Waliofahamika kupitia migongo ya mastaa..

kumbe kuna wakongwe humu duh

Wanaoweza ku recite arguments za Murtaza Lakha na riwaya za Agoro Anduru.

Sio unaishia kqenye movies za Qema Sepetu tu, Muhogo Mchungu ushamsikia?
 
Wanaoqeza ku recite arguments za Murtaza Lakha na riwaya za Agoro Anduru.

Sio unaishia kqenye movies za Qema Sepetu tu, Muhogo Mchungu ushamsikia?

Uko nlikuwa bado sana nadhan
 
Yap, ni kweli ata Mimi nilianza kumjua alipokuwa na p funk.
huyu kajala kipindi kile cha miaka ya 90 mwishoni shule ilimshinda pale jitegemee aliacha shule akiwa form 2 maana alikua mwingi ajabu pamoja na baba yake kua police lakini alimshindwa akawa anakaa mageto tu zikitokea conset wao ndio walikua watu wa kusaula kwenye ma conset wanabaki na chupi tu kama kuna watu walosoma high school miaka iyo ya mwishoni mwa 90 wanajua kiadi gani maconset yalivyoshamiri miaka iyo ndio pfunk alipomuona uko akisaula akasema namtaka mwanamke wa aina hii she was only 15 or 16
 
Kajala maarufu kitambo, toka enzi za kina Nina, Sinta, Miriam Ikoa, ndiyo maana aliingia ktk wimbo wa J Mo, Kama unataka demu.

Mkuu umenikumbusha mbali..." kama unataka demu" ilibamba sana hii ngoma.!!!!!!
 


Manhatan Ya Sinza ni kichumba chake na sebule, kajenga nyuma ya nyumba yao, yaani alivyokuwa ziro badala ya kununua kiwanja chake ,yeye nyumbani kwao alipojenga baba yake kwa nyuma kulikuwa kuna nafasi imebaki, ndio yeye kajenga chumba,choo na sebule ndio anapaita Manhatan ya sinza, inaelekea atakaa hapo kwao milele,hana mpango hata wa kutafuta sehemu ajenge nyumba yak...
 

Ooh, duh maskin kumbe ana kwao tu, anawatia aibu wazazi wake na kamchezo kake, mi namuonaga movie mliman, watu wanamsemaga vbay hatar yeye hana hata habar, ivi madame anajua kweli scandal ya mnger wake?
 
Kajala maarufu kitambo, toka enzi za kina Nina, Sinta, Miriam Ikoa, ndiyo maana aliingia ktk wimbo wa J Mo, Kama unataka demu.

kajala alipata umaarafu miaka ya nyuma kupitia prodyuza maaruf p funk majani ndo aliekua bwana ake kajala mjin badae wakaachana. she was famous before iyo mnayoita tasnia ya bongo movie, bfore wema yupo o levo anasoma..p funk aliwai kusema kauli hii baada ya kumuacha uyu dem.."i took a gal frm da street bt i fail to take street frm the gal" ha haaaa kajala the big booty
 
walokua wanamjua kajala ni wale walosoma nae hata ivyo hakumaliza aliishia frm 2 na watu walokua wakitoka usiku kula raha na alokua akiishi nao kota za polisi lakini sio dar nzima ilikua ikimjua hata alivyoolewa na p.funk sio wote walokua wakimjua mimi pia nilimjua coz nilisoma na shule moja ila alikua chini yangu miaka 2 ule uchakaramu wake ndio some people ndio walimjua so sidhani kama mleta mada amekosea kusema ametokea kupitia wema maana ndio kila mtu amemjua hata tanzania karibu yote inamjua kama sikosei .lakini sio kipindi hicho hata dar ilikua haimjui
 

Kila mtu ni nani?

Kuna watu mpaka leo hawamjui Wema wala Kajala.

Na huko kwingine unachosema ndicho nilichosema. So you are stating what I already said.back to me.

Which essentially amounts to:-

Kama umesoma shule za Dar na kwenda concerts za Hip Hop in the 90's chances are utakuwa umemjua huyu Kajala kabla ya Wema.

Kama ulikuwa mdogo sana au umekuja Dar later utaona Wema ndiye aliyempa umaarufu Kajala.
 
Mbona hata wewe mshamba tu unadhani kila mtu ni mpanda mabasi? terminal 1 na 2 ziko pale pale airport jinga wewe.

Umeambiwa "wamekuja mjini stand ya mabus ubungo".

Maana yake hata ukija na ndege na kushuka terminal one or two, lakini kipindi ulichokuja wewe mabasi stand yake Ubungo, si Mnazi Mmoja.

Meaning you are a Johnny-come-lately.

Regardless of whether you came by bus and disembarked at Ubungo or by plane and disembarked at terminal one or two.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…