Tetesi: Waliofukuzwa uanachama CHADEMA waanza kugawanyika

A terribly short sighted observation!!
 
Au CHADEMA ni watetezi tu!
Angalao unajuwa ya kuwa CHADEMA ni watetezi tu wa hiyo Katiba.Napata faraja kuona lumumba hawajamaliza ufahamu wako wote.
 
Hapana! Wote unaowataja wana ufahamu wa shule. DJ wetu ana shule ipi? Huyo jamaa wa R&B ana shule ipi? Mchungaji feki ana shule ipi? Acha bhana! hii mwaka 2020, siyo 1961 tulipohitaji kila mtu mwenye uvumilivu.
 
Hapana! Wote unaowataja wana ufahamu wa shule. DJ wetu ana shule ipi? Huyo jamaa wa R&B ana shule ipi? Mchungaji feki ana shule ipi? Acha bhana! hii mwaka 2020, siyo 1961 tulipohitaji kila mtu mwenye uvumilivu.
Hujui lolote bwana. Angalia ma professors na ma Dr's wanavyovurunda. Uongozi ni kipaji na si uwingi wa vyeti.
 
Mjinga mwingine
 
Miaka 15 ya jasho na damu ..saa nyingine Lupango..mahakamani...nyie mmetulia tulii majumbani kwenu.. tokeni kwenye comfort zone mvae viatu vyake hata mara moja mtaona alivyo jasiri
Akumbuke pia tunaompa ujasiri ni kina nani bwasheee
....!
Utauona huo ujasiri tena kama ataupata
 
Upumbavu wako unadhani kuwa chizi hana akili?

Kauli za mtu ni kielelezo cha ubora wa ubongo wake. Poor brain cannot reasonably be expected to generate good ideas. Profanity is the best it can offer!
 
Kauli za mtu ni kielelezo cha ubora wa ubongo wake. Poor brain cannot reasonably be expected to generate good ideas. Profanity is the best it can offer!
Unaendeleza ujinga wako hapa kwa kuchanganya Lugha watu mafa.la sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…