Waliojenga nyumba hupenda kuwaogopesha wengine kuwa ujenzi ni gharama!

Waliojenga nyumba hupenda kuwaogopesha wengine kuwa ujenzi ni gharama!

Hiyo ni gharama ya msingi na ukuta tu mkuu
Mbona mnatisha sana watu? Suala la ujenzi kama baadhi ya wadau walivyoeleza huko juu inategemea na wewe mwenyewe. Haiwezekani wewe mwendesha bodaboda unataka ujenge nyumba sawa na ya muuza ganda! Milioni ishirini inatosha kabisa kama unataka kujenga nyumba ya thamani hiyo. Ukitaka ukusanye milioni 200 ndipo ujenge nyumba utaumia bure na si ajabu usijenge nyumba kabisa maishani mwako! Kwa mfano, ukiwa na kiwanja unaweza kujenga nyumba kwa staili hii: Kila weekend ikikukuta una laki moja mfukoni usiende bar wala kokote kwenye starehe; badala yake nenda na hiyo laki site ikafanye kazi...
 
Kumbuka gharama za ujenzi ni sawa na unapoenda kununua nguo dukani nguo ni bidhaa ambayo bei yake haijasimama kama bidhaa ya sukari au mchele

Ndio garama za ujenzi zilivyo mfano
Utofauti wa upatikanaji wa matirio hutofautiana bei eneo na eneo wengine matirio ya ujenzi wanapata kwa dili wengine kwa bei kubwa nk

Garama za ujenzi kuna mafundi wanabei kubwa wengine bei ndogo


Ndio maana humu tunaona nyumba unambiwa inauzwa milioni 50 wakati ukiangalia ina thamani ya milioni 20 tu

Kwaiyo mtu anapolalamika ujenzi garama usimshangae pengine kweli ujui amejengaje pia wewe unayeona ujenzi si garama pengine kweli hatujui umejengaje


Mfano bei ya kiwanja maeneo mengine tz sawa na shagarama ya nyumba ya kisasa iliyokamilika hapa hapa tanzania

Mfano juzi juzi hapa nimeshuhudia mtu anauziwa kiwanja milioni nne tena anafurahi anaona bei rahisi kweli eneo ambalo wenyeji wanauziana kwa milioni mpaka laki tisa Kiwanja unaona hii kitu

Sababu aliyenunua kiwanja kwa milioni nne ni mgeni katoka eneo ambalo aridhi ina thamani watu wanauziana mpaka milioni 30 eneo la miguu 25 kwa ishirini
Wapi huko kiongozi kiwanja Laki 9?
 
Mbona mnatisha sana watu? Suala la ujenzi kama baadhi ya wadau walivyoeleza huko juu inategemea na wewe mwenyewe. Haiwezekani wewe mwendesha bodaboda unataka ujenge nyumba sawa na ya muuza ganda! Milioni ishirini inatosha kabisa kama unataka kujenga nyumba ya thamani hiyo. Ukitaka ukusanye milioni 200 ndipo ujenge nyumba utaumia bure na si ajabu usijenge nyumba kabisa maishani mwako! Kwa mfano, ukiwa na kiwanja unaweza kujenga nyumba kwa staili hii: Kila weekend ikikukuta una laki moja mfukoni usiende bar wala kokote kwenye starehe; badala yake nenda na hiyo laki site ikafanye kazi...

Sawa mkuu ,ila 16 mil bado ni ndogo at least 25 mil kama ni nyumba ndogo .
 
Sawa mkuu ,ila 16 mil bado ni ndogo at least 25 mil kama ni nyumba ndogo .
Nyumba ndogo kwa maana gani, maana hata mtu mwenye nyumba ya sebule katikati, upande mmoja chumba na upande mwingine chumba,yuko kwenye nyumba yake na ana enjoy! Tunachojadili hapa ni kwamba hakuna kiasi cha fedha ambacho ni maalum kwa watu wote kwamba ndicho kinatosha kujenga nyumba. Kuna mtu amwomba Mungu apate milioni tano tu aondoke kwenye nyumba ya kupanga. Anajua atapata kiwanja cha milioni moja, tena huko huko kwenu Dar, na atashusha slope yake yenye chumba chake na mkewe pamoja na chumba kimoja cha watoto na choo cha nje!
 
Ndio nyie tunaowazungumzia.
Nyumba ya mabati sabini kwa elfu kumi na tano bati moja ni milioni moja hiyo.
Mbao za milioni na nusu zinatosha kupaua.
Matofali elfu mbili na mia tano ni milioni tatu hiyo, cement ya kujengea mifuko mia ni sh milioni moja hiyo.. Fundi wa kujenga na kupaua, milioni nne hiyo.. Hizo gharama unazozungumza, unajenga shule?
Mkuu ni kweli kbs .
 
Ukiomba gharama za makadirio ya ujenzi eleza vizuri unachokitaka. Wengi wanasema nataka kujenga nyumba ya "kawaida" labda ya vyumba vitatu. Hilo neno kawaida linatofautiana kwa mtu na mtu. We sema nataka kujenga kwa kutumia vifaa vya bei ya chini kabisa, na finishing nitafanya hadi kufikia kiwango flani. Usitumie neno kawaida. kila kifaa unachokijua cha ujenzi kina grade tofauti. Hata tofali lipo la inchi tano na sita na zinatofautiana bei. Cement pia zipo grade mbili, nondo saizi tofauti tofauti. Mtu akikutajia gharama zake amini tu, ila si lazima na wewe ujenge kwa gharama hizo ukitumia vifaa vya quality ya chini. Hata kwa nyumba zinazolingana ukubwa na ramani, moja inaweza ikawa bei mara mbili ya mwenzake. Ukipandisha sana msingi, unakula material nyingi ikiwemo na vifusi...yaani mambo ni mengi kweli kwenye ujenzi wala siwezi kueleza yote hapa. Choo tu cha kukaa vipo kuanzia 150,000 hadi milioni, ila kwa jicho la asiejua hawezi kutofautisha. Kwa hiyo usione umetishwa, makadirio ya ujenzi hauna wastani kwa nyumba zote....we kaza buti mdogo mdogo na wewe ujenge kwa nafasi yako
 
Kama umeshagundua ujenzi ni rahisi wewe jenga tu.... Hata Thread yako haitachangia kupunguza gharama... Ila gharama za ujenzi wa nyumba zinaongezeka kutokana na vifuatavyo... eneo la ujenzi(topography yake), ubora wa material ya ujenzi mfano mbao, bati, tiles, rangi n.k, ubora wa kazi (fundi mwenye kujua kazi yake vizuri na hela anaijua pia), urembo ktk nyumba (urembo wa ceiling, kuta, nguzo, bati, madirisha, milango, nk) upatikakanaji wa material za ardhini kama mchanga, mawe, udongo n.k)... Kutokana na haya na mengine mengi na kawaida kabisa kusikia ramani moja ila gharama zimezidi hata mara 3 au 4 zaidi... Usiandikie mate na wino upo anza ujenzi ndipo utagundua wanaosema ujenzi ni ghali ni majuha au wajanja
Unachosema kweli kaka....Ujenzi sio lele mama. Watu wanataka kupewa moyo kwamba ujenzi ni rahisi. Sio rahisi hata kidogo. Itabidi mtu ujibane haswa. Kila mtu naamini anaweza kujenga nyumba kulingana na nafasi yake...hata vyumba viwili ni nyumba pia. Tofauti ni kwenye ubora tu, hapo lazima tofauti ionekane. Lakini hakuna mtu anapaswa kuogopa kujenga ila hakikisha unajenga nyumba inayoendana na uwezo wako...usitake kulinganisha kabisa.
 
Ndiyo maana tunasema gharama za ujenzi zinadepend na eneo ulipo,ukubwa wa nyumba,aina ya nyumba,aina za materials unazotumia,gharama za kuwalipa mafundi wa kueleweka na sio wa kuungaunga,..so mtu akinambia kajenga nyumba yke kwa mil 200 siwezi shangaa kama ametumia quality materials na ni mjengo wa maana..tusiforce watu wafanane..kila mtu anakula urefu wa kamba yake.
Nimemaliza kupaua last week, ila hadi sasa imeshanicost 22M, NAVUTA PUMZI NIANZE MCHAKATO WA FINISHING, NADHANI MPAKA NAMALIZA ITAKUWA IMENICOST NOT LESS THAN 35M
 
Nimemaliza kupaua last week, ila hadi sasa imeshanicost 22M, NAVUTA PUMZI NIANZE MCHAKATO WA FINISHING, NADHANI MPAKA NAMALIZA ITAKUWA IMENICOST NOT LESS THAN 35M

Asante mkuu lkn sijui ni aina gn ya nyumba,materials ulizotumia,umewalipa mafundi kiasi gani,decorations ulizofanya na utakazofanya..,thats all..gharama za nyumba yako zitadepend upon hivyo vitu na vingine vingi.
 
