Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Utakuta, alichokifanya sana sana ni KUBAKA, tena kwa msaada wa TUME, POLISI nk.Stop kueneza this cheap and nonsense politics. Wewe uliekomaa umefanya nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuta, alichokifanya sana sana ni KUBAKA, tena kwa msaada wa TUME, POLISI nk.Stop kueneza this cheap and nonsense politics. Wewe uliekomaa umefanya nini?
Kuna mtu hapo juu amehoji kama account yako iko hacked or something?Respect decision zake mkuu,amebambikiwa kesi sijui amefanyaje ..hili ni swala personal yeye ndio anajua kwa nini despite everything bado akaona huo ndio upande anaoutaka...nakuomba u RESPECT hizo decisions kama ambavyo ningependa wewe au wengine waheshimu CHOICES you made in life.....
Halima ndio alichagua hio kazi,na alijua consequences zake..but challenges alizopitia ni nyingi na bado akazimudu kwa miaka 15!?! Jiulize wewe ndani ya miaka 15 umebadilisha kazi ngapi?? je kazi yako ingekua na challenges za mpaka kulala selo,ungeweza kudumu nayo?? be FAIR huyu ni JASIRI..........
Chadema akili kubwa, hata walioapishwa wana bow down to Chadema. Jana NEC ya CCM ilikaa kikao kujadili maamuzi ya Chadema.
Kuna mtu hapo juu amehoji kama account yako iko hacked or something?
Kwa majibu haya unayotoa, naomba niishie hapa kujadiliana nawe kwenye jambo hili.
Kwa kifupi Chadema ndiyo wanaendesha nchi na wafadhili wanawaelewa sana maana wamekataa kuitambua hii serikali.Inawahusu nn sasa.wakati wanaiba ushindi wa kishindo awakufikiria umuhimu wa kubakisha upinzani wachache angalau wangewacha wabunge wapya na wasio wataka kina mbowe,Sugu,lema ndio wangewaondoa.
Aibu Sana kimataifa Hadi vyombo vyote vinajiingiza kufanya utoto na madudu Hadi fojali za sahihi ya katibu.
Du vyeti feki, kura feki, wabunge feki, mitano feki.
mkuu?? sema nimekukwaza wapi??
Halima alikuwa senior sana pale chadema, sikutarajia a behave namna hile, akitaka aeleweke aeleze jinsi mwenyekiti aliyemruhusu namna alivyo fanikisha kumshawishi DPP akamchomoa yule binti mahabusu.Halima Mdee anasema na nishukuru mwenyekiti wangu wa chama kwa kuturuhusu,... Aisee..!
WAACHENIII MAKAMANDA WALE, WAKO WANAANDAA NONDO ZA KUWACHAPA NA UTAPELI WENU KWENYE KIGENGE CHENUU. SASA NAONA MUNAWEWESEKA BILA USINGIZIIII. MUMEWATIMUA KIKATILI WAMAMA HAO HATA BILA KUWASIKILIZA HUKU MKIWATISHIA VYA KUTOSHA MKIONGOZWA NA YULE TAPELI WAUBERIGIJI. SASA TULIENIII WAWAPE ZA USO MDA SI MREFUNani halali ucngizi wewe ccm huku unafuata nini
Sawa ni kweli hawajakomaa kwenye siasa lakini ndio muwaibie kura??Team Mdee wasimamie walichoamua kukisimamia. There’s no turning back; wasije wakageuka mawe bure!
Chama kiliingia completely kwenye catch-22 situation. A political loss was imminent, no matter how the party chose to respond. Tukisema Upinzani hawajakomaa kwenye hii sanaa ya siasa, wanaanza kuturushia matusi kama kawaida yao!
Unadai upinzan hawajakomaa halafu serikali yako inakodi mpaka majeshi toka ya burundi kupambana nao??., kwa vyovyote wewe ni mwehu pia ww n crazy.
SIMUMEWATIMUA KWA MBWEMBWE NA JAZBA NA FEDHURI, BILA KUWASIKILIZA, SASA MBONA MUNAWEWESEKA TENA? MBONA HAMULALI USINGIZI JUU YAO?
Becky ni emotional kwasababu Halima ni msichana mwenzake ana muunga mkono nimemuelewa.Dada Rebeca, kubali kuwa Halima kaharibu mno. Nadhani hata yeye haamini upepo ulivyogeuka. Aombe msamaha atasamehewa ila kamwe heshima yake haiwezi kurudi.
Thus haitegemei ruzukuKwa kifupi Chadema ndiyo wanaendesha nchi na wafadhili wanawaelewa sana maana wamekataa kuitambua hii serikali.
Akili yako haipo vizuri.Msiojua, kikao cha KK juzi kilikuwa na lengo la kukitoa chama ktk mtanziko. Kuwasimamisha uongozi wateule 19 ni wa kimkakati kutuliza sintofahamu ya wanachama kwa kosa walilofanya kupeleka majina NEC. Kama wateule hawa wataoma msamaha ujue ndio lengo la kikao kile. Kuonyesha kuwa sio viongozi waliopeleka majina na kuwa watuhumiwa wameomba msamaha sasa tuwasamehe. Chadema haijawahi kufukuza mwanachama kisha kumpa siku 30 atafakari, wamefanyamhivi safari hii kuiondoa Chadema ktk Aibu ya kula matapishi yao ya sitaki nataka. Ukweli wanavihitaji viti hivi lakini kwa uungwaji mkono na wanachama. Walikosea na njia ya kutokea ilikuwa lazima iwe hivi. Hawa wote ktk siku 30 walizopewa kimkakati wataomba msamaha na maisha yataendelea huku wanachama wakipiga makofi. Ukitaka kulijua hili jiulze kwa nini mbunge wa Mpanda hajachukuliwa hatua kwa kukiuka maagizo ya chama kutotambua matokeo? Jiulize mke wa Bananga (Kampeni meneja wa Lissu) inawezekanaje aende kuapishwa Dodoma bila mume wake kujua wala asiripotie uongozi mipango hii.
Sophia Mwakagenda anakubalika sana na wana Rungwe!Habari wadau. Yajayo yanafurahisha.
Waliokuwa Wabunge wa Viti Maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee wameanza kutofautiana hasa baada ya kufutwa Uanachama, na mapokeo ya maamuzi hayo kwa BAWACHA wenzao na Wanachama kwa ujumla.
Kwa taarifa zilizopo ni kwamba Dada mmoja kutoka Mbeya ameungana na wenzake na wameanza kushinikiza ili waende kuonana na mwenyekiti ili kuomba msamaha.
Jambo hili limeathiri mpango wa pamoja wa kutoa tamko kulaani kuvuliwa uanachama, kutokana na baadhi kutokubaliana na matamshi yanayokinzana na misimamo yao.
Muda unakwenda kasi, muda si mrefu tutasikia mapya juu ya mchongo mzima wa jinsi suala hili lilivyokuwa, watasema wenyewe na tutaelewa vizuri.
Sawa ni kweli hawajakomaa kwenye siasa lakini ndio muwaibie kura??
Tofauti ya Trump na Magufuli ni kuwa Magufuli anabewa na dolaSiwezi kuwashangaa sana Upinzani. Hata Donald Trump anaamini kuwa ameibiwa kura. Huu ni utamaduni wa wale wasiokubali kushindwa uchaguzi!