FUTURE HUNTER
JF-Expert Member
- Apr 30, 2018
- 2,050
- 2,651
Huu uzi ni unyama sana.Mi masikitiko tu mwendelezo ni hafifu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulifanikiwa? Na process ilikuwaje? Vipi gharama ya kibali natarajia kuanza kighorofa mwezi wa 7Mie nipo nahangaika na Building Permit.
Najenga Kighorofa Simple..
Mungu akinijaalia uhai najipa 4yrs starting with 2022.
Mafundi mnaitwa humu, hata mimi nimechoka kupanga, nipo kwenye hatua za finishing ila mfuko hauruhusu kumalizia yote kwa mpigo. Naanza na chumba kimoja moja. Naanza ndani kwanza. Nikimaliza natoka nje. Ushauri tafadhali!Naomba kufahamu gharama ya ufundi ya brandering , kugonga gypsum board, skim,pamoja na mikanda yake kwa chumba cha 3.5m x 3.5m na choo chake 2.5m × 1.3m. Asanteni
Mie nipo nahangaika na Building Permit.
Najenga Kighorofa Simple..
Mungu akinijaalia uhai najipa 4yrs starting with 2022.
Finishing ni mbwembwe, hamia utafanya mwembwe ukiwa kwako.Mafundi mnaitwa humu, hata mimi nimechoka kupanga, nipo kwenye hatua za finishing ila mfuko hauruhusu kumalizia yote kwa mpigo. Naanza na chumba kimoja moja. Naanza ndani kwanza. Nikimaliza natoka nje. Ushauri tafadhali!