Jimmy De Lite
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 635
- 2,321
bro achana na hilo jamaa,unaweza sema kiba aliwahi lichapia demu,Baada ya huu uzi Naomba tuanziahie mwingine kuhusu lavalava. Hivi analeta faida pale wasafi?
Kiba mwenyew Hata ngoma hatoi ila anavyo mwumiza huyu jamaa innocent ni balaa,haipiti cku bila kumzungumzia mabaya.