Walioingia bungeni kwa ‘Upepo wa Lowassa’ waanza kuaga majimboni. Wamo Waitara, Komu, Kubenea, Mdee na wengine

Walioingia bungeni kwa ‘Upepo wa Lowassa’ waanza kuaga majimboni. Wamo Waitara, Komu, Kubenea, Mdee na wengine

JK alisema za kuambiwa changanya na za kwako.

Baadhi ya wabunge ambao walibahatika kuingia bungeni kwa kubebwa na kura za " mahaba" kwa mzee Lowassa wameanza kujitafakari kama wagombee tena au wavute mafao yao na kusepa.

Mwita Waitara ameshaliachia jimbo la ubungo kwa kisingizio cha kwenda Tarime kumkomesha Heche wa Chadema lakini wadadisi wanasema amemkimbia boss wa jiji la Dsm mh Makonda.

Wengine wanaofungasha virago majimboni ni pamoja na Halima Mdee wa Kawe Kubenea wa Ubungo na Komu wa Moshi vijijini.

Mchungaji Msigwa bado anapigania jimbo lake pale Iringa japokuwa inaelezwa anapoteza muda wake bure kwani Salim Asas anakubalika na wanyalu wa itikadi zote.

Jumamosi njema!

Maendeleo hayana vyama!
Iringa ni kwa Wahehe weweeee
 
Kama uchaguzi utasimamiwa na EU wao ndio watakaochagua watu wenye maslahi nao.
Hivihivi tu ukiwaminya wasitunyonye wanajitahidi wakuchomoe kwenye uongozi wakiwa tume ya uchaguzi si ndio wagombea watakuwa wanawaahidi tu maliasili zetu washinde uchaguzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao jamaa wako hapa TZ wanatubagua je ukienda India si hatari, hata makazi wanaishi mjini kivyao hawachanganyiki na ngozi nyeusi, hata ajira ngozi nyeusi ukijitahidi unapewa umeneja usiokuwa na makali, wahasibu wote ni wao manunuzi wao.
"Watanzania" hawa nyakati za chaguzi hasa za kubadili Marais mara kwa mara huwa wanafunga biashara na kukimbilia UK au Canada. Nchi ikivuka salama wanarejea.

Kama ulivyosema, hawa jamaa wako radhi kuajiri "mwenzao" ambae hata kama hajui kitu na kuwa na mswahili ambae ni mtaalam; yet boss huyo anaweza kukunyanyasa kwelikweli.

Anyway, ngoja tuone wana-Iringa wataamuaje
 
Muulize huyo Halima alipenyaje uchaguzi wa 2015 atakusimulia mr pimbi.

Ndio ameshaaga hivyo anategemea kurudi kwa tiketi ya viti maalumu panapo majaliwa!
2010 alisaidiwa na Lowassa?

TAKATAKA kabisa umeleta hapa,nakushauri futa hizi TAKATAKA
 
Iringa wakitaka Msigwa ashinde tena ccm wamweke assas kugombea.
Yaan CCM HUWA WANASEMA HAWATAKI WAFANYABIASHARA LAKINI IKIFIKA MUDA WA UCHAGUZI WAGOMBEA WAO 80% WANAKUWA WAFANYABIASHARA,LAKINI WAO WAFANYABIASHARA WANAENDA KULINDA TU MASLAHI YAO.
 
JK alisema za kuambiwa changanya na za kwako.

Baadhi ya wabunge ambao walibahatika kuingia bungeni kwa kubebwa na kura za " mahaba" kwa mzee Lowassa wameanza kujitafakari kama wagombee tena au wavute mafao yao na kusepa.

Mwita Waitara ameshaliachia jimbo la ubungo kwa kisingizio cha kwenda Tarime kumkomesha Heche wa Chadema lakini wadadisi wanasema amemkimbia boss wa jiji la Dsm mh Makonda.

Wengine wanaofungasha virago majimboni ni pamoja na Halima Mdee wa Kawe Kubenea wa Ubungo na Komu wa Moshi vijijini.

Mchungaji Msigwa bado anapigania jimbo lake pale Iringa japokuwa inaelezwa anapoteza muda wake bure kwani Salim Asas anakubalika na wanyalu wa itikadi zote.

Jumamosi njema!

Maendeleo hayana vyama!
Kuna wabunge wa CCM WENGI walioponea chupuchupu ...Mwakyembe ,Stanslaus Mabula,Dkt Mabula hawa waliingia kwa kubebwa nadhani kwa mwanza wataaga kama dola haitawabeba ..
Hata Makonda unayesema hakubaliki Dar Es Salaam isopokuwa kwa kubebwa tu ..tusubiri uchaguz ,laiti kama wasimamiz watasimamia vizuri 45% ya wabunge ccm itapoteza na 15% chadema itapoteza ..
 
Back
Top Bottom