Walioingia bungeni kwa ‘Upepo wa Lowassa’ waanza kuaga majimboni. Wamo Waitara, Komu, Kubenea, Mdee na wengine

Walioingia bungeni kwa ‘Upepo wa Lowassa’ waanza kuaga majimboni. Wamo Waitara, Komu, Kubenea, Mdee na wengine

JK alisema za kuambiwa changanya na za kwako.

Baadhi ya wabunge ambao walibahatika kuingia bungeni kwa kubebwa na kura za " mahaba" kwa mzee Lowassa wameanza kujitafakari kama wagombee tena au wavute mafao yao na kusepa.

Mwita Waitara ameshaliachia jimbo la ubungo kwa kisingizio cha kwenda Tarime kumkomesha Heche wa Chadema lakini wadadisi wanasema amemkimbia boss wa jiji la Dsm mh Makonda.

Wengine wanaofungasha virago majimboni ni pamoja na Halima Mdee wa Kawe Kubenea wa Ubungo na Komu wa Moshi vijijini.

Mchungaji Msigwa bado anapigania jimbo lake pale Iringa japokuwa inaelezwa anapoteza muda wake bure kwani Salim Asas anakubalika na wanyalu wa itikadi zote.

Jumamosi njema!

Maendeleo hayana vyama!
Hivi Mdee mara ya kwanza kuingia bungeni Lowassa alikuwa chadema au unaota. Akili za ccm zimelala na Tanzania italala daima kama hili nuksi ccm ikiendelea kuongoza
 
JK alisema za kuambiwa changanya na za kwako.

Baadhi ya wabunge ambao walibahatika kuingia bungeni kwa kubebwa na kura za " mahaba" kwa mzee Lowassa wameanza kujitafakari kama wagombee tena au wavute mafao yao na kusepa.

Mwita Waitara ameshaliachia jimbo la ubungo kwa kisingizio cha kwenda Tarime kumkomesha Heche wa Chadema lakini wadadisi wanasema amemkimbia boss wa jiji la Dsm mh Makonda.

Wengine wanaofungasha virago majimboni ni pamoja na Halima Mdee wa Kawe Kubenea wa Ubungo na Komu wa Moshi vijijini.

Mchungaji Msigwa bado anapigania jimbo lake pale Iringa japokuwa inaelezwa anapoteza muda wake bure kwani Salim Asas anakubalika na wanyalu wa itikadi zote.

Jumamosi njema!

Maendeleo hayana vyama!
Uchambuzi wa mtu aliyeshikiwa akili ambaye mahitaji yake ya mwili ni muhimu kuliko utu na haishi katika kweli.
 
JK alisema za kuambiwa changanya na za kwako.

Baadhi ya wabunge ambao walibahatika kuingia bungeni kwa kubebwa na kura za " mahaba" kwa mzee Lowassa wameanza kujitafakari kama wagombee tena au wavute mafao yao na kusepa.

Mwita Waitara ameshaliachia jimbo la ubungo kwa kisingizio cha kwenda Tarime kumkomesha Heche wa Chadema lakini wadadisi wanasema amemkimbia boss wa jiji la Dsm mh Makonda.

Wengine wanaofungasha virago majimboni ni pamoja na Halima Mdee wa Kawe Kubenea wa Ubungo na Komu wa Moshi vijijini.

Mchungaji Msigwa bado anapigania jimbo lake pale Iringa japokuwa inaelezwa anapoteza muda wake bure kwani Salim Asas anakubalika na wanyalu wa itikadi zote.

Jumamosi njema!

Maendeleo hayana vyama!
Sina ugomvi na raia wa Tanzania toka barani Asia kisa "wallet zao ni nene".
Sidhani kama tajri wa ngozi nyeusi anaweze kukubalika na kuwakilisha wananchi kwenye nyumba ya kutunga sheria India, Pakistani na nchi kama hizo.

Nawaza tu kama wamemchoka Msigwa wamekosa Mnyalukoo mwingine kabisa???

Mtwa Mkwawa akifufuka atawahusudu kweli kwa maamuzi haya kama watayafanya??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina ugomvi na raia wa Tanzania toka barani Asia kisa "wallet zao ni nene".
Sidhani kama tajri wa ngozi nyeusi anaweze kukubalika na kuwakilisha wananchi kwenye nyumba ya kutunga sheria India, Pakistani na nchi kama hizo.

