Tetesi: Waliofukuzwa uanachama CHADEMA waanza kugawanyika

Tetesi: Waliofukuzwa uanachama CHADEMA waanza kugawanyika

Hii karata hata CCM hawaelewi waipindue vipi ionekane haina kona kona mingi

Kwa nini ccm inawapa Chadema Kiki kila siku? Ni wakati wa ccm kushika kalamu na karatasi ku analyse kila maamuzi toward chadema na ku crest different theories and possible solution!

Chadema ilitoweka kwenye masikio ya wa Tanzania, haya ccm imewarudisha mpaka tunawaonea huruma tena, kweli shetani ni Mtumishi wa Mungu wakati Mwingine aisee!
 
Wasaliti 19(wabunge wa Covid-19) they've got only two options left now:

1). Kuanzisha chama kipya cha kisiasa ambacho kitatetea maslahi mapana ya wanawake na kupinga mifumo dume (kwa madai na visingizio kuwa CHADEMA kuna mfumo dume ndio maana walitoka).

2). Kujiunga na CCM na kusubiria huruma za jiwe kupata teuzi ndani ya chama.
Awamu hii kila upuuzi unakubalika lakini taratibu na sheria zingekuwa zinafuatwa, options zote mbili hazingewasaidia kwa sababu:
1. Viti 19 maalumu vya Bunge ni vya CHADEMA kisheria na vitajazwa na CHADEMA.
2. Hata wakijiunga na CCM nafasi za viti maalumu vya CCM vitakuwa vimekwisha jazwa na vile vya Rais, siyo vya Mwenyekiti, ni 10 tu labda anaweza akapata mmoja tu siyo wote 10. Covid-19 waache kiburi warudi CHADEMA!
 
Team Mdee wasimamie walichoamua kukisimamia. There’s no turning back; wasije wakageuka mawe bure!

Chama kiliingia completely kwenye catch-22 situation. A political loss was imminent, no matter how the party chose to respond. Tukisema Upinzani hawajakomaa kwenye hii sanaa ya siasa, wanaanza kuturushia matusi kama kawaida yao!
Nawe hapa unajisikia umeandika bonge la fikra, huku ukizungusha maneno tu yasiyokuwa na muungano wowote? Unaijua "catch-22 situation" ina maana gani?
"A political loss was imminent, no matter how the party chose to respond"? 'A political loss'?

Hivi nyinyi watu mnaokotwa toka jalala gani siku hizi! Mpo hapa JF kuweka uchafu kila kwenye mjadala unaowekwa!
 
Msiojua, kikao cha KK juzi kilikuwa na lengo la kukitoa chama ktk mtanziko. Kuwasimamisha uongozi wateule 19 ni wa kimkakati kutuliza sintofahamu ya wanachama kwa kosa walilofanya kupeleka majina NEC. Kama wateule hawa wataoma msamaha ujue ndio lengo la kikao kile. Kuonyesha kuwa sio viongozi waliopeleka majina na kuwa watuhumiwa wameomba msamaha sasa tuwasamehe. Chadema haijawahi kufukuza mwanachama kisha kumpa siku 30 atafakari, wamefanyamhivi safari hii kuiondoa Chadema ktk Aibu ya kula matapishi yao ya sitaki nataka. Ukweli wanavihitaji viti hivi lakini kwa uungwaji mkono na wanachama. Walikosea na njia ya kutokea ilikuwa lazima iwe hivi. Hawa wote ktk siku 30 walizopewa kimkakati wataomba msamaha na maisha yataendelea huku wanachama wakipiga makofi. Ukitaka kulijua hili jiulze kwa nini mbunge wa Mpanda hajachukuliwa hatua kwa kukiuka maagizo ya chama kutotambua matokeo? Jiulize mke wa Bananga (Kampeni meneja wa Lissu) inawezekanaje aende kuapishwa Dodoma bila mume wake kujua wala asiripotie uongozi mipango hii.
Hizo siku 30 walizopewa ni kwa mujibu wa katiba ya chadema, kama ujaridhika ma maamuzi ya kamati kuu unakata rufaa ktk mkutano mkuu, uko ndio utaenda jieleza kwa wajumbe
 
Kusema ukweli Magufuli mpe kazi halima mdee,si rahisi kwa mwanamke kuwa jasiri kama hivyo,kwa nchi inayojulikana kama haiheshimu demokresia kubadili msimamo na kama mwanamke pia kuwa that strong tells you something, huyu kamanda sio kwamba hakujua sie wapiga kelele wa mtandaoni tutaongea mbovu,alijua na bado akasimamia anachotaka... Halima do your thing,wengi wetu tunaongea mbovu kwenye comfort zone ya majumbani kwetu infront of laptop/computer...VITA uliyopigana ukiwa in the real environment..ni vita halisi from the real ground, NONE of US can fight in the 'real' war as you have DONE and if they dont appreciate the hard work you did for the party and the country I DO!
Vita bandia vya kumshukuru Mbowe kama kichaka cha kutokutimuliwa.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Kusema ukweli Magufuli mpe kazi halima mdee,si rahisi kwa mwanamke kuwa jasiri kama hivyo,kwa nchi inayojulikana kama haiheshimu demokresia kubadili msimamo na kama mwanamke pia kuwa that strong tells you something, huyu kamanda sio kwamba hakujua sie wapiga kelele wa mtandaoni tutaongea mbovu,alijua na bado akasimamia anachotaka... Halima do your thing,wengi wetu tunaongea mbovu kwenye comfort zone ya majumbani kwetu infront of laptop/computer...VITA uliyopigana ukiwa in the real environment..ni vita halisi from the real ground, NONE of US can fight in the 'real' war as you have DONE and if they dont appreciate the hard work you did for the party and the country I DO!
I second you....
 
Kusema ukweli Magufuli mpe kazi halima mdee,si rahisi kwa mwanamke kuwa jasiri kama hivyo,kwa nchi inayojulikana kama haiheshimu demokresia kubadili msimamo na kama mwanamke pia kuwa that strong tells you something, huyu kamanda sio kwamba hakujua sie wapiga kelele wa mtandaoni tutaongea mbovu,alijua na bado akasimamia anachotaka... Halima do your thing,wengi wetu tunaongea mbovu kwenye comfort zone ya majumbani kwetu infront of laptop/computer...VITA uliyopigana ukiwa in the real environment..ni vita halisi from the real ground, NONE of US can fight in the 'real' war as you have DONE and if they dont appreciate the hard work you did for the party and the country I DO!
Mkuu 'Rebeca 83' please. Not from you!
 
Waliitwa na kamati walipewa nafasi ya kusikilizwa wakagoma kuja Sasa hapo lawama kwa nani. Maana kwa waungwana baada ya dili kuvurugika ilitakiwa waitikie wito waandike barua na kuomba msamaha wangesamehewa na maisha yangeendelea. Sasa wao wamedanganywa na matiss na maccm watawalinda wawalinde sasa wawe sawa na trump hata aking'ang'ania madaraka anakuwa raisi hewa mifumo yote ya uraisi inajiondoa haimpi ushirikiano.
Mdee na ujanja wake woote kameza ndoano ya ccm.
Cdm ndio chuo cha siasa pekee kilichobaki Ina kina mdee zaidi ya 200 ambao ni upcoming. Soon wanasaulika Kama kina slaa, kaburu, nk. Cdm haitegemei ruzuku kusurvive hata ikikosa wabunge. Ni taasisi itaandika propals hata pesa za kuimarisha demokrasia nchini wanapata.
KAMA TIIII KUUU GANI ILIYOWAITA?? KULIKUA NA USALAMA GANI NAWAKATI UFIPANI KULIKUWA NA MAKUNDI MAKUBWA YA WANDAMANAJI WALIOSHIKIRIA MABANGO YENYE MATUSI YA KUWAITA ETI WAO NI COVID 19. MBOWE KAMA ANASEMA MAZINGIRA YALIKUWA SALAMAA, ALIPASWA AWATIMUE WALE WANDAMANAJI WENYE HASIRA KALI MAENEO YA UKUMBI WA KIKAO. MBOWE MNYIKA NA VIONGOZI WOTE WALIKUWA WAMEPANIKI, SASA UNGEFIKILIA NINIKINGEFANYIKA ZAIDI YA KUAMUASHA UGOMVI? NDIOMAAANA WADADA WALE KWA HEKIMA ZAO ZA JUUU BAADA YA KUONA MAZINGIRA HAYO WALIANDIKA BARUA ZA KUOMBA WAJE BAADA YA WIKI MOJA WAKIZINGATIA KUPUNGUA KWA JAZIBA ZA VIONGOZI NA MAKUNDI YA WANDAMANAJI YALIYOKUWA INJE YA OFISI NA MATUSI YA KUWAITA WAO NI GONJWA BAYA COVID19. ALIYEGOMA HATUMI UJUMBE WA BARUA. HIVYO VIONGOZI WALIPASWAKUHESHIMU MAPENDEKEZO YAO, WALA KUSINGEKUWEPO NA MAAMUZI YA KIMUHEMUKO KAMA YALE. MAANA YAKE MAAMUZI YA KUWATIMUA NIBATIRI KWA MUUJIBU WA KATIBA YAO KWANI WALENGWA HAWAKUWEPO NA UDHURU WALITOA KWA MAANDISHI NA BARUA ZIKAPOKELEWA NA KUSOMWA MBELE YA WAJUMBEE. KWAHIYO KUNA SHIDA HAPOO.
 