Asante mkuu lkn sijui ni aina gn ya nyumba,materials ulizotumia,umewalipa mafundi kiasi gani,decorations ulizofanya na utakazofanya..,thats all..gharama za nyumba yako zitadepend upon hivyo vitu na vingine vingi.
Naweza kushare na watu excell template ya cost and expenditure maana kila kitu nimekuwa narekodi, atakayetaka just pm me
 
Nimejaribu kufuatilia kauli za waliojenga nyumba. Huwa wanapenda kuwaogopesha waliopanga kuwa ujenzi ni gharama.

Huwezi kutana na mtu akakutia moyo hata kidogo. Lengo la wengi waliojenga ni ku play god. Yani wanapenda waheshimike na kujionesha kuwa wana mawe marefu.

Mimi ninapopiga gharama za ujenzi, napata gharama za chini kama ambavyo Magufuli alifanya kwenye ujenzi wa hostel za UD. Tukienda kwa stail yake, mbona kila mtu atakuwa na ka mjengo!
Kweli aise
 
Nimejaribu kufuatilia kauli za waliojenga nyumba. Huwa wanapenda kuwaogopesha waliopanga kuwa ujenzi ni gharama.

Huwezi kutana na mtu akakutia moyo hata kidogo. Lengo la wengi waliojenga ni ku play god. Yani wanapenda waheshimike na kujionesha kuwa wana mawe marefu.

Mimi ninapopiga gharama za ujenzi, napata gharama za chini kama ambavyo Magufuli alifanya kwenye ujenzi wa hostel za UD. Tukienda kwa stail yake, mbona kila mtu atakuwa na ka mjengo!
Hakika mkuu watu nuksi
 
Kwa iyo tusio na nyumba tusijenge sabab ni gharama kubwa mkuu?
Mim najenga nyumba ya vyumba viwil sebule sitting room dining pamoja na jiko nimefikia hatua ya KUEZEKA ila bado sijazidi milioni kumi na tano na Mbao nshanunua pamoja na bati sitegemei nyumba izid m25 sasa izo gharama kubwa zipo wapi wasiwatishe bana wewe anza kujenga sema usiwe na haraka sana maana nyumba unakua unazika pesa waweza jikuta unadownfall bila hata kumaliza ujenzi unabaki kuona pagale tu bila kujua hatima ya hilo pagale
 
Mim najenga nyumba ya vyumba viwil sebule sitting room dining pamoja na jiko nimefikia hatua ya KUEZEKA ila bado sijazidi milioni kumi na tano na Mbao nshanunua pamoja na bati sitegemei nyumba izid m25 sasa izo gharama kubwa zipo wapi wasiwatishe bana wewe anza kujenga sema usiwe na haraka sana maana nyumba unakua unazika pesa waweza jikuta unadownfall bila hata kumaliza ujenzi unabaki kuona pagale tu bila kujua hatima ya hilo pagale
Bora mkuu dah maana naisigi wanataka wawe na nyumba wenyewe tu[emoji2]
 
Ndio nyie tunaowazungumzia.
Nyumba ya mabati sabini kwa elfu kumi na tano bati moja ni milioni moja hiyo.
Mbao za milioni na nusu zinatosha kupaua.
Matofali elfu mbili na mia tano ni milioni tatu hiyo, cement ya kujengea mifuko mia ni sh milioni moja hiyo.. Fundi wa kujenga na kupaua, milioni nne hiyo.. Hizo gharama unazozungumza, unajenga shule?
Endelea kujifariji kwa vimahesabu vyako vya kwenye computer,
Kwann usianze kujenga kisha ukawa unatupa update ya hali ya ujenzi inavyoendekea kulko kutuandikia mambo ya kufikirika..

Mimi nina nyumba na siezi kukufariji kuwa ujenzi, ni, bei chee wakati kiukweli ni mziki..
Mi, nnavyoona we lengo lako ni kujenga kibanda na sio nyumba, kama unajenga ili mradi uambiwe unajenga basi sawa ila tambua kuwa nyumba standard ni gharama hasa hapa mjini, Bongo
 
Back
Top Bottom