Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Ilikuwa ni furaha na tabasamu kwa wanakijiji 10 wa Nkomelo wilayani Muleba mkoani Kagera baada ya kukabidhiwa nyumba zao mpya zkama sehemu ya fidia kwa ajili ya kupisha ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) linalotarajiwa kuanza ujenzi baadae mwaka huu.
Nyumba hizo walizokabidhiwa wanakijiji hao zina huduma zote muhimu, ikiwa ni pamoja na majiko na vyoo vya nje, mifumo ya nishati ya jua, matenki kwa ajili ya kuhifadhia maji yenye ujazo wa lita 5,000 kwa kila nyumba na vitu vingine muhimu yakiwemo madirisha ya kisasa ya vioo.
"Kusema kweli, sikuwahi kufikiria kumiliki nyumba nzuri kama hii maishani mwangu kwa sababu nilikuwa naishi kwenye nyumba ndogo ya udongo, lakini kumiliki nyumba ya kisasa ni jambo ambalo sikuwahi kufikiria hapo awali," alisema. Jovin Bebwa Thadeo mwenye umri wa miaka 67, baba wa watoto 15.
Dustan Muganyizi, 54, wakati akipokea ufunguo wa nyumba ya familia yake, alikuwa miongoni mwa watu waliokuwa na furaha na hakuweza kuizuia furaha yake.
"Pia tulipokea pesa za fidia ambazo zilibadilisha maisha yetu kabisa kwa kutuwezesha kufanya vitu mbalimbali vya kimaendeleo kama vile kununua pikipiki, mashamba ya ziada, na Ng'ombe," amesema.
Muganyizi, baba wa familia ya watoto watano ameongeza kuwa kupewa nyumba ni sehemu ya fidia ambayo imeboresha maisha yao.
Wawakilishi waandamizi mbalimbali kutoka Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), na viongozi wa serikali ya Muleba walihudhuria pia hafla hiyo ya kukabidhi nyumba hizo.
Mkurugenzi wa Biashara ya Petroli wa TPDC Dk. Wellington Hudson amesema jumla ya nyumba 292 zitajengwa kwa ajili ya watu walioathirika na mradi ambapo kati ya hizo, 58 tayari zimejengwa katika maeneo mbalimbali litakalopita bomba hilo.
Amesema makabidhiano hayo ya nyumba kwa walioguswa na mradi ni ishara tosha kwamba mchakato wa fidia kwa walioguswa na mradi unaendelea bila vikwazo vyovyote.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mkuu wa EACOP Martin Tiffen , kabla ya kusaini mikataba, wananchi walioguswa na mradi walishirikishwa katika mchakato wa malipo na tathmini kwa ajili ya fidia zao.
Amesema kuwa watu 9898 walioguswa na mradi ambao ni sawa na asilimia 97 sehemu yao ya mashamba ndio yamepitiwa na mradi .
Amesema watu 344 ambao ni sawa na asilimia 3 iliyobaki, nyumba zao ndio zimepitiwa na mradi na zitabomolewa kwa ajili ya kupisha ujenzi wa bomba hilo la mafuta ghafi.
Bosi huyo wa EACOP aliongeza kuwa 90% ya watu hao ambao nyumba zao zinapitiwa na mradi walifanya uamuzi wa busara wa kuchagua kujengewa nyumba mbadala za zege ambazo zinajengwa na wakandarasi wazawa kwa kutumia ubunifu kutoka Afrika Kusini.
