Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe kuna wakongwe humu duh
huyu kajala kipindi kile cha miaka ya 90 mwishoni shule ilimshinda pale jitegemee aliacha shule akiwa form 2 maana alikua mwingi ajabu pamoja na baba yake kua police lakini alimshindwa akawa anakaa mageto tu zikitokea conset wao ndio walikua watu wa kusaula kwenye ma conset wanabaki na chupi tu kama kuna watu walosoma high school miaka iyo ya mwishoni mwa 90 wanajua kiadi gani maconset yalivyoshamiri miaka iyo ndio pfunk alipomuona uko akisaula akasema namtaka mwanamke wa aina hii she was only 15 or 16Yap, ni kweli ata Mimi nilianza kumjua alipokuwa na p funk.
Kajala maarufu kitambo, toka enzi za kina Nina, Sinta, Miriam Ikoa, ndiyo maana aliingia ktk wimbo wa J Mo, Kama unataka demu.
Kweli wewe unamjua, ivi hyo Manhattan ni guest au nn? Huyo noel ndale ni kijana mzuri ila ana share mwanaume na Rio Paul kile kibabu cha kizungu anaitwa britex Sijui, na huyo Martin na mwenzie ommy dimpoz wanagongwa na frank gonga na mume wa lady jaydee kashamgonga sana Kadinda, juzi alifanyiwa party na gays wenzie pale nyumbani lounge, wewe nae umapoteleag wapi mama mkubwa?
Manhatan Ya Sinza ni kichumba chake na sebule, kajenga nyuma ya nyumba yao, yaani alivyokuwa ziro badala ya kununua kiwanja chake ,yeye nyumbani kwao alipojenga baba yake kwa nyuma kulikuwa kuna nafasi imebaki, ndio yeye kajenga chumba,choo na sebule ndio anapaita Manhatan ya sinza, inaelekea atakaa hapo kwao milele,hana mpango hata wa kutafuta sehemu ajenge nyumba yak...
Kajala maarufu kitambo, toka enzi za kina Nina, Sinta, Miriam Ikoa, ndiyo maana aliingia ktk wimbo wa J Mo, Kama unataka demu.
Nilisikiaga hyo , ila sifa ya kugonga wenzie ndio inasemwa Sana kuliko yeye kugeuzwa
Rio paul kaharibika kiutani kwa kukosa malezi mazuri ya baba yake Mzee Peter Siniga..
walokua wanamjua kajala ni wale walosoma nae hata ivyo hakumaliza aliishia frm 2 na watu walokua wakitoka usiku kula raha na alokua akiishi nao kota za polisi lakini sio dar nzima ilikua ikimjua hata alivyoolewa na p.funk sio wote walokua wakimjua mimi pia nilimjua coz nilisoma na shule moja ila alikua chini yangu miaka 2 ule uchakaramu wake ndio some people ndio walimjua so sidhani kama mleta mada amekosea kusema ametokea kupitia wema maana ndio kila mtu amemjua hata tanzania karibu yote inamjua kama sikosei .lakini sio kipindi hicho hata dar ilikua haimjuiInategemea umaarufu kwa nani.
Mimi namjua Kajala tangu alivyokuwa anacheza na kumwaga radhi katika parties za Namanga.
In fact nimejua habari za Kajala kabla sijajua kama kuna mtoto wa Balozi Sepetu anaitwa Wema, probably alikuwa mdogo.
Leo ukiniambia Kajala kajulikana kwa mgongo wa Wema Sepetu, nitasema inaweza kuwa sawa kama umeanza kufuatilia mambo ya mjini juzi, lakini wengine tumemjua Kajala kwa kumwaga kwake radhi wakati huo the famous Sepetu alikuwa Balozi na Wema ndio kwanza harufu ya maziwa haijamtoka mdomoni.
watoto wa juzi awa...wamekuja mjini stendi ya mabus ubungo
Ni mwanamitindo na manager wa wema sepetu, pia ni big boss wa clothing line kama single button na kwachukwachu
±
±
Du hatareeeeee unataka kuniambia shigongo hazijui hizi habari? Ndio kwanza nasikia kwako kama Ney,Sam na Dimpoz wanapumuliwa kisogoni.
JF yenyewe sio yote,
Jukwaa moja tu!
binamu umeadimika upo? , Nina exclusive usikae mbali na jukwaa.
walokua wanamjua kajala ni wale walosoma nae hata ivyo hakumaliza aliishia frm 2 na watu walokua wakitoka usiku kula raha na alokua akiishi nao kota za polisi lakini sio dar nzima ilikua ikimjua hata alivyoolewa na p.funk sio wote walokua wakimjua mimi pia nilimjua coz nilisoma na shule moja ila alikua chini yangu miaka 2 ule uchakaramu wake ndio some people ndio walimjua so sidhani kama mleta mada amekosea kusema ametokea kupitia wema maana ndio kila mtu amemjua hata tanzania karibu yote inamjua kama sikosei .lakini sio kipindi hicho hata dar ilikua haimjui
Mbona hata wewe mshamba tu unadhani kila mtu ni mpanda mabasi? terminal 1 na 2 ziko pale pale airport jinga wewe.