Kwahiyo umetumia miezi 36 kwenye ujenzi,Usiogope mkuu ujenzi ni mpango WA muda utakaoupangilia wewe (hapa hela za pembeni hazihusiki! Mm nimejenga nyumba for just 72.5m. Kwa miaka mitatu to! Ni mipango tu ya saraly yako Hakuna uchawi hapa! Jenga nyumba kwa percentage yako ya mshahara mm nilikuwa nikiweka 30%ya salary jenga kwa kiwango cha kipato chako! Si kujenga kwa kujifanananisha na Fulani, hata ukijenga miaka kumi Nani WA kukuuliza!
HahahahahahahaUkiwa na kiwanja, gharama ya nyumba ya vyumba vitatu, kwa basic finishing ni around 20M. With the same house some one will mention kuwa ametumia milioni mia! Utadhani kajengea mchanga wa makinikia.
Kama ni rahisi sasa mkuu mbona hujajenga?Anyway,mimi nimejenga nyumba wala sio moja na kiukweli nataka ujenge.Ila siwezi kukuficha.Ujenzi unahitaji kujinyima,uvumilivu na fedha,labda kama wewe ni mzee wa shortcuts(ngada,madili au fisadi).Nimejaribu kufuatilia kauli za waliojenga nyumba. Huwa wanapenda kuwaogopesha waliopanga kuwa ujenzi ni gharama.
Huwezi kutana na mtu akakutia moyo hata kidogo. Lengo la wengi waliojenga ni ku play god. Yani wanapenda waheshimike na kujionesha kuwa wana mawe marefu.
Mimi ninapopiga gharama za ujenzi, napata gharama za chini kama ambavyo Magufuli alifanya kwenye ujenzi wa hostel za UD. Tukienda kwa stail yake, mbona kila mtu atakuwa na ka mjengo!
Sio kweli, mbona mimi huwatia moyo sana?Nimejaribu kufuatilia kauli za waliojenga nyumba. Huwa wanapenda kuwaogopesha waliopanga kuwa ujenzi ni gharama.
Huwezi kutana na mtu akakutia moyo hata kidogo. Lengo la wengi waliojenga ni ku play god. Yani wanapenda waheshimike na kujionesha kuwa wana mawe marefu.
Mimi ninapopiga gharama za ujenzi, napata gharama za chini kama ambavyo Magufuli alifanya kwenye ujenzi wa hostel za UD. Tukienda kwa stail yake, mbona kila mtu atakuwa na ka mjengo!
Kwa uzoefu ua nashangaa watu wanaodai ukiwa na m20 nyumba ndo inakamilika!! Nyumba hata milioni 5 ipo sema unatka nyumba yenye nakshi zipi za gharama kiasi gani!! Kuna my class mate kamaliza kwa badget ya 16 milion but the quality of it unaezansema ni 50 milion!! Lakini itategemea unajenga wapi
Tatizo vijana wanapiga pesa za fastafasta alafu hapo hapo wanataka kununua kiwanja na kujenga, kwanini usione ujenzi ni ghali?
Ukipata hela yako tulia kama huna kitu then tafuta taarifa sahihi kwa unachotaka kukijenga, onana na mafundi wa kila aina yaani wale wa mtaani na wale waliokwenda shule, usiache kuwasikiliza watu ambao wameshajenga pia.
Zunguka kujua bei za material na bei zake, pia usiache kutafuta mbadala wa material kwa mfano badala ya kuweka matofali kwenye msingi uweke mawe kutokana na urahisi/upatikanaji wake.
Usishindane na wenzako ambao wameshajenga, kuwa mvumilivu, jenga kwa hatua, usijidai boss!
Usisahau kubariki eneo lako la ujenzi kabla maana sehemu nyingine ni makao ya Ibilisi au yamezindikwa huwezi kujua.
Mtangulize Mungu.
Jenga tu mjengo wako mkuu, hakuna anayekuzuiaNimejaribu kufuatilia kauli za waliojenga nyumba. Huwa wanapenda kuwaogopesha waliopanga kuwa ujenzi ni gharama.
Huwezi kutana na mtu akakutia moyo hata kidogo. Lengo la wengi waliojenga ni ku play god. Yani wanapenda waheshimike na kujionesha kuwa wana mawe marefu.
Mimi ninapopiga gharama za ujenzi, napata gharama za chini kama ambavyo Magufuli alifanya kwenye ujenzi wa hostel za UD. Tukienda kwa stail yake, mbona kila mtu atakuwa na ka mjengo!
Mkuu hapo sio tu kujenga kutokana na uwezo, ameonyesha pia kwa sababu fulanifulani, mfano kutokuwa na taarifa sahihi na kutokufanya uchunguzi wa kina, unaweza kutumia mil 100 kujenga nyumba ambayo mtu mwingine ameijenga katika eneo hilohilo ulipojenga wewe na factors zingine kubaki constant kwa mil 50 tu.Nimekusoma mkuu hapo sasa kikubwa nilichokiona ni kila mtu ajenge kutokana na uwezo wake na si kulalamika kuwa ujenzi si gharama au ujenzi ni gharama.
Eti? Wapi huko tuhamie? Vyumba vya size gani? Kwa materials gani? Weka BoQ mezani.Ukiwa na kiwanja, gharama ya nyumba ya vyumba vitatu, kwa basic finishing ni around 20M. With the same house some one will mention kuwa ametumia milioni mia! Utadhani kajengea mchanga wa makinikia.
Never on earth!Ukiwa na kiwanja, gharama ya nyumba ya vyumba vitatu, kwa basic finishing ni around 20M. With the same house some one will mention kuwa ametumia milioni mia! Utadhani kajengea mchanga wa makinikia.
Hongera sana mkuu!Ushauri wako huu ndio ambao nimekuwa naufanyia kazi. Sasa mimi nafanya tu survey ya maeneo yanayofaa kwa mimi kujenga, huku nikifuatilia gharama ya ujenzi na alternatives.
Mfano kuna jamaa mmoja aliniambia yeye amejenga nyumba yake kwa kutumia mafundi aliowatoa kijijini, hii yote ilikuwa ni kuepuka mafundi wa mjini ambao ujanja ni mwingi ukichanganyikana na wizi. Nyumba imejengwa vizuri utadhani hao mafundi wana degree za ujenzi kutoka Holland.
duh hizi hesabu zako sijuiNdio nyie tunaowazungumzia.
Nyumba ya mabati sabini kwa elfu kumi na tano bati moja ni milioni moja hiyo.
Mbao za milioni na nusu zinatosha kupaua.
Matofali elfu mbili na mia tano ni milioni tatu hiyo, cement ya kujengea mifuko mia ni sh milioni moja hiyo.. Fundi wa kujenga na kupaua, milioni nne hiyo.. Hizo gharama unazozungumza, unajenga shule?
Utageuka KIBWEKA...[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kucheza Muziki usio sikiliza sauti na ALA...Weka pamba masikio, halafu cheza muziki...usiogope maneno ya watu.