Waliojenga nyumba hupenda kuwaogopesha wengine kuwa ujenzi ni gharama!

Waliojenga nyumba hupenda kuwaogopesha wengine kuwa ujenzi ni gharama!

mkikaaa humu kututishiaaaaaa sana nyie watu wa mjini, tukiwaulizia magari mnatutisha,nyumba mnatudanganya hapa m35,mi nimejenga na kagari hata m10 haijafika,we jenga kwa sifa shauri yenu
mi nataka nijenge nyingine kwa m3.5 na bia nakunywa
et m 35 wakati mshahara wa laki 7
 
mkikaaa humu kututishiaaaaaa sana nyie watu wa mjini, tukiwaulizia magari mnatutisha,nyumba mnatudanganya hapa m35,mi nimejenga na kagari hata m10 haijafika,we jenga kwa sifa shauri yenu
mi nataka nijenge nyingine kwa m3.5 na bia nakunywa
et m 35 wakati mshahara wa laki 7
fundi anapewa kiroba cha unga kilo 25,kifusi unanunua maandazi watoto wanajaza,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
mkikaaa humu kututishiaaaaaa sana nyie watu wa mjini, tukiwaulizia magari mnatutisha,nyumba mnatudanganya hapa m35,mi nimejenga na kagari hata m10 haijafika,we jenga kwa sifa shauri yenu
mi nataka nijenge nyingine kwa m3.5 na bia nakunywa
et m 35 wakati mshahara wa laki 7
Wapi huko na mimi nije kujenga maana nimechoshwa na kero za baba na mama mwenye nyumba wangu
 
fundi anapewa kiroba cha unga kilo 25,kifusi unanunua maandazi watoto wanajaza,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Hapo sawa [emoji848]
 
fundi anapewa kiroba cha unga kilo 25,kifusi unanunua maandazi watoto wanajaza,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Ha ha haaaaaaa
 
mi nimejenga chumba na sebule kila kitu.. basic finishing.. no tiles.. kwa 5m tu... ila kuna uzi humu watu walikuwa wanasema milion 10.. nikakata tamaa..

nilivyokaza roho na kuanza ujenz hadi nimeamia
Inawezekana kabisa
 
Wapi huko na mimi nije kujenga maana nimechoshwa na kero za baba na mama mwenye nyumba wangu
Wanawake mna mambo sana, wewe ulitakiwa tu uje kuwa mama mwenye nyumba lakini umeamua kuhangaika na mafundi,utajizeesha!
 
Ujenzi ni gharama sana, kuna watu wanasemaga ukishakuwa na kiwanja kujenga ni rahisi lakini bado ni gharama sana kujenga.
Huwa wanasema hivyo kufariji. Ukianza msingi watakuambia kupandisha rahs mno.
 
Wanawake mna mambo sana, wewe ulitakiwa tu uje kuwa mama mwenye nyumba lakini umeamua kuhangaika na mafundi,utajizeesha!
[emoji848][emoji848] Naomba unifanye mama mwenye nyumba[emoji6]
 
Ukweli uko hivo ujenzi nigharama uamzi niwako waaina ya ujenzi lakini pia kinchokwisha watu nikuamua aanze na kiasi gani
 
Ili kupunguza gharama njoo tukuuzie mbao kwa gharama nafuu ..Tupo tegeta kwa ndevu na Tuna mbao za aina zote mfano 2*4 treated nitakuuzia kwa 5000 ft12 namba za mawasiliano ni 0687371138
 
Nina milioni moja naweza kujenga nyumba ya vyumba vingapi ikiwa na sebule choo jiko na dining?
 
Back
Top Bottom