Waliofahamika kupitia migongo ya mastaa..

No kajala alianza kufahamika kupitia p funk majani nakumbuka, jina likazidi kukua akaingia kwenye filamu, ila alipojiweka karibu na sepetunga umaarufu ukaongezeka.

Hahahahaha chezea mama ubaya wewe!
 
Kajala maarufu kitambo, toka enzi za kina Nina, Sinta, Miriam Ikoa, ndiyo maana aliingia ktk wimbo wa J Mo, Kama unataka demu.

Kuna watu wengine wanafahamika na watoto wa mujini tu, yani sio rahisi wauza vitumbua na wamama wa tandale kuwafahamu, kwa mfano shamim mwasha anafahamika na watoto wale mujini tu , nadhan hao wote niliowataj wako hvyo, ila baada ya kuwa close na wale celebrities wa kibongo majina yao yamekuwa zaidi na kuwa maarufu
 
Mange alikuwa maarufu toka enzi hizo,hajapata umaarufu kwa mgongo wa mtu.

mange bado sio maarufu kihivyo, kama unabisha jaribu kumuuliza ba mdogo apo Om kama anawafahamu mange na wema utasikia atakwambia anamjua nani, hawa kuwa karibu na mastaa ndo kumewatoa mange hana kazi yeyote sokoni, siyo video queen,mwnamuziki wala muigizaji , hawa wanadandia tu umaarufu
 
Mweeee.........kaa karibu na waridi.....
 
Hivi Vencha sijui anaitwa (Venture),kwenye verse kibao katajwa sana na wasanii wa hip hop,anahusika na nn hasa?

Ni DJ wa kitambo sana alikuwa Clouds Fm na alikuwa Manager wa Ngwair enzi zile katoa album ya A.k.a Mimi, familia yao ni ma dee jay ikiwa pamoja na Dj Bonny Luv na Dj Mackay wa EA Radio wote ni ndugu wa tumbo moja.
 
Kuna mmoja namuona insta anajiita martinkadinda jamaa wa misifa sana kupiga mapicha kama watotot wa kike kila sehem picha,simjui ni nani huyu?

Ni designer na alikuwa mbunifu chipukizi kwenye tuzo za Swahili gashion week 2012 anafanya sana kazi na Diamond pamoja na Ommy dimpoz pia ni Manager wa Wema.
 

Sio kweli Abduli kama Abdul yupo na kama uliangalia Maisha plus ya mwaka 2011 ungemuona alikuwa mshiriki toka Mwanza.


Petit man alikuwa anaigiza Mambo hayo enzi hizo pia alikuwa anatumia jina la Mani kalikuwa katotoo na ali act kama mtoto wa Mama Abdul kwenye ule mchezo wa Upatu ambao mama abdul alikuwa anadaiwa na Akina waridi na Seki na wenzao wakija anajificha au anamwambia Petit asiwaambie mama ake alipo ila dogo alikuwa ana act mmbea sana Wadeni wakija tu azima aropoke na kuwaambia alipojificha.
 
Kajala kawa Maarufu kitambo na sana sana baada ya kuishi na kuzaa na P Funk hayo ya Wema ya juzijuzi tu mtoto tangu enzi za Oysterbay line police na Mbuyuni Primary school alikuwa hajatulia huyo.
 
mwenzangu hadi mm, ila haina ubishi madame ndo kawapa umaarufu sana

Sio kweli Petit sio Abdul jamani Petit alikuwa ana act kwa jina la Mani na Abdul bado yupo na alishiriki Maisha plus msimu wa 3 kama sikosei alikuwa mshiriki kutoka Mwanza hata mkifatilia mtamuona na alitoka mapema tu akiwa kijijini bila kushinda.
 
Kajala kawa Maarufu kitambo na sana sana baada ya kuishi na kuzaa na P Funk hayo ya Wema ya juzijuzi tu mtoto tangu enzi za Oysterbay line police na Mbuyuni Primary school alikuwa hajatulia huyo.

Alikuwa anafahamika na watoto wa mujini ila sio kihivyo kama sasa ivi alivyokuwa na wema I'm telling u binamu
 
Kama Mirian Hassan nusu mbongo nusu Msomali,Designer khadija Mavazi akatuonyeshee Kajala sitasubiri akisema anakuja kama sister P naenda kwao akinata nageuza gari lafudhi iwe tamu sio kithethe kama Radhia.
 
Alikuwa anafahamika na watoto wa mujini ila sio kihivyo kama sasa ivi alivyokuwa na wema I'm telling u binamu

Yup binamu ila umaarufu ulikuja sana alipoenda jela na alipotolewa zile pesa na Wema watu wakawa attention kumfatilia na soon akaitwa kwenye Mkasi na urafiki na wema ukazidi kumuweka juu ila alishakuwaga juu enzi za Majani na hata walipoachana na kuolewa ilikuwa story kubwa tu kwenye magazeti ya pale Bamaga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…