Jimmy De Lite
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 635
- 2,321
bro achana na hilo jamaa,unaweza sema kiba aliwahi lichapia demu,Baada ya huu uzi Naomba tuanziahie mwingine kuhusu lavalava. Hivi analeta faida pale wasafi?
comment bora ndani ya mwezi huuBaada ya huu uzi Naomba tuanziahie mwingine kuhusu lavalava. Hivi analeta faida pale wasafi?
anaimba Qswida kila ijumaaBaada ya huu uzi Naomba tuanziahie mwingine kuhusu lavalava. Hivi analeta faida pale wasafi?
Kule kwa wiz nilimjibu mtoa mada baada ya kusema wabongo tunakwama wapi?so sikuingiza mada mpya.
Wewe unaonaje kwani?Baada ya huu uzi Naomba tuanziahie mwingine kuhusu lavalava. Hivi analeta faida pale wasafi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hili lidada alijielewi sasa unamfananisha lavalava na hao mashoga zako ebooooooh be carefully with your heart
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah.Mbona wanatoa ngoma kibao kali tu.
Sema kiba kawaambia wasipende show off so wanajifungia chumbani wanazisikiliza wenyewe.
Wewe unaonaje kwani?
Baada ya huu uzi Naomba tuanziahie mwingine kuhusu lavalava. Hivi analeta faida pale wasafi?
Ametumwa na wale madogoMi nahisi ww utakua ni moja ya hao madogo.. anyway tumeskia kilio chenu
ni kwa manufaa yaop wenyewe hawapendi kushea mziki mzuriMbona wanatoa ngoma kibao kali tu.
Sema kiba kawaambia wasipende show off so wanajifungia chumbani wanazisikiliza wenyewe.
Nilichogundua hujielewi, kazi yako kujaza mi comments tu kila kukicha ili uonekane member mwenye comments nyingi.Inakuwasha
Huyo chinga ananini cha maana ? Ubunifu ziro, hayupo realy kabisa kila kitu alikuwa ana copy na kupaste kutoka kwa bosi wake.Kwa kumkosa tu harmonize ni pengo kubwa sana .. ata rayvanny hawezi kamwe kuingiza kipato kama cha mumakonde alichokuwa anapeleka pale
harmonize alikua anaingiza shingapi WCB na rayvany anaingiza shingapi?Kwa kumkosa tu harmonize ni pengo kubwa sana .. ata rayvanny hawezi kamwe kuingiza kipato kama cha mumakonde alichokuwa anapeleka pale
Nilichogundua hujielewi, kazi yako kujaza mi comments tu kila kukicha ili uonekane member mwenye comments nyingi.
Ukikua utaacha, ni utoto tu unakusumbua.
Malezi,umri,elimu na sehemu unayoishi ndivyo vitu vinavyochagiza wewe uwe hivyo.Hehehee kumbe inakuchoma kama pasi
Malezi,umri,elimu na sehemu unayoishi ndivyo vitu vinavyochagiza wewe uwe hivyo.