Waliofundishwa na Magufuli katika Sekondari ya Sengerema mje tuwachukue maelezo hapa

Waliofundishwa na Magufuli katika Sekondari ya Sengerema mje tuwachukue maelezo hapa

Maswali mengine, si hata mimi nitaweza kutunga na kurusha. Yaani utajuaje kama nasema ya kweli au uongo?
 
Wanaojibu bora hata wataje mwalimu mwingine aliyewafundisha etc...sio list ya wengi mmoja inatosha

La sivyo porojo tu
 
Sidhani kama kuna mwenye uwezo wa kumiliki smart phone kwa hiyo hawajui hata kinachoendelea humu JF. Hasara.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji12] watu wabaya nyie
 
Mnadhani jf kuna kila mtu? Humu kuna asilimia finyu sana ya wananchi wa Tz, 0.000000000001%, so msipatage orgasm sana kwa mihemuko inayotukia humu. No effect at all. WAatakuwa busy na issue zao labda wapo fb.
 
Hakunifundisha,ila nilipata yafuatayo,he had no permanent friend,busy most of the time,alikuwa analalamika mshahara mdogo ndo maana alifanya maamuzi ya kujiendeleza ili apate mshahara mnono zaidi🙁
sasa kwanini hataki kuwaongezea mshahara wenzake wakati anajua ni mdogo toka akiwa mwalimu
 
Inawezekana wengi waliishia kuwa wavuvi
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ...unamaanisha
9c8c3b2d682cd878970c3f2d4678caca.jpg
 
Mwaka 1982 hadi 1983, Rais Magufuli alikuwa Mwalimu Shule ya Sekondari Sengerema akifundisha masomo ya Kemia na Hisabati.

Kwa wale mliobahatika kufundishwa na JPM mje hapa mtueleze uwezo wake wa kufundisha ulikuaje?

Na ni kwanini alifundisha kwa mwaka mmoja tu?


Ukimaliza na hao usisahau na kuwaita wale waliokuwepo wakati Zee lako linajinyea!
 
Bosi Mimi nilikuwaga bweni la wajanja Mkwawa karibu na chaka, niliwahi kupigwa suspension baada ya kukutwa nimejificha 'Room7' na wenzangu mida ya class, nakumbuka mwaka 2002 kwenye graduu ya form6 alialikwa Magufuli (kipindi hicho waziri kijana) kama mgeni rasmi akatupiga changa la macho atatuletea TV kubwa, hadi natoka sikuiona. Sesesco bonge la shule sema migomo ilifanya iharibike, mabweni yote hayana vioo madirishani, binafsi nilisoma miaka miwili (2002-2003) wazazi walipohamia Songea kikazi wakanihamisha
Wewe kweli umepita Sesesco a.k.a Singapore. Huyu bwana huyu... Alifanya watu wengi wachukie Chemistry kwa ukali wake hata pasipo sitahili, kama ambavyo wengine waliichukia Geography sababu ya Mwl Chilimila.
 
Tunashindwa kujibu maswali kuhusu jpm akiwa mwalimu sesesco tuliofundishwa na yeye tuna mengi ya kusifia lakini kwa mtizamo wa JF mtu hawezi toa maelezo ya kuwatosheleza kila mwana JF akaridhika maana wengi humu wameathirika kwa utendaji wake aidha wengi wetu humu JF walikuwa wapiga dili, wanaishi kwa ujanja ujanja
 
Bosi Mimi nilikuwaga bweni la wajanja Mkwawa karibu na chaka, niliwahi kupigwa suspension baada ya kukutwa nimejificha 'Room7' na wenzangu mida ya class, nakumbuka mwaka 2002 kwenye graduu ya form6 alialikwa Magufuli (kipindi hicho waziri kijana) kama mgeni rasmi akatupiga changa la macho atatuletea TV kubwa, hadi natoka sikuiona. Sesesco bonge la shule sema migomo ilifanya iharibike, mabweni yote hayana vioo madirishani, binafsi nilisoma miaka miwili (2002-2003) wazazi walipohamia Songea kikazi wakanihamisha

mkuu umenikumbusha mbali sana nilikua mkwawa room 5 middle. Kipindi hicho mkuu ni Mpemba. mwalimu mkongwe wa maths alikua ELIFURAHA na huyu ndo mwenye historia ya mkulu walifundisha wote.
 
Mnadhani jf kuna kila mtu? Humu kuna asilimia finyu sana ya wananchi wa Tz, 0.000000000001%, so msipatage orgasm sana kwa mihemuko inayotukia humu. No effect at all. WAatakuwa busy na issue zao labda wapo fb.
Wewe kama huijui Jf kaa kimya usijipake aibu kwa kitu usichokijua. Humu kuna watu wa kada zote na wengine huwezi amini wana mamlaka makubwa nchini. Kwa kujua hilo ndo maana Wakubwa wanahangaika na Jf kwani wanajua Impact yake kwa jamii. Wao sio wajinga wahangaike kufuatilia kitu kisicho na Impact yoyote. Mambo mengi yanayoumiza wakubwa vichwa aidha yameanzia Jf au yamepata msukumo Wa Jf. Hii siyo ya kudharau, hata hao waliokutuma upost kipost chako humu wanakushangaa unapoidharau Jf eti ina percent 0.0.......!!!!??? Aibu yako, hata wewe??
 
mkuu umenikumbusha mbali sana nilikua mkwawa room 5 middle. Kipindi hicho mkuu ni Mpemba. mwalimu mkongwe wa maths alikua ELIFURAHA na huyu ndo mwenye historia ya mkulu walifundisha wote.
Yes! Namkumbuka vizuri Elifuraha.
 
pal
Mwaka 1982 hadi 1983, Rais Magufuli alikuwa Mwalimu Shule ya Sekondari Sengerema akifundisha masomo ya Kemia na Hisabati.

Kwa wale mliobahatika kufundishwa na JPM mje hapa mtueleze uwezo wake wa kufundisha ulikuaje?

Na ni kwanini alifundisha kwa mwaka mmoja tu?
Pale Agenda muhimu inapokuwa adimu huibuliwa agenda mbadala kwa namna hii
 
Back
Top Bottom