wajinga alafu waliochanga pesa ni simba..
Alafu kaenda azam duh hii inaitwa turn over a k.a u turn.

Hivi simba mnashida gani??
Mbona akili ndogo sana.
Viongozi wenu waajabu sana.

Ela imeliwa na muhuni fei toto.
Mmeshupaza shingo kiko wapìii??
Nauliza hivi kiko wapiiii..
Huu muda ungeutumia kujifundisha kuiandika lugha yako kwa ufasaha,ungefaidika sana kuliko kuja hapa na kumwaga pumba.
 
Hahahahaa kweli kuna watu wajanja:fei kala ela za wajinga alafu waliochanga pesa ni simba..
Alafu kaenda azam duh hii inaitwa turn over a k.a u turn.

Hivi simba mnashida gani??
Mbona akili ndogo sana.
Viongozi wenu waajabu sana.

Ela imeliwa na muhuni fei toto.
Mmeshupaza shingo kiko wapìii??
Nauliza hivi kiko wapiiii..
Halafu watu hao hao ukiwaambia watoe sadaka kanisani au kutoa msaada kwa maskini hawatoi lakini wapo tayari kupelekea wajanja wajanja ela ziliwe
 
Mbona UNAANDIKA Pumba sana????

1.Ndio maana tumekubaliana hapa jukwaani kwamba Mashabiki wengi wa Yanga wanaandika Nyuzi za hovyo sana.

Tena Bila huruma wanajaza Seva za Jamii Forum. Kwa Upuuzi WANAO uandika.

2. Ni KIONGOZI Gani wa Simba ALIYESEMA FEISAL ANAKWENDA Simba???????
Au KIONGOZI Gani ALISEMA FEISAL amesaini MKATABA na Simba?????
FICHA UJINGA.

Simba mbona inawachezaji wazuri zaidi kwenye No 10.
Kuna chama, Saidoo, Sackho na phili.

3. Mashabiki WA Simba waliunga mkono mchezaji KUONDOKA yanga kwa sababu Hana Mapenzi na yanga, anadhurumiwa MSHAHARA mdogo nk


JARIBU KUTUMIA AKILI ACHA KUANDIKA KI BWEGE BWENGE KWA MIHEMUKO KAMA UMESHIKIWA BOMBA.
SH3NZI KABISA.
 
Hahahahaa kweli kuna watu wajanja:fei kala ela za wajinga alafu waliochanga pesa ni simba..
Alafu kaenda azam duh hii inaitwa turn over a k.a u turn.

Hivi simba mnashida gani??
Mbona akili ndogo sana.
Viongozi wenu waajabu sana.

Ela imeliwa na muhuni fei toto.
Mmeshupaza shingo kiko wapìii??
Nauliza hivi kiko wapiiii..
Mkuu usiwasanue,acha miye na Fei tuomole kidogo kidogo
 
FB_IMG_1682646137959.jpg
 
Back
Top Bottom