Nawaza tu kama wamemchoka Msigwa wamekosa Mnyalukoo mwingine kabisa???

Mtwa Mkwawa akifufuka atawahusudu kweli kwa maamuzi haya kama watayafanya??

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao jamaa wako hapa TZ wanatubagua je ukienda India si hatari, hata makazi wanaishi mjini kivyao hawachanganyiki na ngozi nyeusi, hata ajira ngozi nyeusi ukijitahidi unapewa umeneja usiokuwa na makali, wahasibu wote ni wao manunuzi wao.
 
Uchaguzi usimamiwe na EU uone kazi! Mkishinda CDM ipigwe mabomu kama Soleimani wa Iran!
Slavery mentality. Kuna siku utaita EU waje wakuongoze hapo nyumbani kwako!
 
Ndoto za mchana za wanalumumba kutoka kolomije, baada ya kushiba viazi na maziwa, kinehe.
 
Wat
JK alisema za kuambiwa changanya na za kwako.

Baadhi ya wabunge ambao walibahatika kuingia bungeni kwa kubebwa na kura za " mahaba" kwa mzee Lowassa wameanza kujitafakari kama wagombee tena au wavute mafao yao na kusepa.

Mwita Waitara ameshaliachia jimbo la ubungo kwa kisingizio cha kwenda Tarime kumkomesha Heche wa Chadema lakini wadadisi wanasema amemkimbia boss wa jiji la Dsm mh Makonda.

Wengine wanaofungasha virago majimboni ni pamoja na Halima Mdee wa Kawe Kubenea wa Ubungo na Komu wa Moshi vijijini.

Mchungaji Msigwa bado anapigania jimbo lake pale Iringa japokuwa inaelezwa anapoteza muda wake bure kwani Salim Asas anakubalika na wanyalu wa itikadi zote.

Jumamosi njema!

Maendeleo hayana vyama!
watu wanakubalika kwa kupigiwa kura na sio maneno za jamii forums!
 
Asas ndio keshawekwa na tunaenda kumpigia kura!

Serikali za mitaa mkachaguliwa viongozi ,

Ubunge mpewe Gabacholi , mshangilie!!!!!!!!!!!!,


mtashangaza hata Marehemu.


Wanyalu mpo?
 

Attachments

  • 2261267_tapatalk_1571851230700.jpeg
    2261267_tapatalk_1571851230700.jpeg
    9.2 KB · Views: 1
  • 2260929_Subpost_1_-_MBUNGE_akizungumza_na_VIONGOZI_wa_CHADEMA_wa_NGAZI_ya_KATA_kutoka_ka__480_...jpg
    2260929_Subpost_1_-_MBUNGE_akizungumza_na_VIONGOZI_wa_CHADEMA_wa_NGAZI_ya_KATA_kutoka_ka__480_...jpg
    33.7 KB · Views: 1
Mdee alipata ubunge kwa upepo wa Lowasa? What are you smoking?
 
Slavery mentality. Kuna siku utaita EU waje wakuongoze hapo nyumbani kwako!

Bora slavery mentality inayosaka haki, kuliko uzalendo uchwara wa kunajisi box la kura.
 
JK alisema za kuambiwa changanya na za kwako.

Baadhi ya wabunge ambao walibahatika kuingia bungeni kwa kubebwa na kura za " mahaba" kwa mzee Lowassa wameanza kujitafakari kama wagombee tena au wavute mafao yao na kusepa.

Mwita Waitara ameshaliachia jimbo la ubungo kwa kisingizio cha kwenda Tarime kumkomesha Heche wa Chadema lakini wadadisi wanasema amemkimbia boss wa jiji la Dsm mh Makonda.

Wengine wanaofungasha virago majimboni ni pamoja na Halima Mdee wa Kawe Kubenea wa Ubungo na Komu wa Moshi vijijini.

Mchungaji Msigwa bado anapigania jimbo lake pale Iringa japokuwa inaelezwa anapoteza muda wake bure kwani Salim Asas anakubalika na wanyalu wa itikadi zote.

Jumamosi njema!

Maendeleo hayana vyama!
Hivi Mwita Waitara ni Mbunge wa Ubungo
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom