Waliojenga mwaka 2021 tunaomba uzoefu wenu

Waliojenga mwaka 2021 tunaomba uzoefu wenu

Tuwekee bei

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Hii ni Brand ya Twyford!

60*60_Tsh 34500/=
50*50_Tsh 42000/=
40*40_Tsh 32000/27000/=
30*30_Tsh 22000/=
25*40_Tsh 20000/=

Pia kwa tiles za Grade ya chini..

60*60_Tsh 25000
50*50_Tsh 32000
40*40_Tsh 22000
25*40_Tsh 15000

Kwa maelezo zaidi nicheki via No. 0623152344
 
Hii ni Brand ya Twyford!

60*60_Tsh 34500/=
50*50_Tsh 42000/=
40*40_Tsh 32000/27000/=
30*30_Tsh 22000/=
25*40_Tsh 20000/=

Pia kwa tiles za Grade ya chini..

60*60_Tsh 25000
50*50_Tsh 32000
40*40_Tsh 22000
25*40_Tsh 15000

Kwa maelezo zaidi nicheki via No. 0623152344
Uko wapi?
 
Nilianza ujenzi mwezi wa nane cement ikiwa Tshs 21000 nikanunua mifuko 25.

Nilijenga msingi ukaisha ila cement haikutosha katikati ya mwezi wa tisa nilipoenda kununua tena cement nikakuta Tshs 23000/=
Ila nashukuru Mungu nimemaliza boma lote najipanga nipaue mwezi March.

Msingi unakula ngapi, kwa makadirio
 
Mm ni mhandisi so fundi kwangu ilikua rahis kumcontrol na nlimlipa hela yke bila kumlalia sana! Na pia kuna baadhi ya vitu uwa vinaongeza gharama ya ujenz so nlijitahid kuviepuka as possible.
Mkuu ungesaidia sana kutaja mambo ulio Skip as long as we muhandis itakuwa rahis kututoa hofu
 
1.Uzi unatia moyo Sana...kujenga Ni process sio event..Anza kwa malengo na mwisho unakamilisha..
2.wengi wetu tunajenga nyumba na sio makazi...nyumba kwa Mana kwamba kiwanja kinatosha eneo la nyumba TU..matokeo yake mtu anakosa hata sehem ya kufunga kamba ya kuanikia nguo,parking au eneo la kupumzikia.
3.pata eneo la kutosha..jenga nyumba,design bustan nzuri,weka parking hata Kama huna gari.
4.watanzania wengi wanajenga nyumba nzuri Sana..kwa mwonekano wa nje na ndan nyumba iko super..lakin wengi hatujui namna ya kupangilia vitu ndani...vitu viko hovyo hovyo na hivyo kuharibu uzuri wote wa nyumba,harufu ya toilet inafika had seblen..
5.hakikisha unatenga eneo la kufugia mbali kidogo na mahali unapoishi..unaenda kea mtu unakuta ngo'mbe,mbuz,kuku na hata nguruwe wanalala pemben au mbele ya nyumba..harufu ya mifuko kila mahali..rekebishen mambo hayo jameni..
6. chague rangi nzuri zifaazo kupaia ndan na nje ya nyumba..Kuna nyumba Zina rangi utadhan vilabu vya pombe au saloon....omba ushaur kwa watalaam
7.weka uzio wenye kuvutuia..Sasa siku hizi watanzania wengi badala ya kuweka uzio wao wanaweka kizuizi...ukuta wa fence mrefu utadhan ukuta wa gezeza la butimba...jaman weka fence na gate lake vyenye kuvutia na kuacha nyumba ionekane...
8.ukjenga nyumba ya hadhi ..Basi jitahid kurekebisha na bara bara inyoingia kwako....
9.sio kila mgeni akija kwako Ni lazima alale kwenye nyumba kubwa..jenga pemben kijumba kidogo hata Cha room mbili na sebul self contained na wageni walale huko na sio kuchangamana ndani kwako...
10.nawatia moyo Tena jengen kwa malengo..na ili uyafaidi maisha haya hakikisha unajenga na kuhamia kwako watoto wako wakiwa bado shule ya msingi(namaanisha wakiwa bado hawajafikisha 15yrs) ....wakat huu mahitaj yao huwa sio makubwa Sana...
 
Mkifikia wakati wa kufunga mifumo ya majitaka na maji safi (plumbing) nafanya kazi nzuri na uhakika kwa bei nafuu 0785707660
 
1.Uzi unatia moyo Sana...kujenga Ni process sio event..Anza kwa malengo na mwisho unakamilisha..
2.wengi wetu tunajenga nyumba na sio makazi...nyumba kwa Mana kwamba kiwanja kinatosha eneo la nyumba TU..matokeo yake mtu anakosa hata sehem ya kufunga kamba ya kuanikia nguo,parking au eneo la kupumzikia.
3.pata eneo la kutosha..jenga nyumba,design bustan nzuri,weka parking hata Kama huna gari.
4.watanzania wengi wanajenga nyumba nzuri Sana..kwa mwonekano wa nje na ndan nyumba iko super..lakin wengi hatujui namna ya kupangilia vitu ndani...vitu viko hovyo hovyo na hivyo kuharibu uzuri wote wa nyumba,harufu ya toilet inafika had seblen..
5.hakikisha unatenga eneo la kufugia mbali kidogo na mahali unapoishi..unaenda kea mtu unakuta ngo'mbe,mbuz,kuku na hata nguruwe wanalala pemben au mbele ya nyumba..harufu ya mifuko kila mahali..rekebishen mambo hayo jameni..
6. chague rangi nzuri zifaazo kupaia ndan na nje ya nyumba..Kuna nyumba Zina rangi utadhan vilabu vya pombe au saloon....omba ushaur kwa watalaam
7.weka uzio wenye kuvutuia..Sasa siku hizi watanzania wengi badala ya kuweka uzio wao wanaweka kizuizi...ukuta wa fence mrefu utadhan ukuta wa gezeza la butimba...jaman weka fence na gate lake vyenye kuvutia na kuacha nyumba ionekane...
8.ukjenga nyumba ya hadhi ..Basi jitahid kurekebisha na bara bara inyoingia kwako....
9.sio kila mgeni akija kwako Ni lazima alale kwenye nyumba kubwa..jenga pemben kijumba kidogo hata Cha room mbili na sebul self contained na wageni walale huko na sio kuchangamana ndani kwako...
10.nawatia moyo Tena jengen kwa malengo..na ili uyafaidi maisha haya hakikisha unajenga na kuhamia kwako watoto wako wakiwa bado shule ya msingi(namaanisha wakiwa bado hawajafikisha 15yrs) ....wakat huu mahitaj yao huwa sio makubwa Sana...
Nasisitizia namba 2, 3,4 na 9. Halafu pia unakuta nyumba nzuri ila chooni na bafuni ni dissaster. Ukiingia bathroom/toilet, ni very narrow, na unakutana na sink dogo sana kwanza, halafu shower unit, ndipo choo hukooo mwisho. Which means ukitaka kutumia choo, unapita kwanza sehemu yenye maji maji (shower area) watu walipoogea. Yuk!!
 
Back
Top Bottom