Tetesi: Waliofukuzwa uanachama CHADEMA waanza kugawanyika

Tetesi: Waliofukuzwa uanachama CHADEMA waanza kugawanyika

Miaka 15 ya jasho na damu ..saa nyingine Lupango..mahakamani...nyie mmetulia tulii majumbani kwenu.. tokeni kwenye comfort zone mvae viatu vyake hata mara moja mtaona alivyo jasiri
Kamanda jasiri aliyepigana vita kwa jasho na damu ni pamoja nakumaliza vita hivyo sio kuvikimbia njiani kabla vita havijaisha.tena anakimbilia upande wa adui.vinginevyo tujue alikua anapigania vita tumbo lake ila sio vita kwa maana ya vita aliyopaswa kuipigana.Sidhani kama kuna mtu alimfwata akamwambia tunataka ukawe kiongozi wetu kwenye hii vita bali alisikumwa kwa utashi wake baada yakuona kuna wajibu wakufanya kwa nchi yake.Kwahiyo kama hakukamilisha huo wajibu au aliteseka hakuna sababu yayeye kuonekana aliteseka binafsi.bado wangeweza kushirikiana kama chama wakaja na majibu sahihi ya nini kifanyike ila sio papara na hatua walizochukua.Kukosea kupo ila ukikosea kwa makusudi ni ujinga.
 
Dah!? Rudi school tafadhali hauko sawa
HAAAA HAAAAA. KWA SASA MNAHAHA NA MAAMUZI YENU YA KUWAKANDAMIZA WAMAMA HAO. HAYO NDOMADHARA YA KUFANYA MAAMUZI UKIWA UMEPANIKII. NABADO NGOJA WAMAMA HAO WATEME NONDO ZAO NA MAKOMBORA YAO, BILASHAKA MANAWAJUA VIZURIII TULIENII.
 
WAACHENIII MAKAMANDA WALE, WAKO WANAANDAA NONDO ZA KUWACHAPA NA UTAPELI WENU KWENYE KIGENGE CHENUU. SASA NAONA MUNAWEWESEKA BILA USINGIZIIII. MUMEWATIMUA KIKATILI WAMAMA HAO HATA BILA KUWASIKILIZA HUKU MKIWATISHIA VYA KUTOSHA MKIONGOZWA NA YULE TAPELI WAUBERIGIJI. SASA TULIENIII WAWAPE ZA USO MDA SI MREFU

Halima aje na majibu yanayoeleweka kama Kikao cha kamati kuu kilikaa lini kupitisha majina yao na kama hakukuwa na kikao je yeye kama kiongozi mzoefu alitoa taarifa gani na kwa kiongozi yupi kuwa wamealikwa kwenda Dodoma kupewa rushwa ya ubunge ambayo haijafuata utaratibu wa kisheria?
 
Kwani haowametimuliwa niwanaccm?? Mumewatimua uanachama sasa kwanini kuchakutwaa mnaweweseka juu ya wamama hawa wasiona chama chochote? Waacheniiii basiiiii, mbana mnaweweseka JUUU ya hawa raia wasio na chama??
Hakuna anayeweweseka.CDM haitaki waendelee kutumia "nembo" yake! Kama nguchiro kawaahidi kuwalinda kwa nguvu zake zote hofu ya nini? Waendelee kwa kutumia nembo tofauti ! Mbona rahisi tu????
 
HAAAA HAAAAA. KWA SASA MNAHAHA NA MAAMUZI YENU YA KUWAKANDAMIZA WAMAMA HAO. HAYO NDOMADHARA YA KUFANYA MAAMUZI UKIWA UMEPANIKII. NABADO NGOJA WAMAMA HAO WATEME NONDO ZAO NA MAKOMBORA YAO, BILASHAKA MANAWAJUA VIZURIII TULIENII.
“This party is our future as a nation.” Hon. freeman mbowe .
 
Kweli kabisa mkuu, watu walimpigania kwenye chaguzi tatu tofauti jimboni Kawe buree, kwa mapenzi yao tu.
Sijajua ni tamaa ya aina gani aliyonayo kiasi cha kuusaliti uma!!?
Mbona tuliwaeleza hapa mtandaoni tabia za huyu mama huko Kawe?
Tatizo mliweka mapenzi yenu mbele kuliko uhalisia.
Sasa mumemujua!
 
