Waliojenga mwaka 2021 tunaomba uzoefu wenu

Waliojenga mwaka 2021 tunaomba uzoefu wenu


Another one.
IMG_3324.jpg
 
Mtaani kwangu cement sasa imefikia 15,500 ukilinganisha na 14,500 niliokua nannunulia awali. Interval ya mwezi 1 tuu.
 
Kujenga ni technique..nilipigwa nyumba ya kwanza lakini sasa nimejifunza, kifupi jiweke kidalali sio kiboss..
1. Msingi nawauzia vibarua, tunakubaliana, alafu fundi anasimamia
2. Tofali namuuzia fundi sh 300 japo za juu wengine wanadai nyongeza kidogo
3. Kokoto, nanunua kifusi cha kokoto alafu nachambua..hapo napata kifusi na kokoto
4. Tofali nanunua 950
5. Nondo naenda scrap yard napima zilizopo alafu zile pande ndefu nanunua..
6. Grill nachukua nondo hapo hapo scrap yard nanunua bomba za pembeni tu
7. Mbao za kuezekea nachukua buguruni, ukitaka kuwaweza madalali..nenda na mwanao tu alafu mfanye yy ndio boss, waite pemben waambie nimemleta boss, watakupa bei halisi
8.Bati mara nyingi hazina shortcut
9. Tiles kama unahitaji box chache..mafundi wanazo tena konk sana
10. Wire, mafundi wanazo nzuri tu sema earth rod kanunue copper inakuwa na bei kidogo kwenye 45k kwenda juu..chini ya hapo kafukue chuma hicho
11.Nenda mwenyewe dukani
NB: Nyumba inahitaji usimamizi wako, sio ndugu au rafiki, utalaumu watu bure
Kuwa mkali sana kwenye mali zako, simamia kila eneo..
Hizi scrap yards ziko pande gani kwa DSM??
 
Kuna sehemu ni Tshs 23,000/=
Nilianza ujenzi mwezi wa nane cement ikiwa Tshs 21000 nikanunua mifuko 25.

Nilijenga msingi ukaisha ila cement haikutosha katikati ya mwezi wa tisa nilipoenda kununua tena cement nikakuta Tshs 23000/=
Ila nashukuru Mungu nimemaliza boma lote najipanga nipaue mwezi March.
 
Kwa wale wanao malizia kujenga au wanaanza kujenga ikifika kitengo cha kuweka tiles nichek kwa no.
0623152344.

Nauza tiles aina mbalimbali..
Size.
60*60
50*50
40*40
25*40
30*30
Tiles ninazo grade zote za juu na za chini

PXL_20221123_110705517.jpg
20221120_125502.jpg
PXL_20221121_113136670.jpg
 
Tunauza mbao kwa bei ya jumla na rejareja :-
2*2 fut12=2500
2*3 fut 12=3500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=4500
1*8 fut12=8500
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=14000
1*10fut 12 fisher board( treated)=15000
2*4 fut18(treated)=10000
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu pia Tunafanya delivery kwa wakazi wa Dar es salaam
Ofisi zetu zipo Tegeta kibaoni-Bagamoyo road
 
Wadau mliopita

Hivi gharama za fundi ujenzi nyumba ya rooms 3

Foundation tayari ipo,yeye anaanzia kupandisha.

Cost bei Gani?
 
Back
Top Bottom