Tetesi: Waliofukuzwa uanachama CHADEMA waanza kugawanyika

Tetesi: Waliofukuzwa uanachama CHADEMA waanza kugawanyika

KAMA TIIII KUUU GANI ILIYOWAITA?? KULIKUA NA USALAMA GANI NAWAKATI UFIPANI KULIKUWA NA MAKUNDI MAKUBWA YA WANDAMANAJI WALIOSHIKIRIA MABANGO YENYE MATUSI YA KUWAITA ETI WAO NI COVID 19. MBOWE KAMA ANASEMA MAZINGIRA YALIKUWA SALAMAA, ALIPASWA AWATIMUE WALE WANDAMANAJI WENYE HASIRA KALI MAENEO YA UKUMBI WA KIKAO. MBOWE MNYIKA NA VIONGOZI WOTE WALIKUWA WAMEPANIKI, SASA UNGEFIKILIA NINIKINGEFANYIKA ZAIDI YA KUAMUASHA UGOMVI? NDIOMAAANA WADADA WALE KWA HEKIMA ZAO ZA JUUU BAADA YA KUONA MAZINGIRA HAYO WALIANDIKA BARUA ZA KUOMBA WAJE BAADA YA WIKI MOJA WAKIZINGATIA KUPUNGUA KWA JAZIBA ZA VIONGOZI NA MAKUNDI YA WANDAMANAJI YALIYOKUWA INJE YA OFISI NA MATUSI YA KUWAITA WAO NI GONJWA BAYA COVID19. ALIYEGOMA HATUMI UJUMBE WA BARUA. HIVYO VIONGOZI WALIPASWAKUHESHIMU MAPENDEKEZO YAO, WALA KUSINGEKUWEPO NA MAAMUZI YA KIMUHEMUKO KAMA YALE. MAANA YAKE MAAMUZI YA KUWATIMUA NIBATIRI KWA MUUJIBU WA KATIBA YAO KWANI WALENGWA HAWAKUWEPO NA UDHURU WALITOA KWA MAANDISHI NA BARUA ZIKAPOKELEWA NA KUSOMWA MBELE YA WAJUMBEE. KWAHIYO KUNA SHIDA HAPOO.

Dah!? Rudi school tafadhali hauko sawa
 
Its so wonderful!!
Inawahusu nn sasa.wakati wanaiba ushindi wa kishindo awakufikiria umuhimu wa kubakisha upinzani wachache angalau wangewacha wabunge wapya na wasio wataka kina mbowe,Sugu,lema ndio wangewaondoa.
Aibu Sana kimataifa Hadi vyombo vyote vinajiingiza kufanya utoto na madudu Hadi fojali za sahihi ya katibu.
Du vyeti feki, kura feki, wabunge feki, mitano feki.
 
Team Mdee wasimamie walichoamua kukisimamia. There’s no turning back; wasije wakageuka mawe bure!

Chama kiliingia completely kwenye catch-22 situation. A political loss was imminent, no matter how the party chose to respond. Tukisema Upinzani hawajakomaa kwenye hii sanaa ya siasa, wanaanza kuturushia matusi kama kawaida yao!
Kama siasa ni hizi za kupenyeza kura bandia basi hakuna siasa bali si-hasa!
 
mtu ana 15 years kama mwanassiasa unamuita hajakomaa?!
15 years bungeni ni uzoefu, na sio lazima ukaambatana na ukomavu hasa katika muktadha wa akili za ujuzi wa mambo na kukabii changamoto, ustahimilivu etc, managing the unexpected works well with maturity and brain, otherwise wrong choice of the diction in use. In any case one would use that on perceptions, attitude, interpretation etc, i get wrong and everything comes wrong. This is just a mere contribution.
 
Kusema ukweli Magufuli mpe kazi halima mdee,si rahisi kwa mwanamke kuwa jasiri kama hivyo,kwa nchi inayojulikana kama haiheshimu demokresia kubadili msimamo na kama mwanamke pia kuwa that strong tells you something, huyu kamanda sio kwamba hakujua sie wapiga kelele wa mtandaoni tutaongea mbovu,alijua na bado akasimamia anachotaka... Halima do your thing,wengi wetu tunaongea mbovu kwenye comfort zone ya majumbani kwetu infront of laptop/computer...VITA uliyopigana ukiwa in the real environment..ni vita halisi from the real ground, NONE of US can fight in the 'real' war as you have DONE and if they dont appreciate the hard work you did for the party and the country I DO!
YOTE hayo yameharibiwa na Usaliti, ujasiri na Usaliti haviendi pamoja.

Ilibidi achague heshima au tamaa, kachagua tamaa, hata vitani shujaa akisaliti ni risasi tu
 
Wataendelea kuwa wabunge kwa nguvu ya spika na mihimili mingine, serikali inawahitaji kutoa taswila ya bunge la vyama vingi na kuhalalisha uchaguzi!
 
Team Mdee wasimamie walichoamua kukisimamia. There’s no turning back; wasije wakageuka mawe bure!

Chama kiliingia completely kwenye catch-22 situation. A political loss was imminent, no matter how the party chose to respond. Tukisema Upinzani hawajakomaa kwenye hii sanaa ya siasa, wanaanza kuturushia matusi kama kawaida yao!

Hoja yako ni nini hapa dogo?
 
Inawahusu nn sasa.wakati wanaiba ushindi wa kishindo awakufikiria umuhimu wa kubakisha upinzani wachache angalau wangewacha wabunge wapya na wasio wataka kina mbowe,Sugu,lema ndio wangewaondoa.
Aibu Sana kimataifa Hadi vyombo vyote vinajiingiza kufanya utoto na madudu Hadi fojali za sahihi ya katibu.
Du vyeti feki, kura feki, wabunge feki, mitano feki.
Na rais feki!
 
Laba CCM ndiyo hawalali maana wanahangaika kweli
Kwani haowametimuliwa niwanaccm?? Mumewatimua uanachama sasa kwanini kuchakutwaa mnaweweseka juu ya wamama hawa wasiona chama chochote? Waacheniiii basiiiii, mbana mnaweweseka JUUU ya hawa raia wasio na chama??
 
Kwani haowametimuliwa niwanaccm?? Mumewatimua uanachama sasa kwanini kuchakutwaa mnaweweseka juu ya wamama hawa wasiona chama chochote? Waacheniiii basiiiii, mbana mnaweweseka JUUU ya hawa raia wasio na chama??
Ndugai na Msukuma ndiyo wanaweweseka labda kama haufahamu maana ya kuweweseka
 
Ulitaka mimi nifanye nini kwa niaba yenu?
kISHAURI chama chenu ccm kiache siasa rahisi na za maji taka,chama chenye umri wa babu yako kinafanya vitu vya AIBU manunuzi ya wabunge ya nini??kuharibu uchaguzi kuiba kura na kutumia polisi na usalama wa taifa why??mara hawa covid 19 soon tutapata mrejesho kuwa mliwarubuni shame on you.
 
Leo hao wamama mnawaita wasaliti!!!
Mibaba mizima mlihamasishana humu kua mtaandamana kupinga kilichotokea kwenye uchaguzi mbona hatukuwaona barabarani? Mlijificha kwenye sketi za mama zenu, leo wanawake wamewaonesha misimamo yao mnachongoa videvu vyenu kuwatukana (Shame on You),

Who runs the World? Girls Girls Girls.
 
Back
Top Bottom