Madogo ambao wapo chini ya Kings Music ya Ali Kiba walikosea sana kwenda huko coz Kiba hajui kuongoza vizuri na pia hajui kuwapa promotion at the right time.
Angalia sasa wamekalishwa benchi muda mrefu bila kutoa ngoma wakati ndio kwanza ni wasanii underground.
Kama Kiba ameishiwa mashairi ya kutoa ngoma awaachie madogo wafanye muziki.
Anataka hao madogo wale nini wakati 98% wanategemea muziki?
Angalia sasa wamekalishwa benchi muda mrefu bila kutoa ngoma wakati ndio kwanza ni wasanii underground.
Kama Kiba ameishiwa mashairi ya kutoa ngoma awaachie madogo wafanye muziki.
Anataka hao madogo wale nini wakati 98% wanategemea muziki?