Tetesi: Waliofukuzwa uanachama CHADEMA waanza kugawanyika

Tetesi: Waliofukuzwa uanachama CHADEMA waanza kugawanyika

Kusema ukweli Magufuli mpe kazi halima mdee,si rahisi kwa mwanamke kuwa jasiri kama hivyo,kwa nchi inayojulikana kama haiheshimu demokresia kubadili msimamo na kama mwanamke pia kuwa that strong tells you something, huyu kamanda sio kwamba hakujua sie wapiga kelele wa mtandaoni tutaongea mbovu,alijua na bado akasimamia anachotaka... Halima do your thing,wengi wetu tunaongea mbovu kwenye comfort zone ya majumbani kwetu infront of laptop/computer...VITA uliyopigana ukiwa in the real environment..ni vita halisi from the real ground, NONE of US can fight in the 'real' war as you have DONE and if they dont appreciate the hard work you did for the party and the country I DO!
One of the very rubbish comment!! Usiwaminishe watu ignorance yako.!!
 
Kusema ukweli Magufuli mpe kazi halima mdee,si rahisi kwa mwanamke kuwa jasiri kama hivyo,kwa nchi inayojulikana kama haiheshimu demokresia kubadili msimamo na kama mwanamke pia kuwa that strong tells you something, huyu kamanda sio kwamba hakujua sie wapiga kelele wa mtandaoni tutaongea mbovu,alijua na bado akasimamia anachotaka... Halima do your thing,wengi wetu tunaongea mbovu kwenye comfort zone ya majumbani kwetu infront of laptop/computer...VITA uliyopigana ukiwa in the real environment..ni vita halisi from the real ground, NONE of US can fight in the 'real' war as you have DONE and if they dont appreciate the hard work you did for the party and the country I DO!
Huwa nikianza kusoma comment then nione Rebeca umecomment huwa nafurahi sana, ila leo umevuruga kabsa kwa comment kama hii.

Au kuna mtu amehack account yako? Kwann usitoe taarfa kwa uongozi wa JF? Umekubali mtu aandike rubbish comment kama hii?
 
Kusema ukweli Magufuli mpe kazi halima mdee,si rahisi kwa mwanamke kuwa jasiri kama hivyo,kwa nchi inayojulikana kama haiheshimu demokresia kubadili msimamo na kama mwanamke pia kuwa that strong tells you something, huyu kamanda sio kwamba hakujua sie wapiga kelele wa mtandaoni tutaongea mbovu,alijua na bado akasimamia anachotaka... Halima do your thing,wengi wetu tunaongea mbovu kwenye comfort zone ya majumbani kwetu infront of laptop/computer...VITA uliyopigana ukiwa in the real environment..ni vita halisi from the real ground, NONE of US can fight in the 'real' war as you have DONE and if they dont appreciate the hard work you did for the party and the country I DO!
Dada Rebeca, kubali kuwa Halima kaharibu mno. Nadhani hata yeye haamini upepo ulivyogeuka. Aombe msamaha atasamehewa ila kamwe heshima yake haiwezi kurudi.
 
Huwa nikianza kusoma comment then nione Rebeca umecomment huwa nafurahi sana, ila leo umevuruga kabsa kwa comment kama hii.

Au kuna mtu amehack account yako? Kwann usitoe taarfa kwa uongozi wa JF? Umekubali mtu aandike rubbish comment kama hii?

Miaka 15 ya jasho na damu ..saa nyingine Lupango..mahakamani...nyie mmetulia tulii majumbani kwenu.. tokeni kwenye comfort zone mvae viatu vyake hata mara moja mtaona alivyo jasiri
 
Miaka 15 ya jasho na damu ..saa nyingine Lupango..mahakamani...nyie mmetulia tulii majumbani kwenu.. tokeni kwenye comfort zone mvae viatu vyake hata mara moja mtaona alivyo jasiri
Hata Lucifer aliyekuwa malaika mkuu Maiko, alipohasi kujilinganisha na Mungu alitupwa motoni na kuitwa Lucifer, ndiyo shetani mkuu Motoni.
 
Dada Rebeca, kubali kuwa Halima kaharibu mno. Nadhani hata yeye haamini upepo ulivyogeuka. Aombe msamaha atasamehewa ila kamwe heshima yake haiwezi kurudi.

Akirudi ndio kabisaa ataonekana hana msimamo,sifa mbaya ya mwanasiasa ni kutokua na msimamo,anyway chochote atakachofanya kuna kundi la watu ataacha halijaridhika, so afanye anachopenda...they say you cant please every one,fanya unachopenda.
 
Miaka 15 ya jasho na damu ..saa nyingine Lupango..mahakamani...nyie mmetulia tulii majumbani kwenu.. tokeni kwenye comfort zone mvae viatu vyake hata mara moja mtaona alivyo jasiri
Sasa ukisaliti inakusaidia nini?? Inakujengaje zaidi?? Inaboreshaje mapambano uliyoyaongoza na ujasiri wako!? Kwa kweli napata shida Sana kupata connection ya mema aliyoyafanya huko nyuma na upuuzi alioufanya juzi. Kwamba ukifanya mema meengi basi upewe provision ya kufanya upuuzi afu usiguswe???Really??
 
Miaka 15 ya jasho na damu ..saa nyingine Lupango..mahakamani...nyie mmetulia tulii majumbani kwenu.. tokeni kwenye comfort zone mvae viatu vyake hata mara moja mtaona alivyo jasiri
Ndiyo battle ground aliyoichagua.
Wewe unadhani hao unaowafikiria kwamba wametulia tuli wenyewe hawana battle ground. Unadhani kuwa na access ya ku comment kwenye social medias inamfanya awe so special kwamba hana vita yoyote ya kimaisha? Kwamba yupo anakula good time?
Unadhani ni nani walipambana bega kwa bega na Halima? Ni nani waliotumia social media kuitangazia dunia dhurma aliyofanyiwa Halima?
Ni jambo baya kufikiria eti waliopo kwenye social media hawana msaada au hawajui pains. Unadhani ni kwanini serikali iliamua kupiga ban Internet nchi mzima?
 
Hata Lucifer aliyekuwa malaika mkuu Maiko, alipohasi kujilinganisha na Mungu alitupwa motoni na kuitwa Lucifer, ndiyo shetani mkuu Motoni.
Lucifer ni Lucifer na Michael ni Michael. Malaika Mkuu Michael ndiye aliyemtoa Lucifer kwenye Ufalme wa Mwenyezi Mungu na kumtupa motoni.. Malaika Mkuu Michael bado ni mlinzi wa amani.
 
Miaka 15 ya jasho na damu ..saa nyingine Lupango..mahakamani...nyie mmetulia tulii majumbani kwenu.. tokeni kwenye comfort zone mvae viatu vyake hata mara moja mtaona alivyo jasiri
Mkuu Rebeca 83, nadhani Halima alipo chagua kufanya active politics tena kupitia upinzani alijua ni njia gani atapita (hardships).

Sisi unaetuambia tupo kwenye 'confort zone' nasi tulichagua kuwa huku baada ya kujipima na kuona hatuwezi kuwa 'wanasiasa wa majukwaani', politics being a game...kuna 'wachezaji' na 'mashabiki' so wote hatuwezi ingia uwanjani.

Unless Halima akiri kuwa hajui nafasi aliyoiomba na akaaminiwa for good 15 years na hao unaosema wako 'comfort zone'.

Amebambikwa kesi kibao na hao hao aliojiunga nao na watu walisimama kumtetea, ametukanwa na kudhalilishwa sana na hao aliojiunga nao bado tulimtetea, hata walipomfunga kwa hila tulimchangia kutoka jela na muda mfupi baada ya kifungo wakamvunja mkono bado tulisimama naye.

Unawezaje kusema kuwa tulio kwenye 'comfort zone' hatukutimiza nafasi yetu kwake na kwenda mbali kumuita 'jasiri' kwa usaliti anaotufanyia leo?!
 
Wasaliti 19(wabunge wa Covid-19) they've got only two options left now:

1). Kuanzisha chama kipya cha kisiasa ambacho kitatetea maslahi mapana ya wanawake na kupinga mifumo dume (kwa madai na visingizio kuwa CHADEMA kuna mfumo dume ndio maana walitoka).

2). Kujiunga na CCM na kusubiria huruma za jiwe kupata teuzi ndani ya chama.
Huyo jiwe atawathamini kweli kama wahisani wasipoleta ma-trilioni?.Maana main target ni ma-trilioni siyo akina Halima.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Habari wadau. Yajayo yanafurahisha.

Waliokuwa Wabunge wa Viti Maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee wameanza kutofautiana hasa baada ya kufutwa Uanachama, na mapokeo ya maamuzi hayo kwa BAWACHA wenzao na Wanachama kwa ujumla.

Kwa taarifa zilizopo ni kwamba Dada mmoja kutoka Mbeya ameungana na wenzake na wameanza kushinikiza ili waende kuonana na mwenyekiti ili kuomba msamaha.

Jambo hili limeathiri mpango wa pamoja wa kutoa tamko kulaani kuvuliwa uanachama, kutokana na baadhi kutokubaliana na matamshi yanayokinzana na misimamo yao.

Muda unakwenda kasi, muda si mrefu tutasikia mapya juu ya mchongo mzima wa jinsi suala hili lilivyokuwa, watasema wenyewe na tutaelewa vizuri.
Ramli hizo Watu M12 imesoma tayari, Wewe endelea kukalia Misumari
 
Kweli kabisa mkuu, watu walimpigania kwenye chaguzi tatu tofauti jimboni Kawe buree, kwa mapenzi yao tu.
Sijajua ni tamaa ya aina gani aliyonayo kiasi cha kuusaliti uma!!?
Zitakuwa hasira za umma kugoma kuandama labda,hivyo wanaona ya nini kuendelea kupigania watu ambao wao wenyewe hawapo tayari kushiriki mapambano.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Halima Mdee anasema na nishukuru mwenyekiti wangu wa chama kwa kuturuhusu,... Aisee..!
Chama ni Taasisi ina taratibu zake kama walikuwa kwenye vikao vya pombe nakwambia aende kuapishwa basi yeye ni mjinga ...Halima ni mwanasheria kwenye sheria hakuna maneno matupu kila kitu documentation

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom