Waliodukua na kubadili hotuba ya Spika Ndugai wasakwe na kukamatwa maana huo ni uzandiki wa kumchonganisha na mkuu wa nchi

Hizi kesi mmalizane wenyewe sisi hayatuhusu.

Maendeleo hayana vyama
 
Ndugai alipoona wenzake sasa wanahoji uhalali wa Covid-19 kuendelea kubaki bungeni kaona aombe msamaha haya yangekuwa makubwa zaidi yanayomuhusu yeye, nchi ya aibu sana hii ndugai anapiga magoti kwa mama aliyemdharau mchana kweupe
 
Ww lazima utakuwa ni mzee, ndio maana unaleta huu ujinga ukidhani watu hawajui lolote.
Umeandika mzee au ulitaka kuandika mzembe? Huyu ni moja ya ma-pumbavu ambayo yanajua tumbo lao tu.
 
Je Ndugai alikuwa na hoja ama hakuwa na hoja?
Inshu sio kuwa na hoja au kutokuwa nayo cha msingi je ni wakati sahihi wa kuitoa hoja yako?!!hili deni la taifa toka awamu ya tano wapinzani wamekuwa wakilipigia kelele sana, lakini majibu yalikuwa ni ya kuwabeza tena ndani ya bunge na yeye akiwemo!!kitu gani cha ajabu kimemfanya leo hii nayeye ashituke.Kifupi ni kuwa alitaka tu kumtikikisa mama na kuonyesha kuwa bado ndani ya ccm kuna watu hawajaamini kuwa kweli utawala wa awamu ya 5 ilimalizika.Na hata huo msamaha hautamuweka karibu na mama tayari ni doa.
Kifupi CCM wote ni wanafiki tu kwani awamu ya 5 walishangilia kuwa nchi haikopi baada ya kuaminishwa hivyo, leo hii tena wanashangilia kuwa lazima tukope tu.
 
Samahani mzee sintarudia tena, ila ujumbe umefika kwa huyo mzee mwenzio.
Ujinga uliokolezwa na upumbavu usiposemwa itaonekana ni jambo LA kawaida na la kujivunia kwa mwennye nalo!

Jenga hoja kijana, hakuna dhambi MTU kuwa mzee, na Hata wewe siku moja utafikia kuitwa mzee, na umesahau tuu, pia wazazi wako ni wazee!
 
Yeye na ndugu zake wa ccm ndio waliunza mchezo huo wa udukuzi kwa kudukua sahihi ya Mnyika na kuwaruhusu covid 19 kuwepo bungeni...ngoja udukuzi umtafune, labda ajajirudi lakini sio hii ya nimekosa mimi nimekosa sana... press conference sio kanisani... vinginevyo maneno aliyotumia nayo ni dhihaka ya Sala kwa kuyatoa mahali pasipo husika...
 
Kama Spika hawezi kusimamia anachoamini kuna haja gani ya kuwa na bunge?
 
Embu ficha ujinga wako wewe inzi wa lumumba!
Jitu limeropoka lenyewe wewe unasema kuna waliodukua? Huna hata soni wala aibu?
Yeye aliwatisha kina jeneral ulimwengu akiwa amevaa majoho pale bungeni. Ulimsikia ndugai akisema popote kwamba sauti na video ile ya ulimwengu imedukuliwa?
Acha ahukumiwe na umma kama alivyowahukumu wakina ulimwengu
 
Your browser is not able to display this video.


Huyu ndiye Ndugai na hajawahi kuwa sahihi hata siku moja pamoja na kupakatwa maisha yake yote!
Waliomsukumizia uspika wanavuna tu walichopanda...huwezi kupanda mchicha ukavuna nyanya, no no no!
 
Ujinga uliokolezwa na upumbavu usiposemwa itaonekana ni jambo LA kawaida na la kujivunia kwa mwennye nalo!

Jenga hoja kijana, hakuna dhambi MTU kuwa mzee, na Hata wewe siku moja utafikia kuitwa mzee, na umesahau tuu, pia wazazi wako ni wazee!

Mzee hoja yako ni nini hapa, maana nimeshakupotezea naona unanizonga tu. Unataka nikupe vitasa mpaka ukiona hii id uchanganyikiwe? Huyo peasant mwenzako nimemshampa majibu yake, na kama ww unataka kununua ugomvi sema nikurudishie ujana wako.
 
Huu ni ujinga
 
Kaminywa korodani na mama
Tusiangalie tu hilo la kuomba radhi. Pia aliziponda bajeti zilizopita na kusifu hii ya maa.
Eti hakukukuwa na nidhamu ya bajeti. Nafikiri akibanwa tena atasema jambo.
 
Mipango gani? ni kiongozi mkubwa huyo na kazi ya bunge ni kusimamia serikali sio kuwa rubber stamp ya watawala, na yote aliyosema ni ya kweli kabisa na wengi ndivyo tunavyofikiria, hakutakiwa kuomba msamaha kabisa, culture ya kufikiri viongozi hawakosolewi ni ya ovyo sana na ndio maana hatuna maendeleo
 
Peleka ujinga wako huko
 
Aboud Jumbe, Prof Assad, Horace Kolimba, Bibi Titi Mohamed, Edwin Mtei n.k
Hakuna aliye dukua,
Tatizo ni uoga tu,
Nchi hii tukijakupata viongozi wasio waoga na wanafiki tutafika mbali sana,
Maana Dhambi ya UOGA NA UNAFIKI
ndio iliotufikisha hapa,
Watu hawana uwezo wa kusimamia kauli au misimamo yao,
 
Mzee hoja yako ni nini hapa, maana nimeshakupotezea naona unanizonga tu. Unataka nikupe vitasa mpaka ukiona hii id uchanganyikiwe? Huyo peasant mwenzako nimemshampa majibu yake, na kama ww unataka kununua ugomvi sema nikurudishie ujana wako.
Tehe tehe!

Nasomeka kama new member, lkn...!! Tehe tehe!! Tindo, anza tena Leo kuiogopa hiyo I'd mkuu!!
 
Mzee kashachutama

Angedukuliwa asingeomba msamaha

Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana.
Haya maneno yako kwenye sala ya 'nakuungamia' wakatoliki wenzangu mnaweza kunisahihisha.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…