uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Hii karata hata CCM hawaelewi waipindue vipi ionekane haina kona kona mingi
Kwa nini ccm inawapa Chadema Kiki kila siku? Ni wakati wa ccm kushika kalamu na karatasi ku analyse kila maamuzi toward chadema na ku crest different theories and possible solution!
Chadema ilitoweka kwenye masikio ya wa Tanzania, haya ccm imewarudisha mpaka tunawaonea huruma tena, kweli shetani ni Mtumishi wa Mungu wakati Mwingine aisee!