Halima aje na majibu yanayoeleweka kama Kikao cha kamati kuu kilikaa lini kupitisha majina yao na kama hakukuwa na kikao je yeye kama kiongozi mzoefu alitoa taarifa gani na kwa kiongozi yupi kuwa wamealikwa kwenda Dodoma kupewa rushwa ya ubunge ambayo haijafuata utaratibu wa kisheria?
Kwanikuwavua uanachama mliwataka waje kutoa uhalisia wake? Tunachozungumzia hapa nitaratibu za kuwafukuza bila kuwasikirizaaa wamama hao. Hatakama walikua namakosa walikuwa na haki ya kusikilizwaa. Nyinyi hamukufanya ivooo
 
Miaka 15 ya jasho na damu ..saa nyingine Lupango..mahakamani...nyie mmetulia tulii majumbani kwenu.. tokeni kwenye comfort zone mvae viatu vyake hata mara moja mtaona alivyo jasiri
Halima alikuwa ni mtu asiyetumia akili.
Halima ni obstinate na anatawaliwa na jeuri isiyo na tija.
Alichokuwa anafanya si siasa bali kujionyesha tabia yake hadharani.
Sasa akifikiri ana ubavu wa kisiasa kufanya lolote atakalo, kaukuta ukuta.
Aruke huo ukuta au arudi nyuma.
Kwa tabia yake ya kuji pride tutaona matokeo lakini siasa siyo kidergatten ati utabembelezwa, kosa moja na unamezwa na aliyekuwa ana ku pet pet.
 
Wakati Halima yupo chadema, halikuwa kamanda mpambanaji, mwanamke wa shoka, jembe, iron lady, mrembo, mtetezi wa wanyonge. Lakini baada ya kupigania masilahi yake, ambayo ndiyo kila mbunge anapigania kwanza. Kwa sasa anaitwa mze, mr, msaliti, covid nk. Ukiwa ndani ya chadema wewe ni msafi, ukiwa ukiwa nje wewe ni mchafu..
 
Habari wadau. Yajayo yanafurahisha.

Waliokuwa Wabunge wa Viti Maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee wameanza kutofautiana hasa baada ya kufutwa Uanachama, na mapokeo ya maamuzi hayo kwa BAWACHA wenzao na Wanachama kwa ujumla.

Kwa taarifa zilizopo ni kwamba Dada mmoja kutoka Mbeya ameungana na wenzake na wameanza kushinikiza ili waende kuonana na mwenyekiti ili kuomba msamaha.

Jambo hili limeathiri mpango wa pamoja wa kutoa tamko kulaani kuvuliwa uanachama, kutokana na baadhi kutokubaliana na matamshi yanayokinzana na misimamo yao.

Muda unakwenda kasi, muda si mrefu tutasikia mapya juu ya mchongo mzima wa jinsi suala hili lilivyokuwa, watasema wenyewe na tutaelewa vizuri.
Hakuna kitu kama hichi, huu mpango waliusuka vizuri na walijua chadema wakikaa watafukuzwa tathmini waliijua lakini wakachagua hela kuliko kukokonea chadema na magwanda kwa msimu mzima wa miaka 5 usio na hela za mazoea.

Saivi ndio lishatibuka wataendelea kumeza mate machungu wakiweka mahela mfukoni. Wengine wameahidiwa unaibu waziri, wanauchekelea kishikishi, nani asiyejua mbongo kwa hela ata kuua wanauwa siku zote.

Mi natazamia mbali zaidi ata hao kina Mnyika sjui Msigwa naona bado tu hawajafikia bei tu., Lissu ndo kashajiripua nje ya nchi Chadema inaelekea kufa rohoni kabisa
 
Haaaaahaaaa. Kumbe polisi mlitaka waje kuwatimua waaandamanajiii wenu waliokuwa na ujumbe wa kuwatukana wamama wale kuwa ni covid 19?
Kama intelligencia ilishindwa ona viashiria vya maandamano na mabango huo ni uongo hayakuwepo hayo mabango.
 
Back
Top Bottom