Waliofundishwa na Magufuli katika Sekondari ya Sengerema mje tuwachukue maelezo hapa

Inamaana mpaka sasa hayupo mwanafunzi wa JPM.
 
Mletamada..Kabla hujauliza swali, tuambie kwanza.....ni mrija upi uliobanwa kwako? Wizi, ukwepaji kodi, wafanyakazi hewa, wanafunzi hewa? Tuanzie hapo kwanza
Eti mrija [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sidhani kama watakuwa wanajua kutumia jf app.
 
Wewe kweli umepita Sesesco a.k.a Singapore. Huyu bwana huyu... Alifanya watu wengi wachukie Chemistry kwa ukali wake hata pasipo sitahili, kama ambavyo wengine waliichukia Geography sababu ya Mwl Chilimila.

Pia vilaza wanakuwaga na tabia za kuchukia walimu na somo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…