Kwa kukadiria mpaka hatua hiyo inaweza kuwa imekula 60/70 mill inaweza kuongezeka au kupungua ila inategemea kwanza material alizotumia na eneo alikofanyia ujenzi.
Tanzania yapo maeneo nyumba kama hiyo mpaka inaisha unatumia 40mill.
Mkuu The Monk naomba msaada wapi naweza pata hiyo mikanda ya gypsum kwa ajili ya kuweka papi kwenye flash za milango kama ulivyo weka wewe
Msaada wako tafadhali
View attachment 2087185
Nilikopa Halmashauri ile mikopo yao afu mkurugenzi zilikua zinaiva akanibless nikanunua iliyokua inauzwa na SaccosHeshima sana wakuu,
Tumshukuru Mungu mwingi wa rehema kwa kutupatia uhai mpaka sasa tunapoelekea kuukamilisha mwaka 2021. Najua kwamba wapo wengi walitamani.
kuanza ujenzi wa nyumba zao na ni ukweli usiopingika kwamba baadhi yao wameweza kuanza ujenzi, wapo walioishia katikati, wengine wamemaliza na huku wengine wakiwa hawajaanza kabisa.
Vilevile mwaka huu ume-trend zidi kwenye sekta ya ujenzi hasa kutokana na ukweli kwamba bei ya vifaa vya ujenzi mfano cement na bati ilipanda maradufu.
Kutokana na hayo naomba tupeane uzoefu kwa wale wote walioanza ujnzi wa nyumba zao mwaka 2021 ulifanikiwa vipi kuanza ujenzi na ni kwa namna.
gani ulipambana mpaka kufikia hapo.
Itapendeza zaidi kama utaweka specification za nyumba yako mfano vyumba viwili na sebule na gharama yake mfano milioni 30.
kwani mchanganuo huo utachagiza ari na morali ya wanabodi lakini pia utatuongezea mwanga na kutupa funzo kubwa la kusonga mbele na kutokukata tamaa.
kama sio kuahirisha ahirisha ujenzi wa makazi yetu tarajiwa.
Kwa heshima yenu nawasilisha
Ulinunua nyumba kwenye mnada??Nilikopa Halmashauri ile mikopo yao afu mkurugenzi zilikua zinaiva akanibless nikanunua iliyokua inauzwa na Saccos
Yap... unachonga na brokers unawakata kidogo wanakufungia bid juu kwa juuUlinunua nyumba kwenye mnada??
Umejuaje kuwa ni Dom Mkuu?
Hahaaaaaa, unaepusha usumbufu.Yap... unachonga na brokers unawakata kidogo wanakufungia bid juu kwa juu
Hizo gharama pamoja na kuchimba msingi kabisa au kuchimba ni tofauti?Kweli fundi chini ni 200~250...ili upate mafundi wazuri, walipe hiyo 250..juu walipe 300...
View attachment 20911044 bedrooms and 1 master, dining, kitchen, public toilet and bathroom,store.nipo ntaendelea,Ila cement balaa!
Hizo gharama pamoja na kuchimba msingi kabisa au kuchimba ni tofauti?
Nimependa master ilivyojitenga mbali na vyumba vingine na kastudy room/home office.habari za Jioni wadau leo nimepeleka fundi site kwa hii ramani labour charges kadai 1.5m kwa msingi pekeeView attachment 2099828
Thanks mkuuHongera
Five rooms?!
Huu ndio ukweli wenyewe. Najua mafundi waliopo humu hawapendi kuiona hii comment😏Unaweza kumaliza kujenga Nyumba kwa gharama kubwa labda kwa million 45.. Ila Nyumba hiyo hiyo ungesimamia vizuri, ungetumia labda Million 35...!! Mafundi wanatupiga saana hasa kwa mtu ambaye yuko bize na site weekend hadi weekend unapewa ripot tu kwa njia ya simu,, mafundi si watu wazuri,,!!
Kwa mfano anakupigia hesabu msingi utatumia cement mifuko 25, kumbe lbda msingi wako utatumia mifuko 15..!! Hiyo kumi ya juu anauza au lbda anapeleka kwake kwa ajili ya ujenzi wake..!!
Hongera sana. 35+ kwa vyumba 3!Mimi nimejenga mkoaniani Mwanza, vyumba vitatu kimoja masta, sebule, public toilets, dinning hall, kitchen and a store. Niko kwenye final stages za finishing. 35+ hivi imeshakata.
Nimeanza kujenga early 2020 na naendelea hadi sasa. Changamoto kubwa ni kua najengwa kadiri ninavypata hela na pia sio mimi ninaesimamia ujenzi kwa sababu niko kazini DSM.
Kwa hatua niliyofikia, nataka tuhamie hivyo hivyo mengine yatamalizikia nikiwa ndani.
Nimeshaezeka, twin apartments kila moja ina vyumba viwili(kimoja master),sebule,jiko na choo. Boma na kuezeka nimetumia 11.5mWeekend hii insha'Allah nafunga mkanda wa juu.