Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
- Thread starter
-
- #101
Nani amfunge paka kengere?Ko whats your conclusion
Kuwa alifukuzwa au???
Ni jambo la kutumia akili, angekuwa anaskendo lingekuwa lishajulikana af shule za serikali ukihajiliwa kuacha labda uache mwenyewe au wizara ikufukuze
sidhani kama yupo aliyetoboa
Wewe ulifundishwa na magufuli?Tumetoboa wengi tu . Kuhusu Mwl kipindi hicho hakuwa na maneno mengi ukizingatia alikuwa kijana mdogo , kiasi kama rika zetu. Nakumbuka headmaster alikuwa Mwl Marwa ,Mwl Mikenze(kilimo), Mwl Elifuraha, Mwl Masumbuko (michezo), Mwl Onyango (Geography), Mrs Kaijunga
Sesesco ni shule nzuri iliyojengwa kwa msaada wa Cuba na kipindi hicho alikuwa haikosi 10 bora
Niulize chochote kuhusu Maghufuly na Sesesco,Wewe ulifundishwa na magufuli?
Watu wachache sana wanaujasiri wa kuomba radhi, Big upni kweli sijui kesho yangu ndio maana siwezi kutoa kauli km yako hila mimi nimekukumbusha tu km nimekosea kukwambia nisamehe.
Mmmm bac kulikuwa na njaa mwaka uonasikia kuna mwalimu alikuwa store keeper gunia la mchele likapotea...nauchukia sana ufisadi mimi........
Jibu swali kwanza. Ulifundishwa na magu?Niulize chochote kuhusu Maghufuly na Sesesco,
Kiswahiki????Lugha ya Brunei hii.Au ulimaanisha kisiki cha mpingo?[emoji3] [emoji3] [emoji3]Mwaka 1982 hadi 1983, Rais Magufuli alikuwa Mwalimu Shule ya Sekondari Sengerema akifundisha masomo ya Kemia na Hisabati.
Kwa wale mliobahatika kufundishwa na JPM mje hapa mtueleze uwezo wake wa kufundisha ulikuaje?
Je, alipendelea kutumia lugha gani kati ya kisukuma na kiswahiki?
Na ni kwanini alifundisha kwa mwaka mmoja tu?
NaamJibu swali kwanza. Ulifundishwa na magu?
Hili la mshahara mdogo naona mtu wa pili akilieleza. Inakuwaje anapenda watu waishi kama mashetani wakati yeye mwaka 1 alikimbia?Alikua analalamika Mshahara mdogo...akaamua kwenda kusoma mshahara wake ukasimamishwa kwa kutotimiza masharti ya kwenda kusoma....maana alifundisha Mwaka Mmoja tuu...
labda waliona ngeli za malkia hazimpandi,akapangiwa majukumu mengineUalimu sio kazi rahisi kuacha Kwa mwaka mmoja 2 hapo kuna jambo limefichika
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mletamada..Kabla hujauliza swali, tuambie kwanza.....ni mrija upi uliobanwa kwako? Wizi, ukwepaji kodi, wafanyakazi hewa, wanafunzi hewa? Tuanzie hapo kwanza
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Alikuwa Mwalimu bora na akifundisha kemia lazima uelewe kweli kweli.. maana alikuwa ni msema kweli na akikuambia utafeli lazima ufeli...
[emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hata mi nilitamani kujua uwezo wake wa kufundisha, kama kuhutubia tu hakuna mpangilio wa hoja sijui kufundisha ilikuaje?
Unajificha room wakati wa vipindi! We kweli SCREPA!Bosi Mimi nilikuwaga bweni la wajanja Mkwawa karibu na chaka, niliwahi kupigwa suspension baada ya kukutwa nimejificha 'Room7' na wenzangu mida ya class, nakumbuka mwaka 2002 kwenye graduu ya form6 alialikwa Magufuli (kipindi hicho waziri kijana) kama mgeni rasmi akatupiga changa la macho atatuletea TV kubwa, hadi natoka sikuiona. Sesesco bonge la shule sema migomo ilifanya iharibike, mabweni yote hayana vioo madirishani, binafsi nilisoma miaka miwili (2002-2003) wazazi walipohamia Songea kikazi wakanihamisha
Unaweza kutujuza hizi DATA za kijinga umezifikiaje?Mnadhani jf kuna kila mtu? Humu kuna asilimia finyu sana ya wananchi wa Tz, 0.000000000001%, so msipatage orgasm sana kwa mihemuko inayotukia humu. No effect at all. WAatakuwa busy na issue zao labda wapo fb.