Kama umeshagundua ujenzi ni rahisi wewe jenga tu.... Hata Thread yako haitachangia kupunguza gharama... Ila gharama za ujenzi wa nyumba zinaongezeka kutokana na vifuatavyo... eneo la ujenzi(topography yake), ubora wa material ya ujenzi mfano mbao, bati, tiles, rangi n.k, ubora wa kazi (fundi mwenye kujua kazi yake vizuri na hela anaijua pia), urembo ktk nyumba (urembo wa ceiling, kuta, nguzo, bati, madirisha, milango, nk) upatikakanaji wa material za ardhini kama mchanga, mawe, udongo n.k)... Kutokana na haya na mengine mengi na kawaida kabisa kusikia ramani moja ila gharama zimezidi hata mara 3 au 4 zaidi... Usiandikie mate na wino upo anza ujenzi ndipo utagundua wanaosema ujenzi ni ghali ni majuha au wajanja