BUMIJA MOSES
Member
- Aug 27, 2020
- 75
- 85
Hakuna mtu aliyedukua hotuba. Hata leo hajabadilisha kauli ya ukubwa wa madeni na hatari iliyo mbele yetu ya nchi kupigwa mnadaKama ni kweli hakuwa na nia mbaya ya kuziponda tozo, na mkopo wa tril 1.3 basi wahuni waliodukua na kuifoji hiyo klip ili kumuonyesha spika akiponda mkopo wa tril na kudai watanzania tutauzwa kama ng'ombe wasakwe na kukamatwa
Ieleweke wazi kuwa kudukua na kufoji ni kosa la kimtandao. Na walifanya hivi ili kumchonganisha spika na mkuu wa nchi wamefanya kosa.
Wasakwe na kukamatwa ili sheria ifuate mkondo.
Tuanzie hapa kwanza.Kama ni kweli hakuwa na nia mbaya ya kuziponda tozo, na mkopo wa tril 1.3 basi wahuni waliodukua na kuifoji hiyo klip ili kumuonyesha spika akiponda mkopo wa tril na kudai watanzania tutauzwa kama ng'ombe wasakwe na kukamatwa
Ieleweke wazi kuwa kudukua na kufoji ni kosa la kimtandao. Na walifanya hivi ili kumchonganisha spika na mkuu wa nchi wamefanya kosa.
Wasakwe na kukamatwa ili sheria ifuate mkondo.
kiukweli spika hana kosa kuishauri selikali ndio wajibu wake na ilitakiwa iwe ivyo tangu mwanzo.sasa hoja iko hapa wenzako waliosema uliwaita kwenye kamati ya maadili.sasa huu uzalendo kautoa wapi ghafula?Kama ni kweli hakuwa na nia mbaya ya kuziponda tozo, na mkopo wa tril 1.3 basi wahuni waliodukua na kuifoji hiyo klip ili kumuonyesha spika akiponda mkopo wa tril na kudai watanzania tutauzwa kama ng'ombe wasakwe na kukamatwa
Ieleweke wazi kuwa kudukua na kufoji ni kosa la kimtandao. Na walifanya hivi ili kumchonganisha spika na mkuu wa nchi wamefanya kosa.
Wasakwe na kukamatwa ili sheria ifuate mkondo.
.Kama ni kweli hakuwa na nia mbaya ya kuziponda tozo, na mkopo wa tril 1.3 basi wahuni waliodukua na kuifoji hiyo klip ili kumuonyesha spika akiponda mkopo wa tril na kudai watanzania tutauzwa kama ng'ombe wasakwe na kukamatwa
Ieleweke wazi kuwa kudukua na kufoji ni kosa la kimtandao. Na walifanya hivi ili kumchonganisha spika na mkuu wa nchi wamefanya kosa.
Wasakwe na kukamatwa ili sheria ifuate mkondo.
Ndiyo maana nakuomba Samia mwenye heri.....Mzee kashachutama
Angedukuliwa asingeomba msamaha
Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana.
HaaAlikuwa anaongea na wagogo.
Wewe unahangaikaga sana kutetea visivyowezekana kutetewa...!!! Si unakumbuka ulivyokuwa unaanzisha nyuzi za kumtetea SABAYA..!? Leo kiko wapi? Huyo unayetaka kumtetea sasa hivi hajadukuliwa..Kama ni kweli hakuwa na nia mbaya ya kuziponda tozo, na mkopo wa tril 1.3 basi wahuni waliodukua na kuifoji hiyo klip ili kumuonyesha spika akiponda mkopo wa tril na kudai watanzania tutauzwa kama ng'ombe wasakwe na kukamatwa
Ieleweke wazi kuwa kudukua na kufoji ni kosa la kimtandao. Na walifanya hivi ili kumchonganisha spika na mkuu wa nchi wamefanya kosa.
Wasakwe na kukamatwa ili sheria ifuate mkondo.
Huenda ni mboweKama ni kweli hakuwa na nia mbaya ya kuziponda tozo, na mkopo wa tril 1.3 basi wahuni waliodukua na kuifoji hiyo klip ili kumuonyesha spika akiponda mkopo wa tril na kudai watanzania tutauzwa kama ng'ombe wasakwe na kukamatwa
Ieleweke wazi kuwa kudukua na kufoji ni kosa la kimtandao. Na walifanya hivi ili kumchonganisha spika na mkuu wa nchi wamefanya kosa.
Wasakwe na kukamatwa ili sheria ifuate mkondo.
Unafikiria kwa huo msamaha wa kinafiki, mama atakuwa amemsahau"nimekusamehe lakini sitokusahau"kwani matamshi yake yalikuwa wazi kabisa hakuna kusema kuwa amelishwa maneno!!hapo lichopunguza ni matusi tu kutoka kwa wana ccm wenzake, lakini heshima tayari imeshapotea!!Amelazimishwa ni mnafiki sn huyu mzee
Jamaa halielewi hata maana ya kudukuliwa!!yaani mtu yuko ukumbini ana hutubia, clip yake inatoka unasema kadukuliwa!!ila mama ameshapata sura halisi ya Ndugai!!Wewe unahangaikaga sana kutetea visivyowezekana kutetewa...!!! Si unakumbuka ulivyokuwa unaanzisha nyuzi za kumtetea SABAYA..!? Leo kiko wapi? Huyo unayetaka kumtetea sasa hivi hajadukuliwa..
Malaika Jiwe na watakatifu woteWewe jamaa acha upuuzi
Je Ndugai alikuwa na hoja ama hakuwa na hoja?Unafikiria kwa huo msamaha wa kinafiki, mama atakuwa amemsahau"nimekusamehe lakini sitokusahau"kwani matamshi yake yalikuwa wazi kabisa hakuna kusema kuwa amelishwa maneno!!hapo lichopunguza ni matusi tu kutoka kwa wana ccm wenzake, lakini heshima tayari imeshapotea!!
Wewe unajua nini kuhusu kesi na justice system?Wewe unahangaikaga sana kutetea visivyowezekana kutetewa...!!! Si unakumbuka ulivyokuwa unaanzisha nyuzi za kumtetea SABAYA..!? Leo kiko wapi? Huyo unayetaka kumtetea sasa hivi hajadukuliwa..
Sijui chochote zaidi ya kwamba SABAYA kala mvua 30 ... Wewe unayedhani unajua makorokocho hayo, maneno yako hayajabadilisha ukweli kwamba aliyotuhumiwa nayo yamethibitishwa na mahakama.Wewe unajua nini kuhusu kesi na justice system?
Uzee unatoka wapi hapa?