Aliongeza kuwa nyumba hizo mbadala ziko chini uangalizi (warantii ) kwa mwaka mmoja ambapo wakandarasi watawajibika kurekebisha uharibifu wowote utakaotokea katika kipindi hicho
๐๐๐ฒ๐ ๐๐ฐ๐๐ง๐ฒ๐๐ค๐ข๐ญ๐ข ๐ฐ๐ ๐๐จ๐๐ข ๐ฒ๐ ๐๐๐ค๐ฎ๐ซ๐ฎ๐ ๐๐ง๐ณ๐ข ๐ฐ๐ ๐๐๐ฆ๐ฅ๐๐ค๐ ๐ฒ๐ ๐๐๐ก๐ข๐๐ข๐ญ๐ข ๐ฐ๐ ๐๐ฎ๐๐ฎ๐ฆ๐ ๐ณ๐ ๐๐ข๐ฌ๐ก๐๐ญ๐ข ๐ง๐ ๐๐๐ฃ๐ข (๐๐๐๐๐) ๐๐ซ๐จ๐๐๐ฌ๐ ๐๐๐ซ๐ค ๐๐ฐ๐๐ง๐๐จ๐ฌ๐ฒ๐ ๐๐ฅ๐ข๐ฉ๐จ๐ง๐ ๐๐ณ๐ ๐ก๐๐ญ๐ฎ๐ ๐ฒ๐ ๐๐๐๐๐ ๐ค๐ฎ๐ค๐๐๐ข๐๐ก๐ข ๐ง๐ฒ๐ฎ๐ฆ๐๐ ๐ก๐ข๐ณ๐จ ๐ค๐ฐ๐ ๐ฐ๐๐ฅ๐๐ง๐ ๐ฐ๐ ๐๐ค๐ข๐ฌ๐๐ฆ๐ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐ ๐ก๐๐ญ๐ฎ๐ ๐ก๐ข๐ฒ๐จ ๐ข๐ง๐๐ญ๐จ๐ ๐ฎ๐ฃ๐ฎ๐ฆ๐๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐ฐ๐๐ง๐๐จ๐ฉ๐ข๐ง๐ ๐ ๐ฆ๐ซ๐๐๐ข ๐ก๐ฎ๐จ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐ ๐ก๐๐ค๐ข ๐ณ๐ ๐๐ข๐ง๐๐๐๐ฆ๐ฎ ๐ฉ๐ข๐ ๐ณ๐ข๐ง๐๐ณ๐ข๐ง๐ ๐๐ญ๐ข๐ฐ๐ ๐ค๐๐ญ๐ข๐ค๐ ๐ฎ๐ญ๐๐ค๐๐ฅ๐๐ณ๐๐ฃ๐ข ๐ฐ๐๐ค๐.
"๐๐ฎ๐ง๐๐ณ๐ข๐ง๐ ๐๐ญ๐ข๐ ๐ฆ๐๐ญ๐๐ค๐ฐ๐ ๐ฒ๐จ๐ญ๐ ๐ฒ๐ ๐ฃ๐ฎ๐ฆ๐ฎ๐ข๐ฒ๐ ๐ณ๐ ๐ค๐ข๐ฆ๐๐ญ๐๐ข๐๐ ๐ข๐ค๐ข๐ฐ๐ ๐ง๐ข ๐ฉ๐๐ฆ๐จ๐ฃ๐ ๐ง๐ ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ง๐ณ๐ข ๐ฐ๐ ๐ฆ๐๐ณ๐ข๐ง๐ ๐ข๐ซ๐ ๐ง๐ ๐ฎ๐ก๐ข๐๐๐๐ก๐ข ๐ญ๐ฎ๐ง๐๐ฉ๐จ๐ญ๐๐ค๐๐ฅ๐๐ณ๐ ๐ฆ๐ซ๐๐๐ข ๐ก๐ฎ๐ฎ ๐ฐ๐ ๐ค๐ข๐ฆ๐ค๐๐ค๐๐ญ๐ข ๐ฐ๐ ๐ค๐ข๐ญ๐๐ข๐๐,".
"๐๐ฎ๐ฅ๐ข๐๐ก๐ข๐๐ข ๐ค๐๐ญ๐ข๐ค๐ ๐ค๐ฎ๐ญ๐๐ค๐๐ฅ๐๐ณ๐ ๐ฆ๐ซ๐๐๐ข ๐ก๐ฎ๐ฎ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐ ๐ญ๐ฎ๐ญ๐๐ฅ๐ข๐ง๐๐ ๐ฆ๐๐ณ๐ข๐ง๐ ๐ข๐ซ๐ ๐ง๐ ๐ค๐ฎ๐๐จ๐ซ๐๐ฌ๐ก๐ ๐ฆ๐๐ข๐ฌ๐ก๐ ๐ฒ๐ ๐ฐ๐๐ญ๐ฎ ๐ฐ๐๐ญ๐ฎ ๐ค๐ข๐ฃ๐๐ฆ๐ข๐ข ๐ง๐ ๐ค๐ข๐ฎ๐๐ก๐ฎ๐ฆ๐ข", ๐๐ฅ๐ข๐ฌ๐๐ฆ๐ ๐๐ซ๐จ๐๐๐ฌ๐ ๐๐ฐ๐๐ง๐๐จ๐ฌ๐ฒ๐, ๐๐ฆ๐๐๐ฒ๐ ๐๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐ข๐ค๐ ๐ง๐ฒ๐๐๐ก๐ข๐๐ ๐ญ๐จ๐๐๐ฎ๐ญ๐ข ๐ณ๐ ๐๐ฐ๐๐ณ๐ข๐ซ๐ข ๐ค๐๐ญ๐ข๐ค๐ ๐ฌ๐๐ซ๐ข๐ค๐๐ฅ๐ข ๐ฒ๐ ๐๐ฐ๐๐ฆ๐ฎ ๐ฒ๐ ๐ง๐ง๐.
๐๐ณ๐ข๐ณ ๐๐ฅ๐ข๐ฆ๐, ๐๐ฆ๐๐๐ฒ๐ ๐ง๐ข ๐๐๐ฅ๐จ๐ณ๐ข ๐ฐ๐ ๐๐๐ง๐ณ๐๐ง๐ข๐ ๐ง๐๐ก๐ข๐ง๐ข ๐๐ ๐๐ง๐๐ ๐๐ฅ๐ข๐ฌ๐๐ฆ๐ ๐๐๐ง๐ณ๐๐ง๐ข๐ ๐ข๐ค๐จ ๐ค๐๐ญ๐ข๐ค๐ ๐ก๐๐ญ๐ฎ๐ ๐ง๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ฒ๐ ๐ฎ๐ญ๐๐ค๐๐ฅ๐๐ณ๐๐ฃ๐ข ๐ฐ๐ ๐ฆ๐ซ๐๐๐ข ๐ก๐ฎ๐ฎ ๐ง๐ ๐ค๐ฎ๐ฌ๐๐ฆ๐ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐ ๐๐ฆ๐๐๐ฎ๐ซ๐๐ก๐ข๐ฌ๐ก๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐ก๐๐ญ๐ฎ๐ ๐ข๐ฅ๐ข๐ฒ๐จ๐๐ข๐ค๐ข๐ฐ๐ ๐ค๐๐ญ๐ข๐ค๐ ๐ฆ๐๐๐ง๐๐จ ๐ญ๐จ๐๐๐ฎ๐ญ๐ข ๐ฒ๐ ๐ฆ๐ซ๐๐๐ข ๐ก๐ฎ๐จ ๐๐ฅ๐ข๐ฒ๐จ๐ฐ๐๐ก๐ข ๐ค๐ฎ๐ฒ๐๐ญ๐๐ฆ๐๐๐ฅ๐๐.
๐๐ญ๐๐ค๐ข ๐๐ก๐๐ซ๐ฅ๐๐ฌ ๐๐๐ฒ๐ฎ๐ง๐ ๐, ๐๐๐ข๐ฆ๐ฎ ๐๐ญ๐๐ง๐๐๐ฃ๐ข ๐ฐ๐ ๐๐ข๐ฅ๐๐ฒ๐ ๐ฒ๐ ๐๐ฎ๐ฅ๐๐๐ ๐๐ฅ๐ข๐ฒ๐๐ฆ๐ฐ๐๐ค๐ข๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐ ๐๐ค๐ฎ๐ฎ ๐ฐ๐ ๐๐ข๐ฅ๐๐ฒ๐ ๐๐๐๐ฅ ๐๐ฒ๐๐ฆ๐๐ก๐๐ง๐ ๐ ๐๐ฆ๐๐ฌ๐๐ฆ๐ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐ ๐ฎ๐ฃ๐๐ง๐ณ๐ข ๐ฐ๐ ๐ง๐ฒ๐ฎ๐ฆ๐๐ ๐ก๐ข๐ณ๐จ ๐ฎ๐ฆ๐๐ค๐ฎ๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐ญ๐ข๐ฃ๐ ๐ค๐๐ญ๐ข๐ค๐ ๐ค๐ฎ๐ค๐ฎ๐ณ๐ ๐ฎ๐๐ก๐ฎ๐ฆ๐ข ๐ฐ๐ ๐ฐ๐๐ค๐๐ณ๐ข ๐ฐ๐ ๐๐ค๐จ๐ฆ๐๐ฅ๐จ ๐ค๐ฐ๐ ๐ค๐ฎ๐ญ๐๐ง๐ ๐๐ง๐๐ณ๐ ๐๐ฃ๐ข๐ซ๐.
๐๐๐๐๐ ๐ข๐ฆ๐๐ฉ๐๐ฐ๐ ๐ฅ๐๐ฌ๐๐ง๐ข ๐ฒ๐ ๐ค๐ฎ๐ฃ๐๐ง๐ ๐ ๐ฆ๐ข๐ฎ๐ง๐๐จ๐ฆ๐๐ข๐ง๐ฎ ๐ฒ๐ ๐ฎ๐ฌ๐๐๐ข๐ซ๐ข๐ฌ๐ก๐๐ฃ๐ข ๐ฐ๐ ๐ฆ๐๐๐ฎ๐ญ๐ ๐ ๐ก๐๐๐ข ๐ฒ๐๐ง๐ฒ๐ ๐ฎ๐ซ๐๐๐ฎ ๐ฐ๐ ๐ค๐ข๐ฅ๐จ๐ฆ๐ข๐ญ๐ 1443 ๐๐ฆ๐๐๐ณ๐จ ๐ณ๐ข๐ญ๐๐ฌ๐๐๐ข๐ซ๐ข๐ฌ๐ก๐ ๐ฆ๐๐๐ฎ๐ญ๐ ๐ ๐ก๐๐๐ข ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐ ๐๐๐๐๐๐ฅ๐ - ๐๐จ๐ข๐ฆ๐ ๐ง๐๐ก๐ข๐ง๐ข ๐๐ ๐๐ง๐๐ ๐ก๐๐๐ข ๐๐ก๐จ๐ง๐ ๐จ๐ฅ๐๐๐ง๐ข ๐ฆ๐ค๐จ๐๐ง๐ข ๐๐๐ง๐ ๐ ๐ง๐๐ก๐ข๐ง๐ข ๐๐๐ง๐ณ๐๐ง๐ข๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐๐ฃ๐ข๐ฅ๐ข ๐ฒ๐ ๐ค๐ฎ๐ฌ๐๐๐ข๐ซ๐ข๐ฌ๐ก๐ ๐ค๐๐ญ๐ข๐ค๐ ๐ฌ๐จ๐ค๐จ ๐ฅ๐ ๐ค๐ข๐ฆ๐๐ญ๐๐ข๐๐.
Nyumba hizo walizokabidhiwa wanakijiji hao zina huduma zote muhimu, ikiwa ni pamoja na majiko na vyoo vya nje, mifumo ya nishati ya jua, matenki kwa ajili ya kuhifadhia maji yenye ujazo wa lita 5,000 kwa kila nyumba na vitu vingine muhimu yakiwemo madirisha ya kisasa ya vioo.
"Kusema kweli, sikuwahi kufikiria kumiliki nyumba nzuri kama hii maishani mwangu kwa sababu nilikuwa naishi kwenye nyumba ndogo ya udongo, lakini kumiliki nyumba ya kisasa ni jambo ambalo sikuwahi kufikiria hapo awali," alisema. Jovin Bebwa Thadeo mwenye umri wa miaka 67, baba wa watoto 15.
Dustan Muganyizi, 54, wakati akipokea ufunguo wa nyumba ya familia yake, alikuwa miongoni mwa watu waliokuwa na furaha na hakuweza kuizuia furaha yake.
"Pia tulipokea pesa za fidia ambazo zilibadilisha maisha yetu kabisa kwa kutuwezesha kufanya vitu mbalimbali vya kimaendeleo kama vile kununua pikipiki, mashamba ya ziada, na Ng'ombe," amesema.
Muganyizi, baba wa familia ya watoto watano ameongeza kuwa kupewa nyumba ni sehemu ya fidia ambayo imeboresha maisha yao.
Wawakilishi waandamizi mbalimbali kutoka Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), na viongozi wa serikali ya Muleba walihudhuria pia hafla hiyo ya kukabidhi nyumba hizo.
Mkurugenzi wa Biashara ya Petroli wa TPDC Dk. Wellington Hudson amesema jumla ya nyumba 292 zitajengwa kwa ajili ya watu walioathirika na mradi ambapo kati ya hizo, 58 tayari zimejengwa katika maeneo mbalimbali litakalopita bomba hilo.
Amesema makabidhiano hayo ya nyumba kwa walioguswa na mradi ni ishara tosha kwamba mchakato wa fidia kwa walioguswa na mradi unaendelea bila vikwazo vyovyote.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mkuu wa EACOP Martin Tiffen , kabla ya kusaini mikataba, wananchi walioguswa na mradi walishirikishwa katika mchakato wa malipo na tathmini kwa ajili ya fidia zao.
Amesema kuwa watu 9898 walioguswa na mradi ambao ni sawa na asilimia 97 sehemu yao ya mashamba ndio yamepitiwa na mradi .
Amesema watu 344 ambao ni sawa na asilimia 3 iliyobaki, nyumba zao ndio zimepitiwa na mradi na zitabomolewa kwa ajili ya kupisha ujenzi wa bomba hilo la mafuta ghafi.
Bosi huyo wa EACOP aliongeza kuwa 90% ya watu hao ambao nyumba zao zinapitiwa na mradi walifanya uamuzi wa busara wa kuchagua kujengewa nyumba mbadala za zege ambazo zinajengwa na wakandarasi wazawa kwa kutumia ubunifu kutoka Afrika Kusini.
Aliongeza kuwa nyumba hizo mbadala ziko chini uangalizi (warantii ) kwa mwaka mmoja ambapo wakandarasi watawajibika kurekebisha uharibifu wowote utakaotokea katika kipindi hicho
๐๐๐ฒ๐ ๐๐ฐ๐๐ง๐ฒ๐๐ค๐ข๐ญ๐ข ๐ฐ๐ ๐๐จ๐๐ข ๐ฒ๐ ๐๐๐ค๐ฎ๐ซ๐ฎ๐ ๐๐ง๐ณ๐ข ๐ฐ๐ ๐๐๐ฆ๐ฅ๐๐ค๐ ๐ฒ๐ ๐๐๐ก๐ข๐๐ข๐ญ๐ข ๐ฐ๐ ๐๐ฎ๐๐ฎ๐ฆ๐ ๐ณ๐ ๐๐ข๐ฌ๐ก๐๐ญ๐ข ๐ง๐ ๐๐๐ฃ๐ข (๐๐๐๐๐) ๐๐ซ๐จ๐๐๐ฌ๐ ๐๐๐ซ๐ค ๐๐ฐ๐๐ง๐๐จ๐ฌ๐ฒ๐ ๐๐ฅ๐ข๐ฉ๐จ๐ง๐ ๐๐ณ๐ ๐ก๐๐ญ๐ฎ๐ ๐ฒ๐ ๐๐๐๐๐ ๐ค๐ฎ๐ค๐๐๐ข๐๐ก๐ข ๐ง๐ฒ๐ฎ๐ฆ๐๐ ๐ก๐ข๐ณ๐จ ๐ค๐ฐ๐ ๐ฐ๐๐ฅ๐๐ง๐ ๐ฐ๐ ๐๐ค๐ข๐ฌ๐๐ฆ๐ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐ ๐ก๐๐ญ๐ฎ๐ ๐ก๐ข๐ฒ๐จ ๐ข๐ง๐๐ญ๐จ๐ ๐ฎ๐ฃ๐ฎ๐ฆ๐๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐ฐ๐๐ง๐๐จ๐ฉ๐ข๐ง๐ ๐ ๐ฆ๐ซ๐๐๐ข ๐ก๐ฎ๐จ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐ ๐ก๐๐ค๐ข ๐ณ๐ ๐๐ข๐ง๐๐๐๐ฆ๐ฎ ๐ฉ๐ข๐ ๐ณ๐ข๐ง๐๐ณ๐ข๐ง๐ ๐๐ญ๐ข๐ฐ๐ ๐ค๐๐ญ๐ข๐ค๐ ๐ฎ๐ญ๐๐ค๐๐ฅ๐๐ณ๐๐ฃ๐ข ๐ฐ๐๐ค๐.
