Tetesi: Waliofukuzwa uanachama CHADEMA waanza kugawanyika

Tetesi: Waliofukuzwa uanachama CHADEMA waanza kugawanyika

You better choose your words carefully!

If I covertly kidnapped, tortured and ultimately killed someone, would I actually be a person who has never kidnapped, tortured and killed anyone, because no one caught me?

Alternatively, if I never kidnapped, tortured and ultimately killed your friend, George, for example, but you accuse me of having kidnapped, tortured and ultimately killed him, would I actually be a person who has kidnapped, tortured and ultimately killed George?
What's your point, you mean to say that this regime is not culpable for the human rights abuses it is accused of?

What this regime has done regarding the alleged disappearance of some people and the extra judicial killings of the innocent ones. You're defending the indefensible.
 
Team Mdee wasimamie walichoamua kukisimamia. There’s no turning back; wasije wakageuka mawe bure!

Chama kiliingia completely kwenye catch-22 situation. A political loss was imminent, no matter how the party chose to respond. Tukisema Upinzani hawajakomaa kwenye hii sanaa ya siasa, wanaanza kuturushia matusi kama kawaida yao!
Kwa maoni yako kama wangekuwa wamekomaa wangefanya nini?
 
Kusema ukweli Magufuli mpe kazi halima mdee,si rahisi kwa mwanamke kuwa jasiri kama hivyo,kwa nchi inayojulikana kama haiheshimu demokresia kubadili msimamo na kama mwanamke pia kuwa that strong tells you something, huyu kamanda sio kwamba hakujua sie wapiga kelele wa mtandaoni tutaongea mbovu,alijua na bado akasimamia anachotaka... Halima do your thing,wengi wetu tunaongea mbovu kwenye comfort zone ya majumbani kwetu infront of laptop/computer...VITA uliyopigana ukiwa in the real environment..ni vita halisi from the real ground, NONE of US can fight in the 'real' war as you have DONE and if they dont appreciate the hard work you did for the party and the country I DO!
Asingepigana hiyo unayoita vita bila kuwa na platform ambayo ni sisi wananchi.. Bila wananchi hakuna chochote.. Sasa unapopewa trust na wananchi inabidi uendelee nayo..Alivyopigwa ilikuwa ni sehemu ya trust... Sasa anapoamua kupoteza trust, huwezi kusema mbele ya hakimu sijawahi kuiba hata siku moja, lakini kama ameamua kupoteza trust , inafuta hata na yale mazuri ya nyuma.. Uzi wa ushindi na kushindwa ni mwembamba sana... Wanasema amesinzia wakati kumekaribia kucha, ataonekana alilala usiku mzima..Wamekosea sana. Pole Halima na wenzie ndiyo gharama ya usaliti.
 
Watu wa aina yako wapo wengi tu! Arsenal ikifungwa London, wao wanalia kariakoo. Hawafaidiki na ushindi, hawajulikani London, wao wapo wapo tu kama wewe.
Wapuuzi kama wewe mpo wengi tu.Mimi nasimama na watu wanaopigania Utu,Haki, upatikanaji wa Katiba mpya ya Warioba na utawala wa sheria.Hiyo ndiyo faida ninayoitaka.Siyo fursa kama wewe.
 
Umeshatokea sasa nini maoni yako?

Option waliyobaki nayo ni conflict resolution sanjari na kuachana na mkakati wa kugomea viti maalumu!

Chama hakiwezi kuimarika kwa kupoteza makada waandamizi kila uchao. Mpaka sasa chama kimeshapoteza mamia ya wanachama waliokuwa na dhamana ya uongozi. The party is bleeding people!
 
Wapuuzi kama wewe mpo wengi tu.Mimi nasimama na watu wanaopigania Utu,Haki, upatikanaji wa Katiba mpya ya Warioba na utawala wa sheria.Hiyo ndiyo faida ninayoitaka.Siyo fursa kama wewe.
Ukijua wapuuzi ni akina nani, ujue wewe ni mtaalamu wa upuuzi. Hayo ndo unayoonesha hapa. Hiyo katiba ya wariona nani anaipigania? CHADEMA? Kwani aliyeanzisha tume na kuteua wajumbe ni CHADEMA? Au CHADEMA ni watetezi tu! Hiyo katiba yao walishaitetea? Trash!
 
Ipo ivi, kwenye pesa lazima kuna aliyepata fungu dogo. Ili kukitengenezea mazingira ya kupata zaidi lazima awasariti wenzake ili aongezewe
 
Huyu dada amepambana sana
Leo watu wanajidai hawaoni effort zake.
Hata Mimi natamani mkulu ampe cheo.
Hivi tatizo lako ni uwezo mdogo wa kupambanua mambo au unalazimisha kupotosha makusudi?? Ni nani asiyejua upambanaji na mchango mkubwa wa Halima katika siasa za upinzani??!! Mbowe mwenyewe amekiri hadharani kumkubali.

Lakini mchango wake kwa namna yoyote hauwezi kuhalalisha kiburi na ukiukwaji wa sheria na taratibu za chama. Hata Mbowe mwenyewe akijichanganya anaondolewa chamani sababu Chadema ni Taasisi sio mali ya mtu fulani!
 
Hivi tatizo lako ni uwezo mdogo wa kupambanua mambo au unalazimisha kupotosha makusudi?? Ni nani asiyejua upambanaji na mchango mkubwa wa Halima katika siasa za upinzani??!! Mbowe mwenyewe amekiri hadharani kumkubali.

Lakini mchango wake kwa namna yoyote hauwezi kuhalalisha kiburi na ukiukwaji wa sheria na taratibu za chama. Hata Mbowe mwenyewe akijichanganya anaondolewa chamani sababu Chadema ni Taasisi sio mali ya mtu fulani!
Wapi nimekulazimisha uamini nilichoandika?
 
Wasaliti 19(wabunge wa Covid-19) they've got only two options left now:

1). Kuanzisha chama kipya cha kisiasa ambacho kitatetea maslahi mapana ya wanawake na kupinga mifumo dume (kwa madai na visingizio kuwa CHADEMA kuna mfumo dume ndio maana walitoka).

2). Kujiunga na CCM na kusubiria huruma za jiwe kupata teuzi ndani ya chama.
Hats wakianzisha chama cha wanawake hakitakuwa popular
 
Huyu dada amepambana sana
Leo watu wanajidai hawaoni effort zake.
Hata Mimi natamani mkulu ampe cheo.
Ni kweli amepambana, lakini lazima kuheshimu taratibu za kikatiba mlizojiwekea.
Ubunge wa viti maalum mchakato wake lazima upitie kwenye vikao vya chama.
Hilo halikufanyika.
 
Back
Top Bottom