Team Mdee wasimamie walichoamua kukisimamia. There’s no turning back; wasije wakageuka mawe bure!

Chama kiliingia completely kwenye catch-22 situation. A political loss was imminent, no matter how the party chose to respond. Tukisema Upinzani hawajakomaa kwenye hii sanaa ya siasa, wanaanza kuturushia matusi kama kawaida yao!
Hawajakomaa kwenye sanaa ya siasa kwa sababu Hawaimiliki tume ya uchaguzi? Polisi, TISS, jeshi, media?
Wanaojua sanaa kwa nini wanavunja katiba sheria na kanuni kupata ushindi?

Wenye akili kama Pius Msekwa, mabeberu wameona hili ila idiots hawajaona.

Unajua maana ya idiot?
KNOWING the TRUTH
SEEING the TRUTH
And STILL believing that LIES
 
Team Mdee wasimamie walichoamua kukisimamia. There’s no turning back; wasije wakageuka mawe bure!

Chama kiliingia completely kwenye catch-22 situation. A political loss was imminent, no matter how the party chose to respond. Tukisema Upinzani hawajakomaa kwenye hii sanaa ya siasa, wanaanza kuturushia matusi kama kawaida yao!
Umeandika ujinga.

Kikubwa ambacho CCM wanavizidi vyama vyote ni ushetani. Ndani ya CCM kuna kila aina ya uchafu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa ni mchezo mchafu sana, usije shangaa siku ukisikia Tundu Lisu amehamia CCM na akalamba Uwaziri
 
  • Thanks
Reactions: SMU
KAMA TIIII KUUU GANI ILIYOWAITA?? KULIKUA NA USALAMA GANI NAWAKATI UFIPANI KULIKUWA NA MAKUNDI MAKUBWA YA WANDAMANAJI WALIOSHIKIRIA MABANGO YENYE MATUSI YA KUWAITA ETI WAO NI COVID 19. MBOWE KAMA ANASEMA MAZINGIRA YALIKUWA SALAMAA, ALIPASWA AWATIMUE WALE WANDAMANAJI WENYE HASIRA KALI MAENEO YA UKUMBI WA KIKAO. MBOWE MNYIKA NA VIONGOZI WOTE WALIKUWA WAMEPANIKI, SASA UNGEFIKILIA NINIKINGEFANYIKA ZAIDI YA KUAMUASHA UGOMVI? NDIOMAAANA WADADA WALE KWA HEKIMA ZAO ZA JUUU BAADA YA KUONA MAZINGIRA HAYO WALIANDIKA BARUA ZA KUOMBA WAJE BAADA YA WIKI MOJA WAKIZINGATIA KUPUNGUA KWA JAZIBA ZA VIONGOZI NA MAKUNDI YA WANDAMANAJI YALIYOKUWA INJE YA OFISI NA MATUSI YA KUWAITA WAO NI GONJWA BAYA COVID19. ALIYEGOMA HATUMI UJUMBE WA BARUA. HIVYO VIONGOZI WALIPASWAKUHESHIMU MAPENDEKEZO YAO, WALA KUSINGEKUWEPO NA MAAMUZI YA KIMUHEMUKO KAMA YALE. MAANA YAKE MAAMUZI YA KUWATIMUA NIBATIRI KWA MUUJIBU WA KATIBA YAO KWANI WALENGWA HAWAKUWEPO NA UDHURU WALITOA KWA MAANDISHI NA BARUA ZIKAPOKELEWA NA KUSOMWA MBELE YA WAJUMBEE. KWAHIYO KUNA SHIDA HAPOO.

Eti maandamano halafu polisi walikuwa wapi? Why mnawashwa na ya cdm Hali amtaki waingie bungeni
 
Back
Top Bottom