Hahahahaha hahahahaha, mkuu umenikumbusha enzi za mabuga,bogozwii,nkuyege na babu nhangi jilala hatariii,hata mkulu alikuwa noma kwenye kemia alifundidha bila kitabu,ni noma.Kabla hatujaanza kuchangia tujuzane kwanza ya Sengerema kipindi hicho HM Matu, kwa waliofikia mabweni ya Milambo au Kibasila na wapenzi wa kujifichà Chaka ambako ukionana na Mwalimu CHILIMILA utasafisha seawage wiki nzima. Kama huyajui haya wewe siyo wa SESESCO usichangie.