Mimi hilo somo lilinikata kabisa kila nikijipendekeza wapi nikaona cha kuumwa kichwa niniMnaojua hesabu hongereni sana, binafsi sikumbuki chochote nilichosoma kuhusu hesabu zaidi ya magazijuto.
hahahaa unaitumia mkuu ht kwe kuamua upite njia ipi badala ya ipiMimi machinga pale karume na trig wapi na wapi
Unaujua uchawi weweMihesabu kama ya Trigonometric ratios (Tan, Cos na Sin), Calculus n.k. na mihesabu migumumigumu ya chuo kikuu iligunduliwaje?
View attachment 1963923
Yani mtu unasolve page nne ndio unapata jibu jamani!!! Sasa walifikiajefikiaje muafaka kwamba ukifanya hivi hivi ukaja hivi na hivi mpaka mwisho ndio mjibu huo umetiki?
View attachment 1963924
Kwakweli hesabu ni jambo la kushangaza sana. Hebu tupeni historia ya kugunduliwa hesabu mpaka leo. Na je, hakuna hesabu mpya zilizogunduliwa miaka ya karibuni?
Hiki kisa nakijua leo, ngoja nikifuatilie. Asante mkuu.Namkumbuka mzee Pythagora ambaye Maaskari walimuua kwa sababu alikuwa amechora pembetatu mraba(Right-angled Triangle) barabarani na ameinamia kutaka kujua uhusiano kati ya mistari yake (urefu ) na kwa bahati mbaya hao majamaa(Askari) walikuwa wanapitisha Gwaride lao hapo. Pythagora aliwataka wasiukanyage mchoro wake bali wapite pembeni kidogo. Alipokataa kuwapisha na akawa mbishi wakamwua bila kujua alikuwa anasolve a2 + b2 = c2.
Sounds great. Usisahau pia ugumu wa hesabu ulivyowashinda Chadema kuingia ikuluHesabu ngumu kupita zote duniani ni ndoa
Mpe ushauri kwamba kama ikishindikana hapo, basi atumie Duncan Multiple Range Test.🙄🤣🤣Apply log mtu wangu. Utaielewa.... au tumia Chi square table of distributions😂😂😂
Mkuu; Haiko wazi sana(ni ya kusadikika- myth) ; tulisikia kwa Teacher shuleni, lakini uki-Google kama swali " Was Pythagoras killed by a soldier?" utakutana na hiyo kitu japo wanaeleza kukataa kwake kukanyaga shamba la maharage!Hiki kisa nakijua leo, ngoja nikifuatilie. Asante mkuu.
====
Updates
Nimefuatilia kwenye vyanzo vyangu vya habari, nakukuta kumbe kila habari iliyokuwa na muhusu Pythagoras ilikuwa inatiliwa mashaka. Vivo hivyo, na habari ya kifo chake. Habari nyingi zinasema alichomwa moto akiwa kwenye nyumba na wenzake, kutokana na mtafaruku wa kisiasa, habari nyingine zinasema alitoroka janga hilo.
Mkuu, naomba chanzo chako cha habari hii, ya mtaalamu huyu kuuawa na askari.
No, lengo la mathematics sio kupima uwezo wa mtu kufikiri.Hesabu ni kipimo sahihi cha kupima uwezo wa mtu kufikiri, pia ukirejea mashuleni wanafunzi wanaolimudu vizuri somo la Hisabati( Mathematics) wengi wao hata matokeo yao ya mitihani ya NECTA huwa ni mazuri kuliko wazembe wa hesabu, ndo hao husoma combination za PCM, PMC,PGM,PCB,EGM,CBG,CBN ambao hulisaidia taifa ktk kazi za Uhandisi, Urubani ,Udaktari, Unahodha nk.
Hata kazi ya ufundi selemala na ushonaji nguo Kama mtu hajui hesabu atatumia materials nyingi kuliko yule anayezimudu vizuri, nenda kwenye biashara yule anayejua hesabu vizuri ni rahisi kuendesha biashara kwa faida.
Kwahiyo tuwahimize watoto wetu kupenda Hisabati.
Mathematics is our own language, let's speak it!!!
Huyo teacher, nadhani alikuwa ananogesha somo. Asante kwa info.tulisikia kwa Teacher
Usi generalise kirahisi hivyo, Africans wanafikira za hali ya juu sana. Nakuhakikishia wamehusika kikamilifu katika mission nyingi za anga za mbali.africans ni wavivu wa kufiri simple.
Siku mkiwa mnabishana jengo gani refu kati ya PPF TOWER au Benki KuuSioni matumizi ya hesabu kama trigono ratio au logarithim ktk maisha ya kawaida. Yaan zinatumika wapi?
Ikifuatiwa na pen kwa ugumuNa hesabu ngumu kuliko zote duniani ni ipi na hiyo hesabu inakuwa ngumu ikitafuta kitu gani?
😂😂unazinguaNdio X aheshimiwe,sio mnatutukana tu