Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Huyo kwa sasa tumwachie covid amalizie palipo bakiaWameshaanza kubwabwaja huko alianza haraka haraka kaja bush man sahivi supika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo kwa sasa tumwachie covid amalizie palipo bakiaWameshaanza kubwabwaja huko alianza haraka haraka kaja bush man sahivi supika
....... but they've never kidnapped, tortured or killed any innocent live.They have some very significant traits in common:
1. They believe they’re intellectually better than anyone else.
2. They can lose an election only if the election is rigged against them.
Wewe Malia kuajiriwa usawa huu badala ya kujiajiri mwenyewe! Utaolewa mwishowe!Endelea kufurahia JF ambayo inakuwezesha kusema chochote ukipendacho hata kama ni kumdhihaki mtu ambaye ana uwezo wa kukuajiri wewe na familia yako yote!
Kabisa upinzani hautakufa kamwe anayedhani upinzani utakufa hajielewi ni ulevi wa madaraka umemlevyaWatu hawajui kuwa Chadema ipo kwenye mioyo ya watu na akili za watu,ni km Imani,kuua Imani ni kitu kisichowezekana kwasababu hakionekani Kwa macho haya na wala hakigusiki.Hivyo ni kazi bure kugangaika kubomoa Upinzani.
We cannot waste most of our precious time discussing fabricated suffering of few politicians who you know for sure are just siphoning money for their own comfort while people of your type presume them being saviours. I am not a playmaker so, I cannot entertain people belonging to a wastebasket.How can a man so called patriot vomit this rubbish?
Wewe Malia kuajiriwa usawa huu badala ya kujiajiri mwenyewe! Utaolewa mwishowe!
Tatizo lako unajikaririsha kuwa kila member wa jf ni msaka ajira. Dogo Mimi mwajiri na sijawahi kuajiriwa maishani! Kama vipi nitafute nikuajiri kusambaza mayai ya kuku wangu!
....... but they've never kidnapped, tortured or killed any innocent live.
"Hivi wewe huna macho ya kukuwezesha kuona alichofanya Magufuli au angalau masikio ya kukuwezesha kusikia watu wengine wakisimulia?"
Natambua kuna watu hadi leo haijulikani walipo na wengine walitekwa nyara na pia wengine kujeruhiwa vibaya kwa amri zake.
Pia nimeshuhudia uhuni alioufanya majuzi kwenye uchaguzi mkuu na pia sitasahau alivyotumia fedha za umma vibaya kwa kujijengea kiwanja cha ndege kijijini kwake.
And the list is endless and rather nauseating. That's all I know about the despot.
1st Usi panic..
2nd huniboi u r being responded according.So relax mkuu.Tuko pamoja
Mdee kasaliti chama, Hana uvumilivu enzi za SA freedom fight angevishwa tairi!Miaka 15 ya jasho na damu ..saa nyingine Lupango..mahakamani...nyie mmetulia tulii majumbani kwenu.. tokeni kwenye comfort zone mvae viatu vyake hata mara moja mtaona alivyo jasiri
Kwa hiyo CDM ikubali kuchaguliwa wabunge?Team Mdee wasimamie walichoamua kukisimamia. There’s no turning back; wasije wakageuka mawe bure!
Chama kiliingia completely kwenye catch-22 situation. A political loss was imminent, no matter how the party chose to respond. Tukisema Upinzani hawajakomaa kwenye hii sanaa ya siasa, wanaanza kuturushia matusi kama kawaida yao!
Kwa hiyo kusaliti chama kaachive ushindi?Mnhh kazi yako au battle yako,inakufanya ulale selo? upigwe ?? hii ndio maana halisi ya kuwa kwenye real ground naona umechukulia out of context sijaamaanisha mambo ya good time,nilikua namaanisha battles zenu sio kama za Halima Mdee, kwa mfano wewe ushapigwa kwa ajili ya kazi yako? ...
and yes hamjui pain ....kwa mfano wewe ulale selo,upitie changamoto zote alizopitia for the last 15 years JIULIZE ungeweza?..kwa nini hamrecorgnise her hard work???
CCM hawakutegemea CHADEMA wangeweza kuwafukuza uanachama wale kina mama.Hii karata hata CCM hawaelewi waipindue vipi ionekane haina kona kona mingi
Kwa hiyo CDM ikubali kuchaguliwa wabunge?
NEC na CCM wameiba Kura sasa wanaiba watu.kina Mdee.
Acha dunia Ione walivyo majambazi wanatawala kidekiteita wamenajisi katiba ya nchi!!
Nonsense.Sasa unahamisha mjadala, lakini twende hivyo hivyo!
Hivi wewe kama hukumuua rafiki yangu, Edward, kwa mfano, halafu mimi nikakutuhumu kwamba ulimtumia majambazi wakamteka na kumuua, utakuwa kweli mtu aliyefanya hivyo?
Hivi mtu fulani akishachaguliwa kuwa Rais wa Tanzania, raia wa eneo anakotoka huyo Rais wanapoteza haki yao ya kupatiwa miradi ya maendeleo na Serikali mpaka Rais huyo atakapotoka madarakani? Hivyo ndivyo Katiba na sheria zetu zinavyotaka?
Kwa hiyo CDM ikubali kuchaguliwa wabunge?
NEC na CCM wameiba Kura sasa wanaiba watu.kina Mdee.
Acha dunia Ione walivyo majambazi wanatawala kidekiteita wamenajisi katiba ya nchi!!
Nonsense.
pesa sabuni ya roho hakuna atakayerudi hpo..Kuna watakao Rudi hapo trust Hilo kundi lazima nao wasalitiane [emoji1787][emoji1787]