Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Najua Hilo, nimemuuliza yule TANMO, maana anasema mwanza is the best kwenye umwagiliajiMorogoro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua Hilo, nimemuuliza yule TANMO, maana anasema mwanza is the best kwenye umwagiliajiMorogoro
Njoo Pemba Shehe!Wadau kati ya hiyo mikoa ipi mzuri Kwa familia na makazi na biashara .
Wajameni siitaji majibu ya hovyoo kama mdomo wako ni mchafu sana kapige mswaki kimya a
Mwanza ipi hiyo?Tofauti ya Mwanza na Moro.Wakazi wa Mwanza asilimia kubwa ni Wasukuma, ukiwakamata kwenye biashara hawana mambo ya kubargain wanalipa bei unayotaka,Mwanza bado kuna watu unamuwekea Whatsup au App kwenye simu anakulipa buku ishirini.Moro jamii ya waruguru wengi wabishiwabishi kama Mandonga.Shule zipo Tanzania nzima pesa yako tu.
Mkuu hiyo niliona Buhongwa,mtu kawekewa Whatsup kailipia buku ishirini alafu kafurahiiiiiiiiii.Mwanza ipi hiyo?
mwanza ipi hiyo??Tofauti ya Mwanza na Moro.Wakazi wa Mwanza asilimia kubwa ni Wasukuma, ukiwakamata kwenye biashara hawana mambo ya kubargain wanalipa bei unayotaka,Mwanza bado kuna watu unamuwekea Whatsup au App yoyote ya bure kwenye simu anakulipa buku ishirini.
Naifahamu Mwanza vizuri sanaaaaa na siwezi kulizwaaaaaaaaaaaaa sema kuna malaya watamuuuuuu.mwanza ipi hiyo??
achana na mambo ya kusimuliwa mkuu,,
ukienda mjini utalizwa wewe we jifanye bisshoo
kumbe unaifamuNaifahamu Mwanza vizuri sanaaaaa.
Hata huko morogoro wahivyo wapo...nilikuwa mahali nabadili kioo cha simu, kuna wamama wao walihitaji kuistall whatsapp na walitoa hela.Tofauti ya Mwanza na Moro.Wakazi wa Mwanza asilimia kubwa ni Wasukuma, ukiwakamata kwenye biashara hawana mambo ya kubargain wanalipa bei unayotaka,Mwanza bado kuna watu unamuwekea Whatsup au App yoyote ya bure kwenye simu anakulipa buku ishirini.
NdioUpo sumba
Acha fix mkuu buhongwa hiihii ambayo imejaza karibia kila kabila kwa sasa hasa watumishi wa GVT na NGOsMkuu hiyo niliona Buhongwa,mtu kawekewa Whatsup kailipia buku ishirini alafu kafurahiiiiiiiiii.
Hiyohiyo Buhongwa mkuu.Acha fix mkuu buhongwa hiihii ambayo imejaza karibia kila kabila kwa sasa hasa watumishi wa GVT na NGOs
[emoji2]Hiyohiyo Buhongwa mkuu.