"๐๐ฎ๐ง๐๐ณ๐ข๐ง๐ ๐๐ญ๐ข๐ ๐ฆ๐๐ญ๐๐ค๐ฐ๐ ๐ฒ๐จ๐ญ๐ ๐ฒ๐ ๐ฃ๐ฎ๐ฆ๐ฎ๐ข๐ฒ๐ ๐ณ๐ ๐ค๐ข๐ฆ๐๐ญ๐๐ข๐๐ ๐ข๐ค๐ข๐ฐ๐ ๐ง๐ข ๐ฉ๐๐ฆ๐จ๐ฃ๐ ๐ง๐ ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ง๐ณ๐ข ๐ฐ๐ ๐ฆ๐๐ณ๐ข๐ง๐ ๐ข๐ซ๐ ๐ง๐ ๐ฎ๐ก๐ข๐๐๐๐ก๐ข ๐ญ๐ฎ๐ง๐๐ฉ๐จ๐ญ๐๐ค๐๐ฅ๐๐ณ๐ ๐ฆ๐ซ๐๐๐ข ๐ก๐ฎ๐ฎ ๐ฐ๐ ๐ค๐ข๐ฆ๐ค๐๐ค๐๐ญ๐ข ๐ฐ๐ ๐ค๐ข๐ญ๐๐ข๐๐,".
"๐๐ฎ๐ฅ๐ข๐๐ก๐ข๐๐ข ๐ค๐๐ญ๐ข๐ค๐ ๐ค๐ฎ๐ญ๐๐ค๐๐ฅ๐๐ณ๐ ๐ฆ๐ซ๐๐๐ข ๐ก๐ฎ๐ฎ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐ ๐ญ๐ฎ๐ญ๐๐ฅ๐ข๐ง๐๐ ๐ฆ๐๐ณ๐ข๐ง๐ ๐ข๐ซ๐ ๐ง๐ ๐ค๐ฎ๐๐จ๐ซ๐๐ฌ๐ก๐ ๐ฆ๐๐ข๐ฌ๐ก๐ ๐ฒ๐ ๐ฐ๐๐ญ๐ฎ ๐ฐ๐๐ญ๐ฎ ๐ค๐ข๐ฃ๐๐ฆ๐ข๐ข ๐ง๐ ๐ค๐ข๐ฎ๐๐ก๐ฎ๐ฆ๐ข", ๐๐ฅ๐ข๐ฌ๐๐ฆ๐ ๐๐ซ๐จ๐๐๐ฌ๐ ๐๐ฐ๐๐ง๐๐จ๐ฌ๐ฒ๐, ๐๐ฆ๐๐๐ฒ๐ ๐๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐ข๐ค๐ ๐ง๐ฒ๐๐๐ก๐ข๐๐ ๐ญ๐จ๐๐๐ฎ๐ญ๐ข ๐ณ๐ ๐๐ฐ๐๐ณ๐ข๐ซ๐ข ๐ค๐๐ญ๐ข๐ค๐ ๐ฌ๐๐ซ๐ข๐ค๐๐ฅ๐ข ๐ฒ๐ ๐๐ฐ๐๐ฆ๐ฎ ๐ฒ๐ ๐ง๐ง๐.
๐๐ณ๐ข๐ณ ๐๐ฅ๐ข๐ฆ๐, ๐๐ฆ๐๐๐ฒ๐ ๐ง๐ข ๐๐๐ฅ๐จ๐ณ๐ข ๐ฐ๐ ๐๐๐ง๐ณ๐๐ง๐ข๐ ๐ง๐๐ก๐ข๐ง๐ข ๐๐ ๐๐ง๐๐ ๐๐ฅ๐ข๐ฌ๐๐ฆ๐ ๐๐๐ง๐ณ๐๐ง๐ข๐ ๐ข๐ค๐จ ๐ค๐๐ญ๐ข๐ค๐ ๐ก๐๐ญ๐ฎ๐ ๐ง๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ฒ๐ ๐ฎ๐ญ๐๐ค๐๐ฅ๐๐ณ๐๐ฃ๐ข ๐ฐ๐ ๐ฆ๐ซ๐๐๐ข ๐ก๐ฎ๐ฎ ๐ง๐ ๐ค๐ฎ๐ฌ๐๐ฆ๐ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐ ๐๐ฆ๐๐๐ฎ๐ซ๐๐ก๐ข๐ฌ๐ก๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐ก๐๐ญ๐ฎ๐ ๐ข๐ฅ๐ข๐ฒ๐จ๐๐ข๐ค๐ข๐ฐ๐ ๐ค๐๐ญ๐ข๐ค๐ ๐ฆ๐๐๐ง๐๐จ ๐ญ๐จ๐๐๐ฎ๐ญ๐ข ๐ฒ๐ ๐ฆ๐ซ๐๐๐ข ๐ก๐ฎ๐จ ๐๐ฅ๐ข๐ฒ๐จ๐ฐ๐๐ก๐ข ๐ค๐ฎ๐ฒ๐๐ญ๐๐ฆ๐๐๐ฅ๐๐.
๐๐ญ๐๐ค๐ข ๐๐ก๐๐ซ๐ฅ๐๐ฌ ๐๐๐ฒ๐ฎ๐ง๐ ๐, ๐๐๐ข๐ฆ๐ฎ ๐๐ญ๐๐ง๐๐๐ฃ๐ข ๐ฐ๐ ๐๐ข๐ฅ๐๐ฒ๐ ๐ฒ๐ ๐๐ฎ๐ฅ๐๐๐ ๐๐ฅ๐ข๐ฒ๐๐ฆ๐ฐ๐๐ค๐ข๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐ ๐๐ค๐ฎ๐ฎ ๐ฐ๐ ๐๐ข๐ฅ๐๐ฒ๐ ๐๐๐๐ฅ ๐๐ฒ๐๐ฆ๐๐ก๐๐ง๐ ๐ ๐๐ฆ๐๐ฌ๐๐ฆ๐ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐ ๐ฎ๐ฃ๐๐ง๐ณ๐ข ๐ฐ๐ ๐ง๐ฒ๐ฎ๐ฆ๐๐ ๐ก๐ข๐ณ๐จ ๐ฎ๐ฆ๐๐ค๐ฎ๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐ญ๐ข๐ฃ๐ ๐ค๐๐ญ๐ข๐ค๐ ๐ค๐ฎ๐ค๐ฎ๐ณ๐ ๐ฎ๐๐ก๐ฎ๐ฆ๐ข ๐ฐ๐ ๐ฐ๐๐ค๐๐ณ๐ข ๐ฐ๐ ๐๐ค๐จ๐ฆ๐๐ฅ๐จ ๐ค๐ฐ๐ ๐ค๐ฎ๐ญ๐๐ง๐ ๐๐ง๐๐ณ๐ ๐๐ฃ๐ข๐ซ๐.
๐๐๐๐๐ ๐ข๐ฆ๐๐ฉ๐๐ฐ๐ ๐ฅ๐๐ฌ๐๐ง๐ข ๐ฒ๐ ๐ค๐ฎ๐ฃ๐๐ง๐ ๐ ๐ฆ๐ข๐ฎ๐ง๐๐จ๐ฆ๐๐ข๐ง๐ฎ ๐ฒ๐ ๐ฎ๐ฌ๐๐๐ข๐ซ๐ข๐ฌ๐ก๐๐ฃ๐ข ๐ฐ๐ ๐ฆ๐๐๐ฎ๐ญ๐ ๐ ๐ก๐๐๐ข ๐ฒ๐๐ง๐ฒ๐ ๐ฎ๐ซ๐๐๐ฎ ๐ฐ๐ ๐ค๐ข๐ฅ๐จ๐ฆ๐ข๐ญ๐ 1443 ๐๐ฆ๐๐๐ณ๐จ ๐ณ๐ข๐ญ๐๐ฌ๐๐๐ข๐ซ๐ข๐ฌ๐ก๐ ๐ฆ๐๐๐ฎ๐ญ๐ ๐ ๐ก๐๐๐ข ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐ ๐๐๐๐๐๐ฅ๐ - ๐๐จ๐ข๐ฆ๐ ๐ง๐๐ก๐ข๐ง๐ข ๐๐ ๐๐ง๐๐ ๐ก๐๐๐ข ๐๐ก๐จ๐ง๐ ๐จ๐ฅ๐๐๐ง๐ข ๐ฆ๐ค๐จ๐๐ง๐ข ๐๐๐ง๐ ๐ ๐ง๐๐ก๐ข๐ง๐ข ๐๐๐ง๐ณ๐๐ง๐ข๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐๐ฃ๐ข๐ฅ๐ข ๐ฒ๐ ๐ค๐ฎ๐ฌ๐๐๐ข๐ซ๐ข๐ฌ๐ก๐ ๐ค๐๐ญ๐ข๐ค๐ ๐ฌ๐จ๐ค๐จ ๐ฅ๐ ๐ค๐ข๐ฆ๐๐ญ๐๐ข๐๐.